Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Yaaah mkuu au wee unanipinga hapoTuwe na itikadi kali kama Taliban vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaah mkuu au wee unanipinga hapoTuwe na itikadi kali kama Taliban vile
Yaaan unamanishaHakuna jipya,ndo iviivi
Maisha ndo iviivi tunavyoishi...huzuni furaha vyote vyetuYaaan unamanisha
Haya bhana.. hivyo unavumiliaga tuMaisha ndo iviivi tunavyoishi...huzuni furaha vyote vyetu
Daaah aiseeeeee.... Bora yaumie marinda ila usiumie wewe je ?? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimejifunza ukileta tamaa mjini marinda yataumia sana
Uvumilivu ndo maisha yenyeweHaya bhana.. hivyo unavumiliaga tu
Haipingi mzee babaYaaah mkuu au wee unanipinga hapo
Duh! umenifanya nicheke sanaNimejifunza ukileta tamaa mjini marinda yataumia sana
Walevi bhana muda wote wanawaza Bata tuuu9: Utaishi muda mfupi sana haizidi miaka 100, usifanye maisha kuwa magumu, usijidai mtu wa kanuni, jiachie burudika.
...........7: Umri wa Miaka 30 ni Miaka mingi sana Kukaa Ofisini huku ukisubiri kuambiwa ni kipi chakufanya.
Mbona wee wanakuamini mkuuBado nazidi kujifunza mkuu
Ila kamwe Usimwamini mtu yeyote
Pambana bila kuchoka anza kujielewa mapema uanze kuzifuata ndoto zako
Hutakiwi kuvumilia lakiniUvumilivu ndo maisha yenyewe
Mbona wewe wanakuamini...Use people as u can do not trust anybody
Mkuu wengine watakushangaza yaani usiwe mayai mayai na kuwa exploited for their own goodMbona wee wanakuamini mkuu
Wee kama wanakuamini na wewe huna budi kumuamini mtu...🤐📌Mkuu wengine watakushangaza yaani usiwe mayai mayai na kuwa exploited for their own good