mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Dunia ya soka tumempoteza mtu hatari sana.Nadhani hamjui.
Anafikiri watu humu wakimtaja anadhani tunalipwa
Hawamjui Gaucho Mkuu.Ronaldo alikua na kipi cha maana zaidi ya kuekewa akiwa amebaki yeye na kipa au goli tupu na kufunga kitu ambacho ata zlatan anafanya pale manchester? Acheni kumlinganisha gaucho na vitu vya ajabu ajabu
Ukimuangalia anavyocheza.kama unaangalia.play station. Anaufanya mpira anavyotaka yeye.Kweli kabisa
Achana naye huyo Mkuu.Hakuna cha utata, kumlingalisha gaucho na hiyo takataka ni kumkosea heshima
Unajua kwa nini hawamuheshimu Mkuu??Mkuu unafahamu wabrazili hawamuheshimu kiivyo Ronaldinho?
Safi Sana Mkuu.Jina kami la Ronaldinho ni Ronaldo de asis Moreira
jamaa anaufanya mpira uwe na ladha bhna.Ukimuangalia anavyocheza.kama unaangalia.play station. Anaufanya mpira anavyotaka yeye.
Hatari Sana huyoPana goli alifunga dhidi ya Chelsea kwanza alikata mauno hiyo dagazhee haikuwa mchezo jamaa alikuwa akitabasamu wakati anawapa watu adhabu
Kibongo bongoJay Jay Okocha yuko vizur zaidi yake
Namfahamu huyo mutu lakini bado ladha yake haisogelei Kwa Gaucho japo alikuwa anajitahidiJJ OKOCHA NAYE ALIKUWA BALAA MGOOGLE UONE SHUGHULI YAKE
Kweli kabisa MkuuKaribia 90% ya chenga za maudhi yeye ndo ameanzisha akifuatiwa kwa mbal na JJ okocha.. Yan dinyo hajawah tokea cjui lbda wale walowaona kna Pele na maradona
Hahahaaaaaa!!Vijiji vyetu vinapakana mkuu
Usikute hapo hata kucheza hujui.Umewahi kuona shabiki anaejua mpira!?!?
Mimi sio shabiki ni mpenda soka na ndio maana sijapofushwa na mahaba juu ya Dinho.
Hao mnaowataja wenyewe wanakiri uwezo wa jamaa. Sasa sijui wewe mbongo unaanzia wapi kukataaHuyu mtoa uzi atakua wa juzi juzi tu.
Safi Sana mkuu hao weka 2,3........Kaka alikuwepo J. J. Okocha ni balaa.
Kweli kabisa mkuuHapo sijamuona huyo Stephen ila wengine nimewaona hakuna kama dihno anafunga goli huku anakata mauno
Huyo anataka tumuone anajua wachezaji. Wachezaji wenyewe hata ukimuuliza Rais wa FIFA hawajui lakini Muulize Rais wa FiFA yeyote habari za Gaucho uone atakavyoongeaUmeandika tu uko ulaya bila ya kutoa reference
Reference ya rank yako ni ipi?kwa stats zipi?
huwez kuwafananisha wachezaji wawili wanaocheza nafas mbili tofautiRonaldo alikua na kipi cha maana zaidi ya kuekewa akiwa amebaki yeye na kipa au goli tupu na kufunga kitu ambacho ata zlatan anafanya pale manchester? Acheni kumlinganisha gaucho na vitu vya ajabu ajabu
Mkuu umechanganyikiwaGenerally ni ronaldo de lima
Sawa Mkuu.Acha maneno weka ukweli