Mpaka sasa usajili wa mpanzu ndiyo hasara kubwa kuliko yote ligi kuu

Mpaka sasa usajili wa mpanzu ndiyo hasara kubwa kuliko yote ligi kuu

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen
Sajili tofauti tofauti tumeziona wakiwemo Ken gold walioleta macro wengi tu

Ila kuna maharaja yameletwa ligi kuu yanatia mashaka sana uwezo wao na ubaya ni kuwa team zao zinaona aibu kuwavunjia mkataba.

Huyu Mpanzu ndiyo garasa kuu kuliko mengine maana ameletwa kwa mbwembwe sana na mikogo

Ila anazidiwa magoli hata na mabeki wakina kapombe wanamzidi na bado anacheza winga na mechi nyingi kapewa

Sasa apewe nini ili afunge?

Mchezaji namba waliyompa basi tutegemee kumaliza miaka miwili bila kufunga kama mwenzie Rastaman akili ndogo nguvu nyingi kibu denis

Nashauri simba wasione aibu kumtimua mpanzu kabla hawajapata hasara zaidi au apewe hata kitengo cha kufua jezi tu .
 
I salute you kinsmen
Sajili tofauti tofauti tumeziona wakiwemo Ken gold walioleta macro wengi tu

Ila kuna maharaja yameletwa ligi kuu yanatia mashaka sana uwezo wao na ubaya ni kuwa team zao zinaona aibu kuwavunjia mkataba.

Huyu Mpanzu ndiyo garasa kuu kuliko mengine maana ameletwa kwa mbwembwe sana na mikogo

Ila anazidiwa magoli hata na mabeki wakina kapombe wanamzidi na bado anacheza winga na mechi nyingi kapewa

Sasa apewe nini ili afunge?

Mchezaji mfupi kama kinyesi cha asubuhi na namba waliyompa basi tutegemee kumaliza miaka miwili bila kufunga kama mwenzie Rastaman akili ndogo nguvu nyingi kibu denis

Nashauri simba wasione aibu kumtimua mpanzu kabla hawajapata hasara zaidi au apewe hata kitengo cha kufua jezi tu .
Mchezaji mbaya bado mnamjadili🤣🤣
 
I salute you kinsmen
Sajili tofauti tofauti tumeziona wakiwemo Ken gold walioleta macro wengi tu

Ila kuna maharaja yameletwa ligi kuu yanatia mashaka sana uwezo wao na ubaya ni kuwa team zao zinaona aibu kuwavunjia mkataba.

Huyu Mpanzu ndiyo garasa kuu kuliko mengine maana ameletwa kwa mbwembwe sana na mikogo

Ila anazidiwa magoli hata na mabeki wakina kapombe wanamzidi na bado anacheza winga na mechi nyingi kapewa

Sasa apewe nini ili afunge?

Mchezaji namba waliyompa basi tutegemee kumaliza miaka miwili bila kufunga kama mwenzie Rastaman akili ndogo nguvu nyingi kibu denis

Nashauri simba wasione aibu kumtimua mpanzu kabla hawajapata hasara zaidi au apewe hata kitengo cha kufua jezi tu .
Umejaa wivu tuu wewe. Sie wana simba tuna imani na mpanzu.
Shauri zako na uchuro wako huo
 
Umejaa wivu tuu wewe. Sie wana simba tuna imani na mpanzu.
Shauri zako na uchuro wako huo
Ndiyo imani muda mwengine ni upumbavu na ujuha mkubwa
No wonder viongozi wenu huwa wanafanya kama mbumbumbu tu nyie mnajaa .

Mpanzu ni garasa elewa
 
Ellie Mpanzu ni talented man foot work nzuri.. tatizo we kinachokusumbua ni mihemko ya kiutopolo
Sikuhizi neno talented linatumiwa vibaya sana nimeumia sana

Kwahiyo Belgium wazungu waliomtimua wameshindwa kuona hiyo talent ambayo wewe mpogoro ndiyo unaiona?

Hivi lini simba mtaelimika? Mmegeuka shamba la bibi watu wanakuja kuvuna pesa
 
Kutolewa kwenye mashindano na timu ya waarabu goigoi kama MC Alger kunaleta wazimu wallahi😀
Sasa huyu anaongea nini?

Si tulikubaliana CAFCL ina team ngumu sio vilaza kama shirikisho?

Jitahidi usiwe moja ya wapumbavu pale simba nadhani unayo elimu kidogo ya secondary utumie vizuri OK?
 
Sasa huyu anaongea nini?

Si tulikubaliana CAFCL ina team ngumu sio vilaza kama shirikisho?

Jitahidi usiwe moja ya wapumbavu pale simba nadhani unayo elimu kidogo ya secondary utumie vizuri OK?
Mimi ni LY usipate tabu. Ila pamoja na U- LY Wangu, najua kuwa Kwa dakika 90 Yanga ilishindwa kufunga goli moja tu ili wafuzu kuingia robo fainali ya Klabu Bingwa hatua ambayo Simba keshaingia mara nne.
 
Mimi ni LY usipate tabu. Ila pamoja na U- LY Wangu, najua kuwa Kwa dakika 90 Yanga ilishindwa kufunga goli moja tu ili wafuzu kuingia robo fainali ya Klabu Bingwa hatua ambayo Simba keshaingia mara nne.
OK basi shirikisho ni rahisi sana sisi tunaitaka hiyo final mfike kama rahisi hata huko maana kila wanalofanya wengine nj wanabahatisha ila nyie ni sawa

Wanasimba Chevening final hapo hapo shirikisho kama rahisi ndiyo mtatufunga midomo
 
Bwana Mdogo mbona kama unajitesa sana, hapo ukute umejibana hata kununua vocha labda ya buku ujiunge kifurushi, unamkejeli mchezaji ambaye mwezi ukikata tu balance kwenye akaunti benki inasoma 30,000,000Tsh. ..hapo wakat anakuja kakunja Zaid ya milioni 300 za usajili, atoe hapo za watu wake waliomfanikishia dili kwenye akaunti lazima imebaki si chini ya 100,000,000. Tsh
Kapewa nyumba na gari, mafuta Bure,
Acha hizo, Kuna vibonasi vya hapa na pale klabuni, kwa wiki yeye na wachezaj wenzake kupokea milioni 2, ama 3 kawaida, Bado TANZANIA hii unakuta Kuna watu tu Wana mapenz makubwa na wachezaji matajiri maboss na wengineyo wa Hali zote, kakutana na mashabki wanampiga na vi laki laki mara vi milioni mwisho wa mwez hata huo mshahara haugusi, unamuona Aziz ki? Unadhan yule anagusa mshahara wake ?

Sasa turud kwako ndugu mwandishi ukimaliza kumkkejeli unarud katika uhalisia wa maishaa yako, Kodi unadaiwa, huna ajira Wala kazi, kula yako pia ya kubahatisha, unapata mda wa kumkkejeli mchezaji anaelipwa mamilioni ya shilingi
 
Back
Top Bottom