LGE2024 Mpaka Sasa TAMISEMI imeshindwa kabla ya zoezi kuanza

LGE2024 Mpaka Sasa TAMISEMI imeshindwa kabla ya zoezi kuanza

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
1. Kumuengua mgombea kisa Hana shughuli ya kiuchumi ni upumbavu wa hali ya juu Kuna wazee walio na umri wa miaka 60 na kuendelea ambao wengi wao hawana majukumu ya kiuchumi ya kuzalisha mali je hawapaswi kugombea?

2. Kama makosa ya kujaza form yameonekana kuwa sugu kwanini msingetoa semina elekezi kwa wagombea wote namna ya kujaza form?

3. Kigezo Cha mgombea kuwa lazima amejiandikisha ni Cha hovyo na hakipaswi kukubalika kwani Kuna watu wanahama mitaa na wanataka kuwa viongozi.

4. Kukosea jina kuandika ni kitendo Cha kurekebisha tu ndani ya dakika moja huu ni ujinga kumuengua mgombea wa namna hiyo.

TAMISEMI kumbukeni Wazungu waliondoka wakiamini tunaweza kujitawala ila kwa haya mnayoyafanya hata Uganda kwa Mseveni hakuna ujinga kama huu. Eleweni taifa hili limejengwa kwa gharama kubwa na kwa huu ujinga mtaleta matatizo makubwa ya kijamii.
 
Mchengerwa ameongeza chuki ya wananchi kwa Rais Samia.

..Samia Suluhu KIKATIBA ndiye Waziri wa Tamisemi.

..Tamisemi ni Wizara iliyo chini ya Ofisi ya Raisi.

..Mchengerwa sio full cabinet minister kama walivyo wakina Mwigulu, Kombo, Kabudi, ...

..kama kuna madudu yanaendelea Tamisemi mhusika nambari moja ni Samia Suluhu ambaye ndiye Waziri kamili wa wizara hiyo.
 
1. Kumuengua mgombea kisa Hana shughuli ya kiuchumi ni upumbavu wa hali ya juu Kuna wazee walio na umri wa miaka 60 na kuendelea ambao wengi wao hawana majukumu ya kiuchumi ya kuzalisha mali je hawapaswi kugombea?

2. Kama makosa ya kujaza form yameonekana kuwa sugu kwanini msingetoa semina elekezi kwa wagombea wote namna ya kujaza form?

3. Kigezo Cha mgombea kuwa lazima amejiandikisha ni Cha hovyo na hakipaswi kukubalika kwani Kuna watu wanahama mitaa na wanataka kuwa viongozi.

4. Kukosea jina kuandika ni kitendo Cha kurekebisha tu ndani ya dakika moja huu ni ujinga kumuengua mgombea wa namna hiyo.

TAMISEMI kumbukeni Wazungu waliondoka wakiamini tunaweza kujitawala ila kwa haya mnayoyafanya hata Uganda kwa Mseveni hakuna ujinga kama huu. Eleweni taifa hili limejengwa kwa gharama kubwa na kwa huu ujinga mtaleta matatizo makubwa ya kijamii.
Walimu wanajiandaa kwenda kusimamia Uchafuzi huu kwa maelekezo ya bosi wao “Kifua Kipana”
 
Kwani kuna mgombea yeyote wa CCM ameenguliwa?
Hakuna labda wa mchango .Hata idadi ndogo ya wagombea wa upinzani wanaosema wamerejeshwa ni wale ambao si tishio kwa wagombea wa chama tawala .Wale ambao wana uwezekano wa kushinda rufaa zao zimetupiliwa mbali.Ni aibu sana mpaka nimeiona bbc hata majirani zetu wanatuona sisi ni watu primitive kwa sababu ya kuenguana ili tu mtu apate uongozi wa chee
 
1. Kumuengua mgombea kisa Hana shughuli ya kiuchumi ni upumbavu wa hali ya juu Kuna wazee walio na umri wa miaka 60 na kuendelea ambao wengi wao hawana majukumu ya kiuchumi ya kuzalisha mali je hawapaswi kugombea?

2. Kama makosa ya kujaza form yameonekana kuwa sugu kwanini msingetoa semina elekezi kwa wagombea wote namna ya kujaza form?

3. Kigezo Cha mgombea kuwa lazima amejiandikisha ni Cha hovyo na hakipaswi kukubalika kwani Kuna watu wanahama mitaa na wanataka kuwa viongozi.

4. Kukosea jina kuandika ni kitendo Cha kurekebisha tu ndani ya dakika moja huu ni ujinga kumuengua mgombea wa namna hiyo.

TAMISEMI kumbukeni Wazungu waliondoka wakiamini tunaweza kujitawala ila kwa haya mnayoyafanya hata Uganda kwa Mseveni hakuna ujinga kama huu. Eleweni taifa hili limejengwa kwa gharama kubwa na kwa huu ujinga mtaleta matatizo makubwa ya kijamii.
Aibu kwa mahaka zetu zinazo toa maamuzi ya kuibeba Ccm
 
Back
Top Bottom