Mpaka sasa uongozi wa Lissu na Heche umeshindwa kufanya mambo ya msingi yafuatayo

Mpaka sasa uongozi wa Lissu na Heche umeshindwa kufanya mambo ya msingi yafuatayo

Ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo. Nyie tunzeni macho tu
 
Ninashangaa mnapotoa excuses kwa uongozi wa sasa. Wengine hawataki kabisa kuona wakikosolewa. Natofautiana na wewe kwa sababu:
Sina sabau wala nia ya kusoma na kujibu hayo uliyo andika huko chini kwa kukumbuka msimamo ulio shikilia kabla ya uchaguzi ulio mwondoa madarakani uliye kuwa ukimpambania.
Wewe hukuwa mpezi wa chama bali ulikuwa mpenzi wa kiongozi wa chama kwa sababu zako unazozifahamu mwenyewe.
Sasa tupo hapa, sitegemei kamwe uwe na hoja za kuiimarisha CHADEMA inayoongozwa na mtu mliye mwita kila aina ya majina ya kumdhihaki.
 
Nataka nitangaze kuwa naunga mkono msimamo wa Chama cha CHADEMA wa NO REFORMS NO ELECTION na pia nauunga mkono uongozi wa sasa wa CHADEMA wa Mwenyekiti Lissu na Makamu wake (bara) John Heche.

Uongozi huu umeleta energy mpya, matumaini mapya na imani mpya kwa wananch, hata hivyo kuna mambo kadha wa kadha ya msingi sana uongozi huu mpya haujafanya na pengine inaonekana hauna interest ya kufanya. Nitaeleza.

1. Mpaka Sasa Uongozi huu umeshindwa kuweka pressure ya kutosha ili Kijana wa Chama Deusdedit Soka apatikane akiwa Hai au mfu.

Kwenye hili suala, Lissu naye amegeuka bubu, Lissu wa kipindi cha kuutafuta uenyekiti wa CHADEMA alikuwa akimzungumzia Soka. Ila Lissu Mwenyekiti inaonekana hana Interest hata kidogo na hatma ya hawa vijana. Siyo tu kwamba hamzungumzii kabisa kijana Deusdedith Soka na wenzie lakini haonyeshi msuli wa chama na ushawishi wa nafasi yake kuweka pressure ili kijana huyo ambaye alikuwa kada wa chama, tena kada mpambanaji aweze kupatikana akiwa hai au mfu. Hii inapunguza mori wa vijana waliodhani kuwa wakipata mwenyekiti mpya hasa Lissu, hili suala la upatikanaji wa Deusdedith Soka ama akiwa hai au mfu litapata msukumo mkubwa zaidi. Kumbuka moja ya sababu za kumuunga mkono Lissu kwenye uenyekiti ni imani kuwa Mbowe amekuwa soft kwenye ishu ya Deusdedith Soka. Tunashangaa Lissu amekuwa SOFTER TEN TIMES.

2. Lissu mpaka sasa ameshindwa kutoa Shukrani Rasmi kwa Diaspora.

Ili kufanikisha azma yake ya kugombea uenyekiti, Lissu aliungwa mkono na watu wengi nje na ndani ya nchi. Watu walijitolea muda wao, Pesa zao, organisation n.k LAKINI mpaka leo hii ameshindwa kwenda Clubhouse alipokuwa anapiga kambi kipindi siyo mwenyekiti lakini leo hii anashindwa kwenda hata huko kutoa shukrani kwa watu waliompambania kindakindaki. Ikumbukwe Diaspora wamekuwa wakifinance harakati nyingi tu za Chadema na hata Lissu mwenyewe. Sasa hapa Ishu siyo suala la kwenda au kutokwenda clubhouse ili kuongea na Base yake hii ya kisiasa. Ishu hapa inaonyesha kukosekana kwa GRATITUDE kwa ndugu Lissu, otherwise hebu niambie, unapata wapi muda wa kwenda Makerere Ugnda kumzungumzia Nyerere lakini huna Muda wa kuingia Clubhouse na kuongea na base yako hii?. Hii pengine inamaanisha kuwa Lissu anaichukulia hii base for granted, na inaonyesha kuwa pengine hana gratitude. Mbona zamani alikuwa akija clubhiuse mara kwa mara kutoa elimu na kuongea na base yake leo mbona anakacha?. Au anadhani kuwa labda Diaspora wanafaa kuwa ATM tu wa kutoa pesa lakini hana time nao baada ya kushika hstamu za chama?. Diaspora wana interests zao kwenye NO REFORMS NO ELECTION hasa ya URAIA pacha wanataka wasikie hilo linakuwa featured vipi.

3. Mpaka Sasa Lissu hajaeleza ule mchango wa Milioni zaidi ya 120 alizochangiwa kununua gari ziko wapi!

Kwa hivi sasa baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti ndugu Lissu tunaona anatembelea gari jipya, zuri, siyo lile la matundu ya Risasi. At the same time kuna pesa zaidi ya milioni 120 alizochangiwa na wananchi kununua gari, yeye aliliita gari la kazi. Hata hivyo Lissu amemute, yuko kimya, haelezi nini hatma ya hizo pesa, maana kwa sasa ana gari zuri. Je kwa nini hayuko transparent?, Je hizo pesa anakusudia kuzifanyia nini?. Je ipo haja hizo pesa aziingize katika chama ili zisaidie operesheni ya no reforms no election?. Kwa kiongizi makini lazima awe transparent na accountable kwa pesa zitokanazo na wananchi. Je Lissu atanunua lini hilo gari ambalo ameshindwa kulinunua kwa zaidi ya miezi Sita iliyopita?

4. Lissu na Heche hawajaeleza wamechangia sh ngapi kwenye TONE TONE.

Uongozi ni kuonyesha njia, ukiwa kiongozi inabidi uongozi kwa mfano. Yes umezindua operesheni ya Tone Tone, Je wewe umechanga?. Kama umechanga umechanga sh ngapi?. Au mchango wako ni siri ndugu mwenyekiti?, au mchango wako ni siri ndugu makamu mwenyekiti?.Umma unataka hamasa, wanachadema wanajua umuhimu wa kuchangia chama lakini Kiongozi akionyesha mfano inaleta hamasa zaidi. Mwananchi asiye na chama au asiye mwanachadrma hawezi kuwa na mzuka wa kuchangia kama haoni kama kiongozi wa chama na makamu wake wamechangia. SHOW US MR CHAIRMAN and MR VICE/DEPUTY CHAIRMAN how much you have put in TONETONE!
🚮🚮🚮
 
Sina sabau wala nia ya kusoma na kujibu hayo uliyo andika huko chini kwa kukumbuka msimamo ulio shikilia kabla ya uchaguzi ulio mwondoa madarakani uliye kuwa ukimpambania.
Wewe hukuwa mpezi wa chama bali ulikuwa mpenzi wa kiongozi wa chama kwa sababu zako unazozifahamu mwenyewe.
Sasa tupo hapa, sitegemei kamwe uwe na hoja za kuiimarisha CHADEMA inayoongozwa na mtu mliye mwita kila aina ya majina ya kumdhihaki.
Ni vyema kama hukusoma. Ingawa nilikuwa najibu ulichoandika lengo lilikuwa jamii yote ya JF.

Ni kweli mimi sijawahi kuwa mpenzi wa CDM au chama kingine chochote. Inawezakana ni ngumu kwa watu kama nyinyi kuelewa ni kuwa tulichokuwa tunapinga ni namna mlivyotaka kubaka demokrasia ndani ya chama chenu. Leo hii mnajisifia (pamoja na Mwenyekiti wenu) kuwa CDM imeonyesha namna demokrasia inavyopaswa kuwa kwa sababu tu mtu wenu ameshinda. Mimi nilimtetea Mbowe kwa sababu hamkumtendea haki na hamkumpa heshima aliyostahili. Lissu ( ama moja kwa moja au kwa kupitia surrogates) alimsingizia mengi ambayo yalipaswa kupingwa. Kwangu mimi Lissu ana kazi kubwa ya kuthibitishia baadhi yetu kuwa Lissu wa kampeni sio Lissu Mwenyekiti. Kama kipimo chako cha mawazo yanayoijenga CDM ni yale ya kumtukuza Mwenyekiti wake basi ni nyie ndio mtamgeuza kuwa dikteta uchwara. Mtakuwa hamna tofauti na chama kilicho tukaririsha kusema "zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti". Nitamsifia Lissu akifanya jambo jema na nitamcriticize akifanya jambo ambalo sio jema. Kama ninavyofanya kwa wanasiasa wote.

Nakushauri (kama haujafanya) uniweke kwenye " ignore list" yako kama hautaki kusoma ukosoaji wangu wa Mwenyekiti wako na chama chako.

Amandla...
 
Ni vyema kama hukusoma. Ni kweli mimi sijawahi kuwa mpenzi wa CDM au chama kingine chochote. Inawezakana ni ngumu kwa watu kama nyinyi kuelewa ni kuwa tulichokuwa tunapinga ni namna mlivyotaka kubaka demokrasia ndani ya chama chenu
Sasa kimekuwa "chama chetu"?
Unapojibishana na mtu, hasa mtu aliye na maandishi mengi sana humu JF, halafu usiwe na ufahamu wowote wa msimamo wa mtu huyo, moja kwa moja unapoteza nguvu ya hoja unazotaka kuziwasilisha.

Mimi nilikufahamu kwa muda kitambo humu JF kabla ya hicho unachokiita 'demokrasia' uliyo iandikia mengi humu; lakini nikahitimisha kuwa haikuwa demokrasia uliyo ishikia bango zaidi ya kupigania uongozi uliokuwepo uendelee. Katikati ya yote hayo niliacha kuendelea kusoma maandishi yako ambayo niliona hayakuwa na maelezo ya ziada ya yale niliyo kwisha yasoma.

Sasa naona bado mapambano yale yale yanaendelea hata baada ya unayoita demokrasia kutokea. Sasa tuelewe lipi, kama si yale yale niliyokueleza hapo juu, ya kuwa upande wa kiongozi ; badala ya kuwa mpenzi wa chama au mtaka mabadiliko ya hali ya kisiasa iliyopo sasa nchini kiujumla?
 
Nataka nitangaze kuwa naunga mkono msimamo wa Chama cha CHADEMA wa NO REFORMS NO ELECTION na pia nauunga mkono uongozi wa sasa wa CHADEMA wa Mwenyekiti Lissu na Makamu wake (bara) John Heche.

Uongozi huu umeleta energy mpya, matumaini mapya na imani mpya kwa wananch, hata hivyo kuna mambo kadha wa kadha ya msingi sana uongozi huu mpya haujafanya na pengine inaonekana hauna interest ya kufanya. Nitaeleza.

1. Mpaka Sasa Uongozi huu umeshindwa kuweka pressure ya kutosha ili Kijana wa Chama Deusdedit Soka apatikane akiwa Hai au mfu.

Kwenye hili suala, Lissu naye amegeuka bubu, Lissu wa kipindi cha kuutafuta uenyekiti wa CHADEMA alikuwa akimzungumzia Soka. Ila Lissu Mwenyekiti inaonekana hana Interest hata kidogo na hatma ya hawa vijana. Siyo tu kwamba hamzungumzii kabisa kijana Deusdedith Soka na wenzie lakini haonyeshi msuli wa chama na ushawishi wa nafasi yake kuweka pressure ili kijana huyo ambaye alikuwa kada wa chama, tena kada mpambanaji aweze kupatikana akiwa hai au mfu. Hii inapunguza mori wa vijana waliodhani kuwa wakipata mwenyekiti mpya hasa Lissu, hili suala la upatikanaji wa Deusdedith Soka ama akiwa hai au mfu litapata msukumo mkubwa zaidi. Kumbuka moja ya sababu za kumuunga mkono Lissu kwenye uenyekiti ni imani kuwa Mbowe amekuwa soft kwenye ishu ya Deusdedith Soka. Tunashangaa Lissu amekuwa SOFTER TEN TIMES.

2. Lissu mpaka sasa ameshindwa kutoa Shukrani Rasmi kwa Diaspora.

Ili kufanikisha azma yake ya kugombea uenyekiti, Lissu aliungwa mkono na watu wengi nje na ndani ya nchi. Watu walijitolea muda wao, Pesa zao, organisation n.k LAKINI mpaka leo hii ameshindwa kwenda Clubhouse alipokuwa anapiga kambi kipindi siyo mwenyekiti lakini leo hii anashindwa kwenda hata huko kutoa shukrani kwa watu waliompambania kindakindaki. Ikumbukwe Diaspora wamekuwa wakifinance harakati nyingi tu za Chadema na hata Lissu mwenyewe. Sasa hapa Ishu siyo suala la kwenda au kutokwenda clubhouse ili kuongea na Base yake hii ya kisiasa. Ishu hapa inaonyesha kukosekana kwa GRATITUDE kwa ndugu Lissu, otherwise hebu niambie, unapata wapi muda wa kwenda Makerere Ugnda kumzungumzia Nyerere lakini huna Muda wa kuingia Clubhouse na kuongea na base yako hii?. Hii pengine inamaanisha kuwa Lissu anaichukulia hii base for granted, na inaonyesha kuwa pengine hana gratitude. Mbona zamani alikuwa akija clubhiuse mara kwa mara kutoa elimu na kuongea na base yake leo mbona anakacha?. Au anadhani kuwa labda Diaspora wanafaa kuwa ATM tu wa kutoa pesa lakini hana time nao baada ya kushika hstamu za chama?. Diaspora wana interests zao kwenye NO REFORMS NO ELECTION hasa ya URAIA pacha wanataka wasikie hilo linakuwa featured vipi.

3. Mpaka Sasa Lissu hajaeleza ule mchango wa Milioni zaidi ya 120 alizochangiwa kununua gari ziko wapi!

Kwa hivi sasa baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti ndugu Lissu tunaona anatembelea gari jipya, zuri, siyo lile la matundu ya Risasi. At the same time kuna pesa zaidi ya milioni 120 alizochangiwa na wananchi kununua gari, yeye aliliita gari la kazi. Hata hivyo Lissu amemute, yuko kimya, haelezi nini hatma ya hizo pesa, maana kwa sasa ana gari zuri. Je kwa nini hayuko transparent?, Je hizo pesa anakusudia kuzifanyia nini?. Je ipo haja hizo pesa aziingize katika chama ili zisaidie operesheni ya no reforms no election?. Kwa kiongizi makini lazima awe transparent na accountable kwa pesa zitokanazo na wananchi. Je Lissu atanunua lini hilo gari ambalo ameshindwa kulinunua kwa zaidi ya miezi Sita iliyopita?

4. Lissu na Heche hawajaeleza wamechangia sh ngapi kwenye TONE TONE.

Uongozi ni kuonyesha njia, ukiwa kiongozi inabidi uongozi kwa mfano. Yes umezindua operesheni ya Tone Tone, Je wewe umechanga?. Kama umechanga umechanga sh ngapi?. Au mchango wako ni siri ndugu mwenyekiti?, au mchango wako ni siri ndugu makamu mwenyekiti?.Umma unataka hamasa, wanachadema wanajua umuhimu wa kuchangia chama lakini Kiongozi akionyesha mfano inaleta hamasa zaidi. Mwananchi asiye na chama au asiye mwanachadrma hawezi kuwa na mzuka wa kuchangia kama haoni kama kiongozi wa chama na makamu wake wamechangia. SHOW US MR CHAIRMAN and MR VICE/DEPUTY CHAIRMAN how much you have put in TONETONE!
Uongozi uliolaaniwa
 
Sasa kimekuwa "chama chetu"?
Haswa. In the sense chama unachokipenda. Au unataka kukana hata hilo?
Unapojibishana na mtu, hasa mtu aliye na maandishi mengi sana humu JF, halafu usiwe na ufahamu wowote wa msimamo wa mtu huyo, moja kwa moja unapoteza nguvu ya hoja unazotaka kuziwasilisha.
Sijaelewa unamaanisha nini. Kuwa mimi nina maandishi mengi au wewe ndio una maandidhi mengi?
Mimi nilikufahamu kwa muda kitambo humu JF kabla ya hicho unachokiita 'demokrasia' uliyo iandikia mengi humu; lakini nikahitimisha kuwa haikuwa demokrasia uliyo ishikia bango zaidi ya kupigania uongozi uliokuwepo uendelee. Katikati ya yote hayo niliacha kuendelea kusoma maandishi yako ambayo niliona hayakuwa na maelezo ya ziada ya yale niliyo kwisha yasoma.
Hapa pia sijui demokrasia ipi unayoizungumzia. Demokrasia niliyokuwa naizungumzia ni haki ya mwanachama wa chama cha siasa kugombea cheo chochote anachotaka ili mradi awe na vigezo vinavyohitajika. Humu ndani palikuwa na juhudi kubwa za kumtaka Mbowe asigombee kwa kigezo kuwa ataadhirika. Sisi wengine tukasema akishindwa hataadhirika bali ataonyesha ukomavu na kuwa mfano wa demokrasia inavyopaswa kuwa. Ndicho kilichotokea.
Sasa naona bado mapambano yale yale yanaendelea hata baada ya unayoita demokrasia kutokea. Sasa tuelewe lipi, kama si yale yale niliyokueleza hapo juu, ya kuwa upande wa kiongozi ; badala ya kuwa mpenzi wa chama au mtaka mabadiliko ya hali ya kisiasa iliyopo sasa nchini kiujumla?
Mimi sio mpenzi wa chama au mtu. Hiyo nawaachia nyinyi. Mimi ni mpenzi wa haki na ukweli. Ndio maana nawaunga mkono wanaotaka uongozi wa sasa uishi zile ahadi zao badala ya kutegemea zaidi vikao vyao wenyewe. Ndio maana pia napinga anachomfanyia Aida. Naona ni kitu petty na hakistahili kwa kiongozi mkuu wa chama cha siasa. Sijaielewa hiyo sentensi yako ya mwisho.

Amandla...
 
Ashindwe kumshukuru Mbowe aliyempambania kwenye umaskini na uhai,akamlipa matukano ya hali ya juu,huyo ndie atawashukuru hao Diaspora!!?Siwezi kumhukumu ila siyo mtu wa shukrani!!
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2025 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2025 Maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Nataka nitangaze kuwa naunga mkono msimamo wa Chama cha CHADEMA wa NO REFORMS NO ELECTION na pia nauunga mkono uongozi wa sasa wa CHADEMA wa Mwenyekiti Lissu na Makamu wake (bara) John Heche.

Uongozi huu umeleta energy mpya, matumaini mapya na imani mpya kwa wananch, hata hivyo kuna mambo kadha wa kadha ya msingi sana uongozi huu mpya haujafanya na pengine inaonekana hauna interest ya kufanya. Nitaeleza.

1. Mpaka Sasa Uongozi huu umeshindwa kuweka pressure ya kutosha ili Kijana wa Chama Deusdedit Soka apatikane akiwa Hai au mfu.

Kwenye hili suala, Lissu naye amegeuka bubu, Lissu wa kipindi cha kuutafuta uenyekiti wa CHADEMA alikuwa akimzungumzia Soka. Ila Lissu Mwenyekiti inaonekana hana Interest hata kidogo na hatma ya hawa vijana. Siyo tu kwamba hamzungumzii kabisa kijana Deusdedith Soka na wenzie lakini haonyeshi msuli wa chama na ushawishi wa nafasi yake kuweka pressure ili kijana huyo ambaye alikuwa kada wa chama, tena kada mpambanaji aweze kupatikana akiwa hai au mfu. Hii inapunguza mori wa vijana waliodhani kuwa wakipata mwenyekiti mpya hasa Lissu, hili suala la upatikanaji wa Deusdedith Soka ama akiwa hai au mfu litapata msukumo mkubwa zaidi. Kumbuka moja ya sababu za kumuunga mkono Lissu kwenye uenyekiti ni imani kuwa Mbowe amekuwa soft kwenye ishu ya Deusdedith Soka. Tunashangaa Lissu amekuwa SOFTER TEN TIMES.

2. Lissu mpaka sasa ameshindwa kutoa Shukrani Rasmi kwa Diaspora.

Ili kufanikisha azma yake ya kugombea uenyekiti, Lissu aliungwa mkono na watu wengi nje na ndani ya nchi. Watu walijitolea muda wao, Pesa zao, organisation n.k LAKINI mpaka leo hii ameshindwa kwenda Clubhouse alipokuwa anapiga kambi kipindi siyo mwenyekiti lakini leo hii anashindwa kwenda hata huko kutoa shukrani kwa watu waliompambania kindakindaki. Ikumbukwe Diaspora wamekuwa wakifinance harakati nyingi tu za Chadema na hata Lissu mwenyewe. Sasa hapa Ishu siyo suala la kwenda au kutokwenda clubhouse ili kuongea na Base yake hii ya kisiasa. Ishu hapa inaonyesha kukosekana kwa GRATITUDE kwa ndugu Lissu, otherwise hebu niambie, unapata wapi muda wa kwenda Makerere Ugnda kumzungumzia Nyerere lakini huna Muda wa kuingia Clubhouse na kuongea na base yako hii?. Hii pengine inamaanisha kuwa Lissu anaichukulia hii base for granted, na inaonyesha kuwa pengine hana gratitude. Mbona zamani alikuwa akija clubhiuse mara kwa mara kutoa elimu na kuongea na base yake leo mbona anakacha?. Au anadhani kuwa labda Diaspora wanafaa kuwa ATM tu wa kutoa pesa lakini hana time nao baada ya kushika hstamu za chama?. Diaspora wana interests zao kwenye NO REFORMS NO ELECTION hasa ya URAIA pacha wanataka wasikie hilo linakuwa featured vipi.

3. Mpaka Sasa Lissu hajaeleza ule mchango wa Milioni zaidi ya 120 alizochangiwa kununua gari ziko wapi!

Kwa hivi sasa baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti ndugu Lissu tunaona anatembelea gari jipya, zuri, siyo lile la matundu ya Risasi. At the same time kuna pesa zaidi ya milioni 120 alizochangiwa na wananchi kununua gari, yeye aliliita gari la kazi. Hata hivyo Lissu amemute, yuko kimya, haelezi nini hatma ya hizo pesa, maana kwa sasa ana gari zuri. Je kwa nini hayuko transparent?, Je hizo pesa anakusudia kuzifanyia nini?. Je ipo haja hizo pesa aziingize katika chama ili zisaidie operesheni ya no reforms no election?. Kwa kiongizi makini lazima awe transparent na accountable kwa pesa zitokanazo na wananchi. Je Lissu atanunua lini hilo gari ambalo ameshindwa kulinunua kwa zaidi ya miezi Sita iliyopita?

4. Lissu na Heche hawajaeleza wamechangia sh ngapi kwenye TONE TONE.

Uongozi ni kuonyesha njia, ukiwa kiongozi inabidi uongozi kwa mfano. Yes umezindua operesheni ya Tone Tone, Je wewe umechanga?. Kama umechanga umechanga sh ngapi?. Au mchango wako ni siri ndugu mwenyekiti?, au mchango wako ni siri ndugu makamu mwenyekiti?.Umma unataka hamasa, wanachadema wanajua umuhimu wa kuchangia chama lakini Kiongozi akionyesha mfano inaleta hamasa zaidi. Mwananchi asiye na chama au asiye mwanachadrma hawezi kuwa na mzuka wa kuchangia kama haoni kama kiongozi wa chama na makamu wake wamechangia. SHOW US MR CHAIRMAN and MR VICE/DEPUTY CHAIRMAN how much you have put in TONETONE!

Mbowe Kwa kipindi kama hiki cha Lissu alifanya kitu gani?
 
Nataka nitangaze kuwa naunga mkono msimamo wa Chama cha CHADEMA wa NO REFORMS NO ELECTION na pia nauunga mkono uongozi wa sasa wa CHADEMA wa Mwenyekiti Lissu na Makamu wake (bara) John Heche.

Uongozi huu umeleta energy mpya, matumaini mapya na imani mpya kwa wananch, hata hivyo kuna mambo kadha wa kadha ya msingi sana uongozi huu mpya haujafanya na pengine inaonekana hauna interest ya kufanya. Nitaeleza.

1. Mpaka Sasa Uongozi huu umeshindwa kuweka pressure ya kutosha ili Kijana wa Chama Deusdedit Soka apatikane akiwa Hai au mfu.

Kwenye hili suala, Lissu naye amegeuka bubu, Lissu wa kipindi cha kuutafuta uenyekiti wa CHADEMA alikuwa akimzungumzia Soka. Ila Lissu Mwenyekiti inaonekana hana Interest hata kidogo na hatma ya hawa vijana. Siyo tu kwamba hamzungumzii kabisa kijana Deusdedith Soka na wenzie lakini haonyeshi msuli wa chama na ushawishi wa nafasi yake kuweka pressure ili kijana huyo ambaye alikuwa kada wa chama, tena kada mpambanaji aweze kupatikana akiwa hai au mfu. Hii inapunguza mori wa vijana waliodhani kuwa wakipata mwenyekiti mpya hasa Lissu, hili suala la upatikanaji wa Deusdedith Soka ama akiwa hai au mfu litapata msukumo mkubwa zaidi. Kumbuka moja ya sababu za kumuunga mkono Lissu kwenye uenyekiti ni imani kuwa Mbowe amekuwa soft kwenye ishu ya Deusdedith Soka. Tunashangaa Lissu amekuwa SOFTER TEN TIMES.

2. Lissu mpaka sasa ameshindwa kutoa Shukrani Rasmi kwa Diaspora.

Ili kufanikisha azma yake ya kugombea uenyekiti, Lissu aliungwa mkono na watu wengi nje na ndani ya nchi. Watu walijitolea muda wao, Pesa zao, organisation n.k LAKINI mpaka leo hii ameshindwa kwenda Clubhouse alipokuwa anapiga kambi kipindi siyo mwenyekiti lakini leo hii anashindwa kwenda hata huko kutoa shukrani kwa watu waliompambania kindakindaki. Ikumbukwe Diaspora wamekuwa wakifinance harakati nyingi tu za Chadema na hata Lissu mwenyewe. Sasa hapa Ishu siyo suala la kwenda au kutokwenda clubhouse ili kuongea na Base yake hii ya kisiasa. Ishu hapa inaonyesha kukosekana kwa GRATITUDE kwa ndugu Lissu, otherwise hebu niambie, unapata wapi muda wa kwenda Makerere Ugnda kumzungumzia Nyerere lakini huna Muda wa kuingia Clubhouse na kuongea na base yako hii?. Hii pengine inamaanisha kuwa Lissu anaichukulia hii base for granted, na inaonyesha kuwa pengine hana gratitude. Mbona zamani alikuwa akija clubhiuse mara kwa mara kutoa elimu na kuongea na base yake leo mbona anakacha?. Au anadhani kuwa labda Diaspora wanafaa kuwa ATM tu wa kutoa pesa lakini hana time nao baada ya kushika hstamu za chama?. Diaspora wana interests zao kwenye NO REFORMS NO ELECTION hasa ya URAIA pacha wanataka wasikie hilo linakuwa featured vipi.

3. Mpaka Sasa Lissu hajaeleza ule mchango wa Milioni zaidi ya 120 alizochangiwa kununua gari ziko wapi!

Kwa hivi sasa baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti ndugu Lissu tunaona anatembelea gari jipya, zuri, siyo lile la matundu ya Risasi. At the same time kuna pesa zaidi ya milioni 120 alizochangiwa na wananchi kununua gari, yeye aliliita gari la kazi. Hata hivyo Lissu amemute, yuko kimya, haelezi nini hatma ya hizo pesa, maana kwa sasa ana gari zuri. Je kwa nini hayuko transparent?, Je hizo pesa anakusudia kuzifanyia nini?. Je ipo haja hizo pesa aziingize katika chama ili zisaidie operesheni ya no reforms no election?. Kwa kiongizi makini lazima awe transparent na accountable kwa pesa zitokanazo na wananchi. Je Lissu atanunua lini hilo gari ambalo ameshindwa kulinunua kwa zaidi ya miezi Sita iliyopita?

4. Lissu na Heche hawajaeleza wamechangia sh ngapi kwenye TONE TONE.

Uongozi ni kuonyesha njia, ukiwa kiongozi inabidi uongozi kwa mfano. Yes umezindua operesheni ya Tone Tone, Je wewe umechanga?. Kama umechanga umechanga sh ngapi?. Au mchango wako ni siri ndugu mwenyekiti?, au mchango wako ni siri ndugu makamu mwenyekiti?.Umma unataka hamasa, wanachadema wanajua umuhimu wa kuchangia chama lakini Kiongozi akionyesha mfano inaleta hamasa zaidi. Mwananchi asiye na chama au asiye mwanachadrma hawezi kuwa na mzuka wa kuchangia kama haoni kama kiongozi wa chama na makamu wake wamechangia. SHOW US MR CHAIRMAN and MR VICE/DEPUTY CHAIRMAN how much you have put in TONETONE!
Wenje yuko wapi?
 
Haswa. In the sense chama unachokipenda. Au unataka kukana hata hilo?
Kosa lako lipo hapa.
Siyo lazima niipende CHADEMA kuunga juhudi za chama hicho. Bado huelewi?
Hapa pia sijui demokrasia ipi unayoizungumzia. Demokrasia niliyokuwa naizungumzia ni haki ya mwanachama wa chama cha siasa kugombea cheo chochote anachotaka ili mradi awe na vigezo vinavyohitajika. Humu ndani palikuwa na juhudi kubwa za kumtaka Mbowe asigombee kwa kigezo kuwa ataadhirika. Sisi wengine tukasema akishindwa hataadhirika bali ataonyesha ukomavu na kuwa mfano wa demokrasia inavyopaswa kuwa. Ndicho kilichotokea
Pamoja na kuadhirika, kung'ang'ania kugombea kulionekana wazi kuwa alikuwa akiwafanyia kazi mahasimu wa chama; wewe hilo hukuliona?
Sasa baada ya uchaguzi bado unajipambanua kupigania demokrasia gani ndani ya chama, au hilo swali huna jibu lake? Hizi juhudi unazo endelea nazo hivi sasa ni mwendelezo wa ile demokrasia unayo jikinga nayo humu?
 
Kosa lako lipo hapa.
Siyo lazima niipende CHADEMA kuunga juhudi za chama hicho. Bado huelewi?
Pamoja na kuadhirika, kung'ang'ania kugombea kulionekana wazi kuwa alikuwa akiwafanyia kazi mahasimu wa chama; wewe hilo hukuliona?
Sasa baada ya uchaguzi bado unajipambanua kupigania demokrasia gani ndani ya chama, au hilo swali huna jibu lake? Hizi juhudi unazo endelea nazo hivi sasa ni mwendelezo wa ile demokrasia unayo jikinga nayo humu?
Ndio hapo tunapo tofautiana. Utaungaje mkono juhudi za chama ambacho haukipendi? Kwangu mimi huo utakuwa ni usanii.
Unarudia tena yale yale ya kumchafua Mbowe. Mimi sioni kama ameadhirika kwa kuamua kugombea na hata kuwezesha Mkutano Mkuu kufanyika. Asingetoa milioni 250 kwa ajili ya Mkutano Mkuu, uchaguzi usingefanyika na angeendelea kuwa Mwenyekiti. Kwa vile sio king'ang'anizi aliwezesha uchaguzi na aliposhindwa akaridhia matokeo. Lakini hilo hamlioni.
Hamna ushahidi wowote uliotolewa wa kuthibitisha kuwa Mbowe alikuwa anatumiwa na CCM. Huyo unaedai kuwa alikuwa kibaraka wa CCM, majuzi Mwenyekiti amekiri kuwa ndie aliyeanzisha hii movement ya No Reforms No Elections! Hauoni kuwa unaji contradict?

Bado haujaweka swali lako vizuri. Nilichosema ni kuwa msimamo wangu siku zote ni kuwa ni lazima kila aliye na nia ya kugombea awe na haki ya kugombea. Nyinyi ndio mlitaka mtu wenu awe coronated badala ya kushindana. Hiyo isingekuwa demokrasia. Na baada ya uchaguzi natumia haki yangu kama raia ya kumkosoa mwanasiasa yeyote ambae naona hatutendei haki. Kwa vile Lissu ni mwanasiasa hawezi kukwepa hilo la kukosolewa. Kuzuia mawazo mbadala ( hasa yasiowafutahisha) ni kukaribisha udikteta uchwara. Akionyesha dalili ya visasi tutamsema. Akionyesha dalili ya kutokuwa transparent tutamsema kwa sababu alituahidi kuwa atakuwa transparent.

Amandla...
 
Ndio hapo tunapo tofautiana. Utaungaje mkono juhudi za chama ambacho haukipendi? Kwangu mimi huo utakuwa ni usanii
Ndiyo maana huelewi kitu.
Katika hali iliyopo sasa chini ya CCM, huhitaji kuwa mpenzi wa chama chochote kutaka CCM waondoke madarakani.
Ni hivi: kwa hali ilivyo sasa, hata kile chama cha Mzee Rungwe cha kugawa ubwabwa nitakiunga mkono kama kitakuwa na ushawishi wa kuwafanya wananchi waikatae CCM.

Hayo maandishi yako marefu mengine huko chini huwa siyasomi
 
Ndiyo maana huelewi kitu.
Katika hali iliyopo sasa chini ya CCM, huhitaji kuwa mpenzi wa chama chochote kutaka CCM waondoke madarakani.
Ni hivi: kwa hali ilivyo sasa, hata kile chama cha Mzee Rungwe cha kugawa ubwabwa nitakiunga mkono kama kitakuwa na ushawishi wa kuwafanya wananchi waikatae CCM.

Hayo maandishi yako marefu mengine huko chini huwa siyasomi
Sasa kama huyasomi inanihusu nini? Unapata faida gani kunijibu ili kuniambia tuu kuwa haunisomi? Mimi nilijua hausomi chochote ninachoandika. Kwa kweli nilifurahi kwa sababu nilijua utaniweka katika "ignore list" yako nisikuchoshe. Lakini sishangai, maana uko hapa unamtetea Lissu lakini hautaki kukubali kuwa unakipenda chama chake. Au na wewe ni follower wa Lissu, sio chama chake?
Btw naandika maneno mengi kwa sababu najua wengi ni wavivu wa kusoma.

Amandla...
 
Back
Top Bottom