Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Ukiona mechi imeisha 0_0 halafu ulifurahia mechi hyo basi jua ni Ronadinho alikua akifanya yake
 
Gaucho is heaven sent gift from God
Hajawahi tokea km yeye

Ila. Mabinti wa kihispania ndo walimuua kisoka mapema

Gundu lilianza baada ya kuboronga world cup 2006
 
Mkuu unaweza kuwa sahihi kwa upande mwingine, ogopa sana kitu kinachoitwa media sababu kina control the minds of masses.

Katika watu ambao media hazikuwa fanyia fair ni pamoja na J.J okocha na nna fikiri sababu kubwa iliyofanya yeye kukosa coverage ya kutosha na pamoja na timu alizochezea, katika maisha yake ya soka timu kubwa pekee aliyochezea ni PSG tena kipindi bado na yenyewe ni middle table team huko kwao.

Kwa hiyo sasa siwezi kukataa sana mtu anaponiambia Gaucho ana vitu ambavyo Okocha hana.

Ila tu ifahamike kuwa walipokuwa kuwa wote PSG Dinho alitumia muda mwingi mazoezini kujifunza kile alichokuwa anafanya Okocha kwenye mechi. Na pia vile vile Zidane aliwahi kukaririwa akisema kila akimwangalia Okocha uwanjani anajiona yeye hajui chenga na bado anahitaji kujifunza.
Kweli Mkuu.
Media sijui kwa nini hazikumtendea haki Okocha, jamaa nae alikuwa bomba Sana hasa kwa Free style.
Japo Gaucho huenda aliiga baadhi ya Free style za J. J okocha lakini bado Gaucho yupo vizuri zaidi.
Kuiga si jambo baya Mkuu kwani hata hawa kina Messi na Ronaldo wanaiga mambo ya wachezaji waliopita.

Gaucho anahaiba ya mpira.
 
Ronaldo De Lima katika ubora wake naweza kumlinganisha na Gaucho, pamoja na kucheza kama namba 9 lakini R9 alikuwa na dribbling za hatari sana, ball control ndo usiseme, na zaidi jamaa alikuwa anajua kuweka mpira wavuni
 
Kuna kipindi nilikuwa naangalia AC Milan kwa ajili ya Gaucho tu, baada ya hapo sikutazama tena AC Milan. Gaucho alikuwa ni mtu mwingine ktk kuuchezea mpira vile atakavyo yeye.

Kipindi Gaucho yupo on form utatamani kila pasi imfikie yeye, pasi anavyopiga yeye ni tofauti kabisa na hawa wengine.

Yote kwa yote, tukija kimpira wa kazi sijamuona mnyama kama Messi.
Kweli mkuu
 
Habari Wakuu!

Tokea ninakua mpaka sasa bado sijawahi ona ona mchezaji Mpira anayemfikia GAUCHO kwa ubora.

kwa wanaomjua Gaucho wataungana na Mimi na hawatanishangaa nikimkubali huyu mchezaji ambaye wataalamu tunamuita Mchawi wa Soccer.

Gaucho alikuwa mahiri kwa kuukontroli Mpira. Alikuwa anauwezo wa kuuweka mpira sehemu yoyote ya mwili.

Aidha Mbrazili huyu kwenye swala za dribbling bado hakuna anayemkamata.

Hutotamani mpira uondoke mguuni mwake pindi afanyapo mambo yake.

Gaucho ni miongoni mwa Wachezaji wakali kuwahi kutokea duniani.


Je wewe unadhani ni nani anayemkaribia huyu Mchawi wa Soccer kwa maana kwa wakumzidi bado hayupo.
Itutu Kigi,Malotta Soma,Abeid Mziba,Hassan Afif,John Makelele,Salum Kabunda,Isa Kihange...na wengine wengi wa Tanzania kipindi TV zikiwa chache.
 
wengi humu wamezaliwa juzi.

nataka waliowaona hawa wachezaji waje tuzungumze...zidane..stephen efernberg...dinho..
figo ...luis enrique...raul...rivaldo...nedved..batistuta....
Francisco Totti..
 
Habari Wakuu!

Tokea ninakua mpaka sasa bado sijawahi ona ona mchezaji Mpira anayemfikia GAUCHO kwa ubora.

kwa wanaomjua Gaucho wataungana na Mimi na hawatanishangaa nikimkubali huyu mchezaji ambaye wataalamu tunamuita Mchawi wa Soccer.

Gaucho alikuwa mahiri kwa kuukontroli Mpira. Alikuwa anauwezo wa kuuweka mpira sehemu yoyote ya mwili.

Aidha Mbrazili huyu kwenye swala za dribbling bado hakuna anayemkamata.

Hutotamani mpira uondoke mguuni mwake pindi afanyapo mambo yake.

Gaucho ni miongoni mwa Wachezaji wakali kuwahi kutokea duniani.


Je wewe unadhani ni nani anayemkaribia huyu Mchawi wa Soccer kwa maana kwa wakumzidi bado hayupo.
Uko sahihi mkuu.
 
Ronaldo alikua na kipi cha maana zaidi ya kuekewa akiwa amebaki yeye na kipa au goli tupu na kufunga kitu ambacho ata zlatan anafanya pale manchester? Acheni kumlinganisha gaucho na vitu vya ajabu ajabu
Hivi ulimuona Ronaldo akiwa anacheza kweli?

Ronaldo alikuwa ana dribbling skills za hatari,alikuwa fundi alikuwa fundi wa chenga za kuzalilisha

Alikuwa na nguvu na uwezo mkubwa wa kupiga mashuti na gifted skills nying
Ronaldhiho anachomzid Ronaldo labda ni mbwembwe za kuuchezea mpira lakin Ronaldo anamzid vitu ving zaid Ronaldinho

Maneno haya aliyasema Ronaldinho mwenyew akimzungumzia Ronaldo

“He was always an example for young people to look up to, for the way he overcame adversity. I was fortunate enough to play alongside him, my idol, for many years and we had so many great times together. He was always an idol of mine and will always be a friend.”
— Ronaldinho
 
Kibongo bongo
af77ec7401f9fece44f10bb37dfbe08e.jpg

Kibiongo bongi
 
RONALDINHO ni SI unit ya ufundi wa mpira, aliufanya mpira uonekane kitu rahisi mno..

Hakuna ...hakuna..... hakuna wa kufanana na Dinho kwenye sekta ya ufundi..

Waache hao wengine washindanie magoli na assist ila huyu jamaa ni mchawi
 
Unajua kwa nini hawamuheshimu Mkuu??
Hakuna kipindi ambacho dinho alikuwa onfire kama 2005/2006, na wabrazil walitegemea makubwa sana kutoka kwake kwenye world cup ya 2006 na hasa ukiangalia ile all stars team iliyokuwa na watu kama robinho,Adriano,Ronaldo,Kaka,Juninho,kreberson..... Asee wabrazil walitemgea ukiongoza na ubora wa dinho hakuna mbwa atakae isimamisha brazil hadi ubingwa.

Ila kitendo cha wao kumruhusu mwarabu kutoka Algeria baba Zinadine Yazid Zidane kuwasasambua kama watoto wadogo na hatimae kuwaondosha wabrazil kwenye robo fainal kwa bao la king TH14, na kuwaacha wanalia lia tu...
f5360757bcdf965247089db4639e4f0a.jpg
0535df2f750dced547d9b777974f0211.jpg


Mechi hii iliwa disappoint sana wabrazil na ilifanya dinho adharaulike, kuna mwandishi mmoja wa habari alimuuliza kiutani tu baada ya michuano kuisha "kipi ambacho alikimiss kwenye michuano" yeye akasema ali mmiss Eto'o. Kitu ambacho kiliwaudhi sana wabrazil kwa maana ilionyesha dhairi dinho ana underestimate uwezo wa Adriano aliyekuwa ni striker bora kabisa wakati ule kwenye ligi ya Italia.

Na ndio maana hata kwenye Brazilian Football All of Fame ronadinho alichelewa kuingia kwa sababu wengi hawakumpigia kula wakati ule bado wabrazil wakali wapo wengi. Na hata world cup ya 2010 Dunga alivyomwacha watu hata hawakusikitika sana kama kipindi kile alivyoachwa Romario.

Leo hii ukienda brazil ukataja jina la Zinadine Zidane utaskia "el puleir" kwa maana ya nightmare.
 
A player like Gaucho happens once in 20-25 years
After Diego came Gaucho.
We are still waiting for the next "God sent"
Waache wengine washinanie magoli, mashuti, free kicks na assists
Gaucho ni mchawi
 
Hakuna kipindi ambacho dinho alikuwa onfire kama 2005/2006, na wabrazil walitegemea makubwa sana kutoka kwake kwenye world cup ya 2006 na hasa ukiangalia ile all stars team iliyokuwa na watu kama robinho,Adriano,Ronaldo,Kaka,Juninho,kreberson..... Asee wabrazil walitemgea ukiongoza na ubora wa dinho hakuna mbwa atakae isimamisha brazil hadi ubingwa.

Ila kitendo cha wao kumruhusu mwarabu kutoka Algeria baba Zinadine Yazid Zidane kuwasasambua kama watoto wadogo na hatimae kuwaondosha wabrazil kwenye robo fainal kwa bao la king TH14, na kuwaacha wanalia lia tu...
f5360757bcdf965247089db4639e4f0a.jpg
0535df2f750dced547d9b777974f0211.jpg


Mechi hii iliwa disappoint sana wabrazil na ilifanya dinho adharaulike, kuna mwandishi mmoja wa habari alimuuliza kiutani tu baada ya michuano kuisha "kipi ambacho alikimiss kwenye michuano" yeye akasema ali mmiss Eto'o. Kitu ambacho kiliwaudhi sana wabrazil kwa maana ilionyesha dhairi dinho ana underestimate uwezo wa Adriano aliyekuwa ni striker bora kabisa wakati ule kwenye ligi ya Italia.

Na ndio maana hata kwenye Brazilian Football All of Fame ronadinho alichelewa kuingia kwa sababu wengi hawakumpigia kula wakati ule bado wabrazil wakali wapo wengi. Na hata world cup ya 2010 Dunga alivyomwacha watu hata hawakusikitika sana kama kipindi kile alivyoachwa Romario.

Leo hii ukienda brazil ukataja jina la Zinadine Zidane utaskia "el puleir" kwa maana ya nightmare.
Na hii ndo kitu ilimpandisha zidane chat ndo maana nikimlinganisha na gaucho bado nta mchagaua gaucho kwakua anafanya utamani kumcheki atafanya nini kila akishika mpira
 
Back
Top Bottom