Mpaka sasa uongozi wa Lissu na Heche umeshindwa kufanya mambo ya msingi yafuatayo

Mpaka sasa uongozi wa Lissu na Heche umeshindwa kufanya mambo ya msingi yafuatayo

Ndugu Kalamu, the best way ya kuwafanya viongozi wetu wawe makini, wasijisahau ni KUWAHOLD TO ACCOUNT. Hawa ukiwapa blank checque wanajisahau.

Tukiachilia mbali hilo, Je issue ya Deusdedith Soka huoni kuwa inahitaji extra push?
Inanisikitisha sana kutofautiana na wewe katika hili.
Ndiyo, inawezekanakabisa kwamba mada hii umeiandika kwa nia njema; lakini kwa bahati mbaya sana imekaa kama ni ya kuwa vunja moyo hawa viongozi!
Sote tunajuwa jinsi gani muda ulivyo mfinyu sana kufanya mambo muhimu kabla ya Oktoba, leo hii tunatafuta ajenda zinazotafuta kuwaondoa viongozi hawa kwenye kujipanga kufanya ajenda kuu zaidi ambayo itajumuisha hata haya unayosema viongozi wameyasahau?
Leo hii unataka Tundu Lissu aitishe maandamano kuwashinikiza serikali kuhusu vijana walio potea, kweli?
 
Sijui kama ni njaa, lakini kuna watu ambao ni vigumu kuwaweka kwenye kundi la wenye njaa kutokana na heshima waliyo jijengea kwa misimamo waliyo ishikilia kwa muda mrefu humu JF.
We elewa ndugu. Njaa haina baunsa.
 
Inanisikitisha sana kutofautiana na wewe katika hili.
Ndiyo, inawezekanakabisa kwamba mada hii umeiandika kwa nia njema; lakini kwa bahati mbaya sana imekaa kama ni ya kuwa vunja moyo hawa viongozi!
Sote tunajuwa jinsi gani muda ulivyo mfinyu sana kufanya mambo muhimu kabla ya Oktoba, leo hii tunatafuta ajenda zinazotafuta kuwaondoa viongozi hawa kwenye kujipanga kufanya ajenda kuu zaidi ambayo itajumuisha hata haya unayosema viongozi wameyasahau?
Leo hii unataka Tundu Lissu aitishe maandamano kuwashinikiza serikali kuhusu vijana walio potea, kweli?

Mimi naamini kuwa hii mada itawasaidia wawe vigilant. Na pia itawasaidia wajue kuwa umma anytime unaweza kwa bahati mbaya kuwa swayed in a wrong direction kupitia weaknesses zao. Kwa hivyo wajitahidi kuziba mashimo ili agenda kubwa ya NO REFORMS NO ELECTION iweze kwenda mbele!
 
Mimi naamini kuwa hii mada itawasaidia wawe vigilant. Na pia itawasaidia wajue kuwa umma anytime unaweza kwa bahati mbaya kuwa swayed in a wrong direction kupitia weaknesses zao. Kwa hivyo wajitahidi kuziba mashimo ili agenda kubwa ya NO REFORMS NO ELECTION iweze kwenda mbele!
Mimi siamini hivyo.
Historia ya nchi hii inajulikkana ni kiasi gani wananchi wake wamekuwa watiifu kwa chama ambacho kimekuwa mstari wa mbele kupigania maslahi yao, CCM. Ni wananchi hawa hawa wanao hitaji ushawishi mkubwa kuonyesha jinsi chama walicho kiamini kwa miaka yote kilivyo kwisha badilika na kuwa na maslahi tofauti kabisa na matarajio yao.
CCM ilichukua muda na ushawishi mkubwa kuwafikisha hapo wananchi. Usitegemee chama kingine kiibuke mara moja na kuwabadili wananchi, pamoja na matatizo mengi wanayo yashuhudia chini ya CCM.

kuna tatizo gani kuwapa fursa viongozi hawa wajipange kuipeleka ajenda kuu hii kwa wananchi; na badala yake tunatafuta njia za kuwachanganya kwa mada kama hii uliyo leta hapa leo?
 
Mimi siamini hivyo.
Historia ya nchi hii inajulikkana ni kiasi gani wananchi wake wamekuwa watiifu kwa chama ambacho kimekuwa mstari wa mbele kupigania maslahi yao, CCM. Ni wananchi hawa hawa wanao hitaji ushawishi mkubwa kuonyesha jinsi chama walicho kiamini kwa miaka yote kilivyo kwisha badilika na kuwa na maslahi tofauti kabisa na matarajio yao.
CCM ilichukua muda na ushawishi mkubwa kuwafikisha hapo wananchi. Usitegemee chama kingine kiibuke mara moja na kuwabadili wananchi, pamoja na matatizo mengi wanayo yashuhudia chini ya CCM.

kuna tatizo gani kuwapa fursa viongozi hawa wajipange kuipeleka ajenda kuu hii kwa wananchi; na badala yake tunatafuta njia za kuwachanganya kwa mada kama hii uliyo leta hapa leo?

Ndugu yangu, Deusdedith Soka na wenzie hawana muda ambao akina Lissu wanao.
Situation yao ni urgent!
 
We elewa ndugu. Njaa haina baunsa.
Watu hupoteza maisha kwa kulinda wanacho kisimamia kama binaadam. Akina Mwalimu Nyerere waliambiwa wachague kushiba kwa mshahara, au wakasimamie mapambano ya kupata uhuru.

Haya ya "njaa" unayo yasisitiza wewe ni ya akina Samia wanao amini kuwa kila mTanzania anayo bei ya kununua ubinaadam wake. Hakuna tusi kubwa zaidi ya hilo kwa mtu anaye jitambua.
 
Sasa wewe unataka akina Lissu wakawatoe kwenye 'situation' hiyo kwa njia zipi hasa?
Soka was CHADEMAs fresh blood, he can't dissapear in the darkness and the party gets tired to demand of his wherebouts from the government!.

You asked me of what ought to be done, Here is what I think should be done!.

Amplify the voice, invoke the party's machinery to put pressure on the government to bring Soka, alive or dead, and keep on demanding accountability for those whom the former chairman had identified as culpits of kidnappings in the country. Entice party members to unceasingly observe vigil for the kidnapped as a peaceful means of protest. Most importantly, keep discussion about Soka alive in the society.

Call on demonstrations!. Can't the new chairman put CHADEMA members on the streets to demand the release of their cadre?. Why not?
 
Mimi siamini hivyo.
Historia ya nchi hii inajulikkana ni kiasi gani wananchi wake wamekuwa watiifu kwa chama ambacho kimekuwa mstari wa mbele kupigania maslahi yao, CCM. Ni wananchi hawa hawa wanao hitaji ushawishi mkubwa kuonyesha jinsi chama walicho kiamini kwa miaka yote kilivyo kwisha badilika na kuwa na maslahi tofauti kabisa na matarajio yao.
CCM ilichukua muda na ushawishi mkubwa kuwafikisha hapo wananchi. Usitegemee chama kingine kiibuke mara moja na kuwabadili wananchi, pamoja na matatizo mengi wanayo yashuhudia chini ya CCM.

kuna tatizo gani kuwapa fursa viongozi hawa wajipange kuipeleka ajenda kuu hii kwa wananchi; na badala yake tunatafuta njia za kuwachanganya kwa mada kama hii uliyo leta hapa leo?
Ninashangaa mnapotoa excuses kwa uongozi wa sasa. Wengine hawataki kabisa kuona wakikosolewa. Natofautiana na wewe kwa sababu:
1. Uongozi wa sasa sio mgeni. Karibu wote walikuwa viongozi wa juu wakati wa Mbowe kwa hiyo shughuli za kuwashawishi wananchi walianza zamani. Hwakuibuka Januari.
2.Viongozi wa sasa walifikia uamuzi wa kupambana na Mbowe baada ya kuamini kuwa hana hoja mpya. Kwa sababu hiyo walitakiwa kujipanga namna watakavyojitofautisha na Mbowe mara walipoamua kumng'oa. Kusema kuwa wanahitaji muda ili wajipange inaweza kuonekana kama walikurupuka.
3. Ni wao ndio waliahidi kuwa watakuwa watu wa mchakamchaka lakini kinachosikika ni vikao vya kujipanga kwa ajili ya mpambano. Kuna matunda ya chini kama hayo ya wanachama waliopotea na waliouawa. Mpaka sasa njia wanazotumia zinaonekana ni ineffective. Wamemleta mjane wa mgombea wao lakini hawakutoa tamko lolote la namna watakavyomsaidia. Wanashindwa nini kuanzisha mfuko wa kuhudumia wahanga wa haya ambao maisha yao kwa kweli magumu? Ukiangalia uongozi ulivyosheheni wanasheria kwa nini mpaka leo hawasemi ile ahadi yao ya kuwafikisha wabaya wao mahakamani imefika wapi?
Wakati wa kampeni walimlaumu Mbowe kwa kutokuwa transparent katika matumizi ya pesa kiasi cha watu kuwa Mbowe anafaidika sana na mali ya chama. Kwa nini wasionyeshe tufauti yao kwa kuweka wazi hesabu za michango na matumizi yao? Kuna dhambi gani kumtaka Mwenyekiti aelezee kiasi alichochangiwa kwa ajili ya gari na ana mpango gani na michango hiyo? Hamuoni kuwa ukimya wake ndio unawapa ajenda CCM ambao walimchangia kwa mbwembwe? Hata kama alichangiwa yeye binafsi. Hauwezi kuendelea kuomba uchangiwe lakini unakuwa mkali unapoulizwa kuhusu matumizi ya hiyo michango!

Amandla...
 
Soka was CHADEMAs fresh blood, he can't dissapear in the darkness and the party gets tired to demand of his wherebouts from the government!.

You asked me of what ought to be done, Here is what I think should be done!.

Amplify the voice, invoke the party's machinery to put pressure on the government to bring Soka, alive or dead, and keep on demanding accountability for those whom the former chairman had identified as culpits of kidnappings in the country. Entice party members to unceasingly observe vigil for the kidnapped as a peaceful means of protest. Most importantly, keep discussion about Soka alive in the society.

Call on demonstrations!. Can't the new chairman put CHADEMA members on the streets to demand the release of their cadre?. Why not?
Wanaweza pia kutumia social media zao kuhakikisha kuwa mtu akiingia tu anakutana na kilio chao kuhusu wakina Soka. Wanaweza kuweka mita inayoonyesha siku ambazo wamepotea au kuuawa bila maelezo ya maana. Wanaweza kuanzisha mifuko ya kushughulikia kesi zao na kuwahudumia wahanga wa hayo matumikio. Lakini ukienda sasa kwenye social media zao zimetawaliwa na picha za viongozi!
Aidha, wanaweza kuanzisha taratibu ya kuwa na dakika kadhaa za kuwakumbuka kila wanapofanya mikutano au wanapofanyiwa interviews. Ili mradi kuhakikisha kuwa jamii haiwasahau.

Amandla...
 
Pascal Mayalla alimuomba Mhe. Tundu Antipas Lissu awe anasoma Jamii Forums nina imani atasoma na kutafanyia kazi.

#NO REFORMS NO ELECTION
 
Nataka nitangaze kuwa naunga mkono msimamo wa Chama cha CHADEMA wa NO REFORMS NO ELECTION na pia nauunga mkono uongozi wa sasa wa CHADEMA wa Mwenyekiti Lissu na Makamu wake (bara) John Heche.

Uongozi huu umeleta energy mpya, matumaini mapya na imani mpya kwa wananch, hata hivyo kuna mambo kadha wa kadha ya msingi sana uongozi huu mpya haujafanya na pengine inaonekana hauna interest ya kufanya. Nitaeleza.

1. Mpaka Sasa Uongozi huu umeshindwa kuweka pressure ya kutosha ili Kijana wa Chama Deusdedit Soka apatikane akiwa Hai au mfu.

Kwenye hili suala, Lissu naye amegeuka bubu, Lissu wa kipindi cha kuutafuta uenyekiti wa CHADEMA alikuwa akimzungumzia Soka. Ila Lissu Mwenyekiti inaonekana hana Interest hata kidogo na hatma ya hawa vijana. Siyo tu kwamba hamzungumzii kabisa kijana Deusdedith Soka na wenzie lakini haonyeshi msuli wa chama na ushawishi wa nafasi yake kuweka pressure ili kijana huyo ambaye alikuwa kada wa chama, tena kada mpambanaji aweze kupatikana akiwa hai au mfu. Hii inapunguza mori wa vijana waliodhani kuwa wakipata mwenyekiti mpya hasa Lissu, hili suala la upatikanaji wa Deusdedith Soka ama akiwa hai au mfu litapata msukumo mkubwa zaidi. Kumbuka moja ya sababu za kumuunga mkono Lissu kwenye uenyekiti ni imani kuwa Mbowe amekuwa soft kwenye ishu ya Deusdedith Soka. Tunashangaa Lissu amekuwa SOFTER TEN TIMES.

2. Lissu mpaka sasa ameshindwa kutoa Shukrani Rasmi kwa Diaspora.

Ili kufanikisha azma yake ya kugombea uenyekiti, Lissu aliungwa mkono na watu wengi nje na ndani ya nchi. Watu walijitolea muda wao, Pesa zao, organisation n.k LAKINI mpaka leo hii ameshindwa kwenda Clubhouse alipokuwa anapiga kambi kipindi siyo mwenyekiti lakini leo hii anashindwa kwenda hata huko kutoa shukrani kwa watu waliompambania kindakindaki. Ikumbukwe Diaspora wamekuwa wakifinance harakati nyingi tu za Chadema na hata Lissu mwenyewe. Sasa hapa Ishu siyo suala la kwenda au kutokwenda clubhouse ili kuongea na Base yake hii ya kisiasa. Ishu hapa inaonyesha kukosekana kwa GRATITUDE kwa ndugu Lissu, otherwise hebu niambie, unapata wapi muda wa kwenda Makerere Ugnda kumzungumzia Nyerere lakini huna Muda wa kuingia Clubhouse na kuongea na base yako hii?. Hii pengine inamaanisha kuwa Lissu anaichukulia hii base for granted, na inaonyesha kuwa pengine hana gratitude. Mbona zamani alikuwa akija clubhiuse mara kwa mara kutoa elimu na kuongea na base yake leo mbona anakacha?. Au anadhani kuwa labda Diaspora wanafaa kuwa ATM tu wa kutoa pesa lakini hana time nao baada ya kushika hstamu za chama?. Diaspora wana interests zao kwenye NO REFORMS NO ELECTION hasa ya URAIA pacha wanataka wasikie hilo linakuwa featured vipi.

3. Mpaka Sasa Lissu hajaeleza ule mchango wa Milioni zaidi ya 120 alizochangiwa kununua gari ziko wapi!

Kwa hivi sasa baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti ndugu Lissu tunaona anatembelea gari jipya, zuri, siyo lile la matundu ya Risasi. At the same time kuna pesa zaidi ya milioni 120 alizochangiwa na wananchi kununua gari, yeye aliliita gari la kazi. Hata hivyo Lissu amemute, yuko kimya, haelezi nini hatma ya hizo pesa, maana kwa sasa ana gari zuri. Je kwa nini hayuko transparent?, Je hizo pesa anakusudia kuzifanyia nini?. Je ipo haja hizo pesa aziingize katika chama ili zisaidie operesheni ya no reforms no election?. Kwa kiongizi makini lazima awe transparent na accountable kwa pesa zitokanazo na wananchi. Je Lissu atanunua lini hilo gari ambalo ameshindwa kulinunua kwa zaidi ya miezi Sita iliyopita?

4. Lissu na Heche hawajaeleza wamechangia sh ngapi kwenye TONE TONE.

Uongozi ni kuonyesha njia, ukiwa kiongozi inabidi uongozi kwa mfano. Yes umezindua operesheni ya Tone Tone, Je wewe umechanga?. Kama umechanga umechanga sh ngapi?. Au mchango wako ni siri ndugu mwenyekiti?, au mchango wako ni siri ndugu makamu mwenyekiti?.Umma unataka hamasa, wanachadema wanajua umuhimu wa kuchangia chama lakini Kiongozi akionyesha mfano inaleta hamasa zaidi. Mwananchi asiye na chama au asiye mwanachadrma hawezi kuwa na mzuka wa kuchangia kama haoni kama kiongozi wa chama na makamu wake wamechangia. SHOW US MR CHAIRMAN and MR VICE/DEPUTY CHAIRMAN how much you have put in TONETONE!
Hata wewe unaweza toa pakuanzia jinsi ya kufanya ili kuizalisha pressure waliotekwa na kupotezwa ni wengi
 
Hata wewe unaweza toa pakuanzia jinsi ya kufanya ili kuizalisha pressure waliotekwa na kupotezwa ni wengi
Deusdedith Soka alikuwa ni kiongozi wa CHADEMA, Mwenyekiti wa BAVICHA Temeke. Mwenyekiti hapaswi kupiga kimya kwa upoteaji wake!.
Kama Mwenyekiti anaweza kwenda Makerere university "kumchana" Nyerere, lazima muda wa kutosha anao wa kumpania kijana wa chama chake Deusdedith Soka!
 
Ninashangaa mnapotoa excuses kwa uongozi wa sasa. Wengine hawataki kabisa kuona wakikosolewa. Natofautiana na wewe kwa sababu:
1. Uongozi wa sasa sio mgeni. Karibu wote walikuwa viongozi wa juu wakati wa Mbowe kwa hiyo shughuli za kuwashawishi wananchi walianza zamani. Hwakuibuka Januari.
2.Viongozi wa sasa walifikia uamuzi wa kupambana na Mbowe baada ya kuamini kuwa hana hoja mpya. Kwa sababu hiyo walitakiwa kujipanga namna watakavyojitofautisha na Mbowe mara walipoamua kumng'oa. Kusema kuwa wanahitaji muda ili wajipange inaweza kuonekana kama walikurupuka.
3. Ni wao ndio waliahidi kuwa watakuwa watu wa mchakamchaka lakini kinachosikika ni vikao vya kujipanga kwa ajili ya mpambano. Kuna matunda ya chini kama hayo ya wanachama waliopotea na waliouawa. Mpaka sasa njia wanazotumia zinaonekana ni ineffective. Wamemleta mjane wa mgombea wao lakini hawakutoa tamko lolote la namna watakavyomsaidia. Wanashindwa nini kuanzisha mfuko wa kuhudumia wahanga wa haya ambao maisha yao kwa kweli magumu? Ukiangalia uongozi ulivyosheheni wanasheria kwa nini mpaka leo hawasemi ile ahadi yao ya kuwafikisha wabaya wao mahakamani imefika wapi?
Wakati wa kampeni walimlaumu Mbowe kwa kutokuwa transparent katika matumizi ya pesa kiasi cha watu kuwa Mbowe anafaidika sana na mali ya chama. Kwa nini wasionyeshe tufauti yao kwa kuweka wazi hesabu za michango na matumizi yao? Kuna dhambi gani kumtaka Mwenyekiti aelezee kiasi alichochangiwa kwa ajili ya gari na ana mpango gani na michango hiyo? Hamuoni kuwa ukimya wake ndio unawapa ajenda CCM ambao walimchangia kwa mbwembwe? Hata kama alichangiwa yeye binafsi. Hauwezi kuendelea kuomba uchangiwe lakini unakuwa mkali unapoulizwa kuhusu matumizi ya hiyo michango!

Amandla...

Umeliweka vizuri sana.
 
Nataka nitangaze kuwa naunga mkono msimamo wa Chama cha CHADEMA wa NO REFORMS NO ELECTION na pia nauunga mkono uongozi wa sasa wa CHADEMA wa Mwenyekiti Lissu na Makamu wake (bara) John Heche.

Uongozi huu umeleta energy mpya, matumaini mapya na imani mpya kwa wananch, hata hivyo kuna mambo kadha wa kadha ya msingi sana uongozi huu mpya haujafanya na pengine inaonekana hauna interest ya kufanya. Nitaeleza.

1. Mpaka Sasa Uongozi huu umeshindwa kuweka pressure ya kutosha ili Kijana wa Chama Deusdedit Soka apatikane akiwa Hai au mfu.

Kwenye hili suala, Lissu naye amegeuka bubu, Lissu wa kipindi cha kuutafuta uenyekiti wa CHADEMA alikuwa akimzungumzia Soka. Ila Lissu Mwenyekiti inaonekana hana Interest hata kidogo na hatma ya hawa vijana. Siyo tu kwamba hamzungumzii kabisa kijana Deusdedith Soka na wenzie lakini haonyeshi msuli wa chama na ushawishi wa nafasi yake kuweka pressure ili kijana huyo ambaye alikuwa kada wa chama, tena kada mpambanaji aweze kupatikana akiwa hai au mfu. Hii inapunguza mori wa vijana waliodhani kuwa wakipata mwenyekiti mpya hasa Lissu, hili suala la upatikanaji wa Deusdedith Soka ama akiwa hai au mfu litapata msukumo mkubwa zaidi. Kumbuka moja ya sababu za kumuunga mkono Lissu kwenye uenyekiti ni imani kuwa Mbowe amekuwa soft kwenye ishu ya Deusdedith Soka. Tunashangaa Lissu amekuwa SOFTER TEN TIMES.

2. Lissu mpaka sasa ameshindwa kutoa Shukrani Rasmi kwa Diaspora.

Ili kufanikisha azma yake ya kugombea uenyekiti, Lissu aliungwa mkono na watu wengi nje na ndani ya nchi. Watu walijitolea muda wao, Pesa zao, organisation n.k LAKINI mpaka leo hii ameshindwa kwenda Clubhouse alipokuwa anapiga kambi kipindi siyo mwenyekiti lakini leo hii anashindwa kwenda hata huko kutoa shukrani kwa watu waliompambania kindakindaki. Ikumbukwe Diaspora wamekuwa wakifinance harakati nyingi tu za Chadema na hata Lissu mwenyewe. Sasa hapa Ishu siyo suala la kwenda au kutokwenda clubhouse ili kuongea na Base yake hii ya kisiasa. Ishu hapa inaonyesha kukosekana kwa GRATITUDE kwa ndugu Lissu, otherwise hebu niambie, unapata wapi muda wa kwenda Makerere Ugnda kumzungumzia Nyerere lakini huna Muda wa kuingia Clubhouse na kuongea na base yako hii?. Hii pengine inamaanisha kuwa Lissu anaichukulia hii base for granted, na inaonyesha kuwa pengine hana gratitude. Mbona zamani alikuwa akija clubhiuse mara kwa mara kutoa elimu na kuongea na base yake leo mbona anakacha?. Au anadhani kuwa labda Diaspora wanafaa kuwa ATM tu wa kutoa pesa lakini hana time nao baada ya kushika hstamu za chama?. Diaspora wana interests zao kwenye NO REFORMS NO ELECTION hasa ya URAIA pacha wanataka wasikie hilo linakuwa featured vipi.

3. Mpaka Sasa Lissu hajaeleza ule mchango wa Milioni zaidi ya 120 alizochangiwa kununua gari ziko wapi!

Kwa hivi sasa baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti ndugu Lissu tunaona anatembelea gari jipya, zuri, siyo lile la matundu ya Risasi. At the same time kuna pesa zaidi ya milioni 120 alizochangiwa na wananchi kununua gari, yeye aliliita gari la kazi. Hata hivyo Lissu amemute, yuko kimya, haelezi nini hatma ya hizo pesa, maana kwa sasa ana gari zuri. Je kwa nini hayuko transparent?, Je hizo pesa anakusudia kuzifanyia nini?. Je ipo haja hizo pesa aziingize katika chama ili zisaidie operesheni ya no reforms no election?. Kwa kiongizi makini lazima awe transparent na accountable kwa pesa zitokanazo na wananchi. Je Lissu atanunua lini hilo gari ambalo ameshindwa kulinunua kwa zaidi ya miezi Sita iliyopita?

4. Lissu na Heche hawajaeleza wamechangia sh ngapi kwenye TONE TONE.

Uongozi ni kuonyesha njia, ukiwa kiongozi inabidi uongozi kwa mfano. Yes umezindua operesheni ya Tone Tone, Je wewe umechanga?. Kama umechanga umechanga sh ngapi?. Au mchango wako ni siri ndugu mwenyekiti?, au mchango wako ni siri ndugu makamu mwenyekiti?.Umma unataka hamasa, wanachadema wanajua umuhimu wa kuchangia chama lakini Kiongozi akionyesha mfano inaleta hamasa zaidi. Mwananchi asiye na chama au asiye mwanachadrma hawezi kuwa na mzuka wa kuchangia kama haoni kama kiongozi wa chama na makamu wake wamechangia. SHOW US MR CHAIRMAN and MR VICE/DEPUTY CHAIRMAN how much you have put in TONETONE!

..Samia Suluhu ndiye Amiri Jeshi Mkuu na ameshindwa kutoa maamuzi ili Soka na wenzake waachiwe.
 
1. Mpaka Sasa Uongozi huu umeshindwa kuweka pressure ya kutosha ili Kijana wa Chama Deusdedit Soka apatikane akiwa Hai au mfu.

Kwenye hili suala, Lissu naye amegeuka bubu, Lissu wa kipindi cha kuutafuta uenyekiti wa CHADEMA alikuwa akimzungumzia Soka. Ila Lissu Mwenyekiti inaonekana hana Interest hata kidogo na hatma ya hawa vijana. Siyo tu kwamba hamzungumzii kabisa kijana Deusdedith Soka na wenzie lakini haonyeshi msuli wa chama na ushawishi wa nafasi yake kuweka pressure ili kijana huyo ambaye alikuwa kada wa chama, tena kada mpambanaji aweze kupatikana akiwa hai au mfu. Hii inapunguza mori wa vijana waliodhani kuwa wakipata mwenyekiti mpya hasa Lissu, hili suala la upatikanaji wa Deusdedith Soka ama akiwa hai au mfu litapata msukumo mkubwa zaidi. Kumbuka moja ya sababu za kumuunga mkono Lissu kwenye uenyekiti ni imani kuwa Mbowe amekuwa soft kwenye ishu ya Deusdedith Soka. Tunashangaa Lissu amekuwa SOFTER TEN TIMES.
Really?

Inaelekea hata hujaielewa kabisa dhana nzima ya NO REFORMS, NO ELECTION...

Ungekuwa unaielewa, usingeshindwa kuhusianisha maswala ya utekaji, mauaji, kupotea kwa watu nk ambayo msingi wake ni siasa za uchaguzi na madaraka na inajibu hata hoja yako hii...

Hili sio la Tundu Lissu, hili swali lielekeze kwa Rais Samia na serikali yake. Wananchi wake waliotekwa wako wapi..?
2. Lissu mpaka sasa ameshindwa kutoa Shukrani Rasmi kwa Diaspora.

Ili kufanikisha azma yake ya kugombea uenyekiti, Lissu aliungwa mkono na watu wengi nje na ndani ya nchi. Watu walijitolea muda wao, Pesa zao, organisation n.k LAKINI mpaka leo hii ameshindwa kwenda Clubhouse alipokuwa anapiga kambi kipindi siyo mwenyekiti lakini leo hii anashindwa kwenda hata huko kutoa shukrani kwa watu waliompambania kindakindaki. Ikumbukwe Diaspora wamekuwa wakifinance harakati nyingi tu za Chadema na hata Lissu mwenyewe. Sasa hapa Ishu siyo suala la kwenda au kutokwenda clubhouse ili kuongea na Base yake hii ya kisiasa. Ishu hapa inaonyesha kukosekana kwa GRATITUDE kwa ndugu Lissu, otherwise hebu niambie, unapata wapi muda wa kwenda Makerere Ugnda kumzungumzia Nyerere lakini huna Muda wa kuingia Clubhouse na kuongea na base yako hii?. Hii pengine inamaanisha kuwa Lissu anaichukulia hii base for granted, na inaonyesha kuwa pengine hana gratitude. Mbona zamani alikuwa akija clubhiuse mara kwa mara kutoa elimu na kuongea na base yake leo mbona anakacha?. Au anadhani kuwa labda Diaspora wanafaa kuwa ATM tu wa kutoa pesa lakini hana time nao baada ya kushika hstamu za chama?. Diaspora wana interests zao kwenye NO REFORMS NO ELECTION hasa ya URAIA pacha wanataka wasikie hilo linakuwa featured vipi.
Mmmh, mbona una haraka sana?

Na mbona ni kama vile mnasubiri na kutafuta weak point ya kuukamata na uongozi mpya wa CHADEMA nyie...?

By the way, si ndo tu wana mwezi mmoja na nusu tangia washike madaraka? Unataka kila kitu kifanyike ndani ya muda huu mfupi...?

Team Freeman Mbowe na CCM, kama hamwezi kushiriki kwa moyo mweupe kwenye shughuli za chama, kaeni pembeni na acheni kuu - distract uongozi mpya...!!
3. Mpaka Sasa Lissu hajaeleza ule mchango wa Milioni zaidi ya 120 alizochangiwa kununua gari ziko wapi!

Kwa hivi sasa baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti ndugu Lissu tunaona anatembelea gari jipya, zuri, siyo lile la matundu ya Risasi. At the same time kuna pesa zaidi ya milioni 120 alizochangiwa na wananchi kununua gari, yeye aliliita gari la kazi. Hata hivyo Lissu amemute, yuko kimya, haelezi nini hatma ya hizo pesa, maana kwa sasa ana gari zuri. Je kwa nini hayuko transparent?, Je hizo pesa anakusudia kuzifanyia nini?. Je ipo haja hizo pesa aziingize katika chama ili zisaidie operesheni ya no reforms no election?. Kwa kiongizi makini lazima awe transparent na accountable kwa pesa zitokanazo na wananchi. Je Lissu atanunua lini hilo gari ambalo ameshindwa kulinunua kwa zaidi ya miezi Sita iliyopita?
Zina uhusiano gani na uenyekiti wake?

Kampeni ya mchango wa gari ulikuwa mpango mahususi wa wapenzi na mashabiki wa Tundu Lissu wenyewe kuamua kumchangia ili apate gari jipya. Umekosea kuliingiza hapa na kulihusianisha na uongozi wake..

Na kwa akili na ufahamu wako unadhani Tundu Lissu anaweza kuzitumia fedha hizi kinyume na malengo yake..?

Humjui Tundu Lissu bila shaka....

Kwa mambo ya fedha, Tundu Lissu yuko very clean, hilo ondoa shaka. Hana tabia ya ujanja ujanja wa ku - divert pesa isiyo yake, hana tabia ya na wizi au kutumia pesa isiyokuwa yake...

For instance, fedha ya mchango wa gari lake ina uhusiano gani na uenyekiti wake CHADEMA?

Mara ya mwisho alitoa updates nadhani ilikuwa mwishoni mwa mwezi November au mwanzoni/katikati ya mwezi desemba 2024 na jumla ya fedha ilikuwa kama 120+ milioni. Na azimio likawa fedha haitoshi kununua gari nzuri, imara inayokidhi mahitaji ya kuizungukia nchi. Ikaamuliwa michango iendelee ili kupata gari linalotakiwa..

Haina shaka kuwa, utapata updates soon...
4. Lissu na Heche hawajaeleza wamechangia sh ngapi kwenye TONE TONE.

Uongozi ni kuonyesha njia, ukiwa kiongozi inabidi uongozi kwa mfano. Yes umezindua operesheni ya Tone Tone, Je wewe umechanga?. Kama umechanga umechanga sh ngapi?. Au mchango wako ni siri ndugu mwenyekiti?, au mchango wako ni siri ndugu makamu mwenyekiti?.Umma unataka hamasa, wanachadema wanajua umuhimu wa kuchangia chama lakini Kiongozi akionyesha mfano inaleta hamasa zaidi. Mwananchi asiye na chama au asiye mwanachadrma hawezi kuwa na mzuka wa kuchangia kama haoni kama kiongozi wa chama na makamu wake wamechangia. SHOW US MR CHAIRMAN and MR VICE/DEPUTY CHAIRMAN how much you have put in TONETONE!
Timu Freeman Mbowe haina shaka yoyote kuwa bado mna maruweruwe hamjapona vizuri...?

Kiongozi kuonesha njia ni kutangaza kiasi cha pesa ulichonanacho...?

You are after petty issues badala ya ku - focus kwenye mambo ya msingi...

Yaani kazi yenu nI kuketi huko mnakoketi na kutafuta udhaifu tu ili kupata la kusema...

Bado hamjapata bado...

NO REFORMS NO ELECTION iko fire na itajibu..?
 
Back
Top Bottom