Mpaka sasa Taifa Stars ndiyo Team Mbovu zaidi kwenye Afcon

Mpaka sasa Taifa Stars ndiyo Team Mbovu zaidi kwenye Afcon

Bila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu

Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi.

Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza

UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
Kwenye ratings za michuano ndio tumepewa nafasi ya mwisho kutwaa kombe 😄
 

Kama unamfahamu Sona Jobarteh basi nakuweka kundi la cosmopolitan. Huyu dada nimehudhuria shoo zake kadhaa barani Ulaya. Hakika ni hazina ya Gambia. Anatoka generation ya griot wakali wa kutandika Kora. Unapigiwa ala murua unasuuzika roho. Hakika vijana wa kileo wanakosa mambo mazuri upande wa burudani ya muziki na ala.
 
Chawa Wamekwenda Kula Posho Tu
Serikali Haiwekezi Kwenye Michezo Eti Inataka Matokeo Kupitia Mdomo Mtupu
 
Angalieni game ya DRC vs Zambia ni moto pamba
 
Screenshot_2024-01-17-23-37-09-1.png
 
nakataa...
Technically ndio team strong zaidi afconi..

ni mtazamo wa chuki tu japo kuna mahali pa kurekebisha kidogo tu kama ambavyo na mataifa mengine yanarekebisha penye changamoto ndani ya vikosi vyao...
Hakuna timu pale
 
nakataa...
Technically ndio team strong zaidi afconi..

ni mtazamo wa chuki tu japo kuna mahali pa kurekebisha kidogo tu kama ambavyo na mataifa mengine yanarekebisha penye changamoto ndani ya vikosi vyao...
mapenzi yatakuua mana inawezekana mpila aujaangalia
 
mapenzi yatakuua mana inawezekana mpila aujaangalia
kumbe bado mgeni kwenye mapenzi ee,
yanaumiza na tena yanaua na kuangamiza kabisa....
Ila kwa mechi ya jana ni nuksi tu za a puppet kua uwanjani,

Tayari Morocco walishatepeta kila idara, tulishawadhibiti right left and center na hawakua na la kutufanya ni nuksi tu za yule mjamaa na hakuna jengine 🐒
 
Back
Top Bottom