Kwenye ratings za michuano ndio tumepewa nafasi ya mwisho kutwaa kombe πBila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu
Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi.
Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza
UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
Ile ilikuwa off. Hatuna on hata moja
Funga mbwa wa ccm hao.nakataa...
Technically ndio team strong zaidi afconi..
ni mtazamo wa chuki tu japo kuna mahali pa kurekebisha kidogo tu kama ambavyo na mataifa mengine yanarekebisha penye changamoto ndani ya vikosi vyao...
Kama unamfahamu Sona Jobarteh basi nakuweka kundi la cosmopolitan. Huyu dada nimehudhuria shoo zake kadhaa barani Ulaya. Hakika ni hazina ya Gambia. Anatoka generation ya griot wakali wa kutandika Kora. Unapigiwa ala murua unasuuzika roho. Hakika vijana wa kileo wanakosa mambo mazuri upande wa burudani ya muziki na ala.
Timu ya CCM ,alaumiwe mwenyekiti wa CCMBila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu
Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi.
Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza
UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
View attachment 2874865View attachment 2874893View attachment 2874895
Funga mbwa wa ccm ha
π ππππCCM ndio tatizo.
ππππTatizo katiba.
Hakuna timu palenakataa...
Technically ndio team strong zaidi afconi..
ni mtazamo wa chuki tu japo kuna mahali pa kurekebisha kidogo tu kama ambavyo na mataifa mengine yanarekebisha penye changamoto ndani ya vikosi vyao...
Tuliingia ku defend sana hlf samatta nashauri sio wa kucheza winga yule ni strikerBila kujali lolote natamka wazi kwamba timu yetu ni mbovu, hata tunapokuwa 11 bila red card bado hamna kitu
Haijulikani hata fomesheni tunayocheza ni ipi.
Kwa mtazamo wangu hadi sasa Tanzania ndio kikosi kibovu kuliko vyote vilivyocheza
UZALENDO NI PAMOJA NA KUKOSOA, SIYO KUSIFIA TU
View attachment 2874865View attachment 2874893View attachment 2874895
mapenzi yatakuua mana inawezekana mpila aujaangalianakataa...
Technically ndio team strong zaidi afconi..
ni mtazamo wa chuki tu japo kuna mahali pa kurekebisha kidogo tu kama ambavyo na mataifa mengine yanarekebisha penye changamoto ndani ya vikosi vyao...
kumbe bado mgeni kwenye mapenzi ee,mapenzi yatakuua mana inawezekana mpila aujaangalia