Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Mpaka sasa sijaona mchezaji Kama Ronaldinho (GAUCHO)

Hakuna kipindi ambacho dinho alikuwa onfire kama 2005/2006, na wabrazil walitegemea makubwa sana kutoka kwake kwenye world cup ya 2006 na hasa ukiangalia ile all stars team iliyokuwa na watu kama robinho,Adriano,Ronaldo,Kaka,Juninho,kreberson..... Asee wabrazil walitemgea ukiongoza na ubora wa dinho hakuna mbwa atakae isimamisha brazil hadi ubingwa.

Ila kitendo cha wao kumruhusu mwarabu kutoka Algeria baba Zinadine Yazid Zidane kuwasasambua kama watoto wadogo na hatimae kuwaondosha wabrazil kwenye robo fainal kwa bao la king TH14, na kuwaacha wanalia lia tu...
f5360757bcdf965247089db4639e4f0a.jpg
0535df2f750dced547d9b777974f0211.jpg


Mechi hii iliwa disappoint sana wabrazil na ilifanya dinho adharaulike, kuna mwandishi mmoja wa habari alimuuliza kiutani tu baada ya michuano kuisha "kipi ambacho alikimiss kwenye michuano" yeye akasema ali mmiss Eto'o. Kitu ambacho kiliwaudhi sana wabrazil kwa maana ilionyesha dhairi dinho ana underestimate uwezo wa Adriano aliyekuwa ni striker bora kabisa wakati ule kwenye ligi ya Italia.

Na ndio maana hata kwenye Brazilian Football All of Fame ronadinho alichelewa kuingia kwa sababu wengi hawakumpigia kula wakati ule bado wabrazil wakali wapo wengi. Na hata world cup ya 2010 Dunga alivyomwacha watu hata hawakusikitika sana kama kipindi kile alivyoachwa Romario.

Leo hii ukienda brazil ukataja jina la Zinadine Zidane utaskia "el puleir" kwa maana ya nightmare.
Kweli Mkuu.
Hata Mimi nilikereka
 
A player like Gaucho happens once in 20-25 years
After Diego came Gaucho.
We are still waiting for the next "God sent"
Waache wengine washinanie magoli, mashuti, free kicks na assists
Gaucho ni mchawi
Umeongea ukweli
 
Wazo lako ni sawa ila inategemea unamuangalia Gaucho ktk jicho gani kwa umahili wake ktk mchezo wa soka.
Wataalamu wa soka humtizama mchezaji ktk mitizamo ifuatayo kwa uchache;
Jinsi anavyoumiliki mpira, jinsi anavyotoa mipira inayo leta tija kwenye ushindi au kuweka tishio kwa timu pinzani, kama vile kona, penati, Adhabu ndogo, au goli.
Mchezaji kuwa na uwezo binafsi wa kuwasoma wapinzani wake kisaikolojia,kimaumbile na kisoka kwa haraka zaidi na kutoa maamzi, kisaikolojia kwa mfano ni pale mchezaji anapoweza kumtambua mpinzani wake kuwa huyu anamuogopa au ni ji jasiri au hajitambui au anahasira ya kufanya fujo (rafu), Kimaumbile kwa mfano ni pale anapojua kuwa mpinzani wake ni mdhaifu au mzito kutumia mguu flani, au mzito kugeuka upande flani, au golikipa huyo au yule hawezi kucheza kwa haraka mpira wa kimo flani, Ukimtizama mchezaji kwa mitizamo ya kitaalamu na kwa kina jinsi hii hapo utakuwa umemtendea haki Gaucho ukimlinganisha na akina Ronaldo de Lima, J.J.Okocha, Roger Milla, Nwanko,Kanu, Zidane,Cristian Ronaldo, Messi, Amando Maradona, Abeid Pelle. Kwa hawa wachache tu niliokutajia kila mmoja ana kipaji cha pekee sana ktk midani ya soka. Nionavyo mimi huenda umevutiwa sana na manjonjo anayofanya Gaucho uwanjani, kama vile chenga, jinsi anavyowapita maadui, jambo ambalo hata ukiangalia wachezaji hao niliowataja pia utaona maajabu vile vile. Lakini pia hili haliwezi kuwa kigezo pekee, kwani kuna "factors", mbalimbali za kuzingatia, mfano unatakiwa umwangalie mchezaji kwa mtizamo kuwa; kampiga chenga nani, ktk hali gani, na timu inayomchezesha in wachezaji wenye uwezo gani, kocha anauwezo gani, mfumo unaotumiwa ni upi, historia ya kisaikolijia ya mchezaji siku 3 za nyuma kabla ya mchezo. Naomba niishie hapa tu kwa sasa.
 
Nabiii wa mwisho wa soka - Gaucho
The one and only Gaucho
Wengine wataongoza kwa mabao, assists, free kicks, ballon d armors, player of the year awards etc lakini mchawi wa soka baada Diego anabaki mmoja tu
Gaucho!!!
 
Messi na ronaldo wote wawili ni zaidi ya gaucho. Tatizo watu mnaangalia sana videos za YouTube na kufikiri gaucho alikua anafanya vile kila mechi.
 
Gaucho, JJ Okocha, Zidane, Luis Figo,Messi(from 1990 and onwards)....hawa wachezaji walikuwa wanaujua kuuchezea mpira ....talented and entertainers.
 
Gaucho, JJ Okocha, Zidane, Luis Figo,Messi(from 1990 and onwards)....hawa wachezaji walikuwa wanaujua kuuchezea mpira ....talented and entertainers.
Figo aliwika kwa muda mfupi sana na alikuwa mkali wa foul tu
 
wengi humu wamezaliwa juzi.

nataka waliowaona hawa wachezaji waje tuzungumze...zidane..stephen efernberg...dinho..
figo ...luis enrique...raul...rivaldo...nedved..batistuta....
umemsahau GEORGE HAJI na HAAKAN SUKA na DAVOL SUKA
 
Hivi ulimuona Ronaldo akiwa anacheza kweli?

Ronaldo alikuwa ana dribbling skills za hatari,alikuwa fundi alikuwa fundi wa chenga za kuzalilisha

Alikuwa na nguvu na uwezo mkubwa wa kupiga mashuti na gifted skills nying
Ronaldhiho anachomzid Ronaldo labda ni mbwembwe za kuuchezea mpira lakin Ronaldo anamzid vitu ving zaid Ronaldinho

Maneno haya aliyasema Ronaldinho mwenyew akimzungumzia Ronaldo

“He was always an example for young people to look up to, for the way he overcame adversity. I was fortunate enough to play alongside him, my idol, for many years and we had so many great times together. He was always an idol of mine and will always be a friend.”
— Ronaldinho
Usijifanye umeangalia mpira peke yako hayo unayompachika ni uzushi na uzandiki mkubwa, weka ushahidi wa hayo ulooandika, nnachojua alikua hana tofauti na zlatan
 
Usijifanye umeangalia mpira peke yako hayo unayompachika ni uzushi na uzandiki mkubwa, weka ushahidi wa hayo ulooandika, nnachojua alikua hana tofauti na zlatan

Typical manure fan, they always live in delusion of grandeur, yaani Ronaldo del lima unamfananisha na Zlatan kweliii?
 
Gaucho ni habari nyingine kabisa. Kuna clip moja Maradona ambaye alikuwa uwanjani kuangalia mechi ambayo Gaucho alicheza baada ya mpira kuisha alikimbia kama shabiki kuingia uwanjani na kupeana mikono na Gaucho kisha kuibusu mikono yake.

A player like Gaucho happens once in 20-25 years
After Diego came Gaucho.
We are still waiting for the next "God sent"
Waache wengine washinanie magoli, mashuti, free kicks na assists
Gaucho ni mchawi
 


Gaucho ni habari nyingine kabisa. Kuna clip moja Maradona ambaye alikuwa uwanjani kuangalia mechi ambayo Gaucho alicheza baada ya mpira kuisha alikimbia kama shabiki kuingia uwanjani na kupeana mikono na Gaucho kisha kuibusu mikono yake.
 
Back
Top Bottom