momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Nani kakuambia tunapigwa mechi zote amini nakuambia!!!Hizi Match za Congo na Zambia tunapita[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ili sasa aibu ya Dunia itukute kule 16 Bora.
Afrcon ya msimu imechangamka sanasure Morocco hawana timu saivi ni kujiangusha tu na kulialia na kuomba huruma za refa lakini timu hakuna na hakuna mahali anaenda this time around
Ebhana niliangalia Ile game hakika kazi tunayo 🔥🔥🔥🔥Angalieni game ya DRC vs Zambia ni moto pamba
Masaa yote hayo anazungumza nao kitu Gani kama sio kutuona kwenye mchezo maana hata kama kuhamasisha sio kihvyo😃
Pasi wanazopiga hazina machoKwahiyo wakimbie bila mpira? Maana kumiliki mpira hawawezi
Mkuu soma vyemaa..nimesema mechi mbili zilizobaki tunapita.Kasheshe ni kule 16 Bora.Nani kakuambia tunapigwa mechi zote amini nakuambia!!!