Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Gaucho ni habari nyingine kabisa. Kuna clip moja Maradona ambaye alikuwa uwanjani kuangalia mechi ambayo Gaucho alicheza baada ya mpira kuisha alikimbia kama shabiki kuingia uwanjani na kupeana mikono na Gaucho kisha kuibusu mikono yake.

Truth.com
 
Reactions: BAK
Labda atatokea mwingine Mkuu, lakini jamaa alikuwa ni balaa! Messi, Neymar nani sijui tupa kuleeee!
Pole, bila shaka utakua shabiki wa Man Utd maana mna allergy sana na Messi
 
Unataka kumfananisha nurse Messi na Gaucho?
Usilinganishe Mercedes na Toyota
Nessi ni mchezaji mzuri lakini hafikii level us Gaucho na Diego
Hahahaha hahahaha ngoja nkuache tu bana.....Ila utakua shabiki wa Man Utd wewe
 
Messi na ronaldo wote wawili ni zaidi ya gaucho. Tatizo watu mnaangalia sana videos za YouTube na kufikiri gaucho alikua anafanya vile kila mechi.
Daaa hapana aisee hao wachezaji wenyewe ulio wataja kuna vitu wamechukua kwa gaucho hasa ronaldo
 
Daaa usije ongea tena hivo mbele za watu aisee
 
umetamka vyema kabisa! Rolndo ni mtambo wala si binadamu wa kawaida.
 
According to official records 1. Pele 2. Messi 3. Ronaldo 4. Maradona 5. Zidane
 
Kwa ambayo tumeyashuhudia mashindano mbali mbali toka miaka ya sitini hakuna kama gaucho na hatatokea tena kwa HIV karibun,,,unaosema akina best,cjui platin cjui nan hawamfikii hata theluth moja king dihno,mwachen kijana wa watu tunafirahia kuzaliwa ktk zama za gaucho,aliusemesha mpira ukamwitikia,aliutuma nao ukatii,aliukataza jambo nao ukakubali,aliupiga vyvyte alivyotaka bado ulimweshimu,aliufanya lolote Mpira bado ulimsailimu.. Gaucho aaaaaj acha kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…