Mfilisiti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 396
- 1,958
Wakuu poleni na Majukumu, moja kwa moja kwenye mada .
Binafsi Mpaka sasa nimejifunza haya hapa👇👇
1: Kama hutapambana kufanya kazi kwa bidi kutimiza ndoto zako mwenyewe, kuna mtu atakuajiri na kukupa kusudi.
2: Maisha hayangojei uwe sawa, amka kila siku na uendelee kusonga mbele.
3: Wathamini sana Watu wanaokusema na kukufuatilia Maisha yako
Maana si kazi rahisi Mtu kuacha Matatizo yake na Kuyabeba yako.
4: Kaka jitaidi kuwa Smart, piga pasi na kaperfume kwa mbali.
Kuna wanawake Shida yao ni Mwanaume Smart tu.😀😀
5: Brother Unampenda? Mwambie Akatae yaishe, kuliko kumtumia hizo HEY,HI,Umekula??,Karibu Chai, n.k(be straight to the point)
6: Kuna mpaka ‘’Mabadiliko ya tabia ya Nchi’’ halafu wewe bado unaamini huyo mpenzi wako hawezi badilika??? really😀😀
7: Umri wa Miaka 30 ni Miaka mingi sana Kukaa Ofisini huku ukisubiri kuambiwa ni kipi chakufanya.
8: Maisha ni bora 100% wakati hakuna mtu anajua chochote kukuhusu wewe.
9: Ugali dagaa ni chakula kitamu sana endapo usipozingatia harufu ya pilau kwa jirani yako.
10: Kadri Umri unavyoenda ndio nagundua kwa nini baba alikua hataki kufungulia redio kwa sauti kubwa, jamani KELELE na MADENI haviendani kabisa😀😀
11: Ukifatilia sana Maisha ya Watu Utapishana na Maisha yako.
12: Kila mtu anayo hekima, hadi pale tu atakapo fungua mdomo wake.
Binafsi nimechelewa sana kujua ukweli kuhusu Maisha, hasa ukitokea kwenye familia inayoamini kwamba ''education is better than Money''
Yaani hata kama kuna fursa ya Kuuza mchicha mtaani basi ukiifanya dharau na kejeli utakazokutana nazo sio za nchi hii.
Je? wewe mpaka sasa umejifunza nini kuhusu maisha????
Binafsi Mpaka sasa nimejifunza haya hapa👇👇
1: Kama hutapambana kufanya kazi kwa bidi kutimiza ndoto zako mwenyewe, kuna mtu atakuajiri na kukupa kusudi.
2: Maisha hayangojei uwe sawa, amka kila siku na uendelee kusonga mbele.
3: Wathamini sana Watu wanaokusema na kukufuatilia Maisha yako
Maana si kazi rahisi Mtu kuacha Matatizo yake na Kuyabeba yako.
4: Kaka jitaidi kuwa Smart, piga pasi na kaperfume kwa mbali.
Kuna wanawake Shida yao ni Mwanaume Smart tu.😀😀
5: Brother Unampenda? Mwambie Akatae yaishe, kuliko kumtumia hizo HEY,HI,Umekula??,Karibu Chai, n.k(be straight to the point)
6: Kuna mpaka ‘’Mabadiliko ya tabia ya Nchi’’ halafu wewe bado unaamini huyo mpenzi wako hawezi badilika??? really😀😀
7: Umri wa Miaka 30 ni Miaka mingi sana Kukaa Ofisini huku ukisubiri kuambiwa ni kipi chakufanya.
8: Maisha ni bora 100% wakati hakuna mtu anajua chochote kukuhusu wewe.
9: Ugali dagaa ni chakula kitamu sana endapo usipozingatia harufu ya pilau kwa jirani yako.
10: Kadri Umri unavyoenda ndio nagundua kwa nini baba alikua hataki kufungulia redio kwa sauti kubwa, jamani KELELE na MADENI haviendani kabisa😀😀
11: Ukifatilia sana Maisha ya Watu Utapishana na Maisha yako.
12: Kila mtu anayo hekima, hadi pale tu atakapo fungua mdomo wake.
Binafsi nimechelewa sana kujua ukweli kuhusu Maisha, hasa ukitokea kwenye familia inayoamini kwamba ''education is better than Money''
Yaani hata kama kuna fursa ya Kuuza mchicha mtaani basi ukiifanya dharau na kejeli utakazokutana nazo sio za nchi hii.
Je? wewe mpaka sasa umejifunza nini kuhusu maisha????