Mpaka sasa usajili wa mpanzu ndiyo hasara kubwa kuliko yote ligi kuu

Mpaka sasa usajili wa mpanzu ndiyo hasara kubwa kuliko yote ligi kuu

Labda kama unafatilia Simba na Yanga tu, wale wacolombia wa Azam je? Wale mapro wasingida? Coast Union?
 
Mechi za league kacheza 3 sijui na club bingwa 3, hapo kasajiliwa dirisha dogo na hakuwa kwenye mechi nusu msimu mzima na kafika simba kaingia moja kwa moja kikosi cha kwanza,Tanzania hajamaliza hata miezi mitatu afu unasema mchezaji ni garasa. serious!!?
 
Sikuhizi neno talented linatumiwa vibaya sana nimeumia sana

Kwahiyo Belgium wazungu waliomtimua wameshindwa kuona hiyo talent ambayo wewe mpogoro ndiyo unaiona?

Hivi lini simba mtaelimika? Mmegeuka shamba la bibi watu wanakuja kuvuna pesa
Kama alivyozivuna okrah, baleke, konkoni, mkude, chama na yule manywele mliemsajili kutoka nyukesto?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Nashauri simba wasione aibu kumtimua mpanzu kabla hawajapata hasara zaidi au apewe hata kitengo cha kufua jezi tu .
Mkude alipoachwa tu kuna timu ikamsajili chap chap. Chukueni Jobe, lakini Mpanzu na Kibu hawaachwi hivi karibuni.
 
Sonona zinamsumbua mleta mada.Ukiona wanaanza kukurupuka na kuweweseka jua hali sio nzuri.Migongowazi kujitapa kumekwisha imebakia kulalamika na kutoa visingizio.
Mavi yanawagonga kwenye chupi.
 
Nashauri simba wasione aibu kumtimua mpanzu kabla hawajapata hasara zaidi au apewe hata kitengo cha kufua jezi tu
Umeandika kwa uchungu kama upo leba unajifungua.....

Tulia uchungu huwa ni wa muda tu ukishajifungua unasahau kabisa na kujiandaa tena kuwa mama kijacho kwa mara ya pili.

Hahahaaa ubaya ubwela 🐸
 
I salute you kinsmen
Sajili tofauti tofauti tumeziona wakiwemo Ken gold walioleta macro wengi tu

Ila kuna maharaja yameletwa ligi kuu yanatia mashaka sana uwezo wao na ubaya ni kuwa team zao zinaona aibu kuwavunjia mkataba.

Huyu Mpanzu ndiyo garasa kuu kuliko mengine maana ameletwa kwa mbwembwe sana na mikogo

Ila anazidiwa magoli hata na mabeki wakina kapombe wanamzidi na bado anacheza winga na mechi nyingi kapewa

Sasa apewe nini ili afunge?

Mchezaji namba waliyompa basi tutegemee kumaliza miaka miwili bila kufunga kama mwenzie Rastaman akili ndogo nguvu nyingi kibu denis

Nashauri simba wasione aibu kumtimua mpanzu kabla hawajapata hasara zaidi au apewe hata kitengo cha kufua jezi tu .
Kama inauma chomoa ndugu.usilazimishe mambo.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Screenshot_20250205-165712~2.jpg
 
I salute you kinsmen
Sajili tofauti tofauti tumeziona wakiwemo Ken gold walioleta macro wengi tu

Ila kuna maharaja yameletwa ligi kuu yanatia mashaka sana uwezo wao na ubaya ni kuwa team zao zinaona aibu kuwavunjia mkataba.

Huyu Mpanzu ndiyo garasa kuu kuliko mengine maana ameletwa kwa mbwembwe sana na mikogo

Ila anazidiwa magoli hata na mabeki wakina kapombe wanamzidi na bado anacheza winga na mechi nyingi kapewa

Sasa apewe nini ili afunge?

Mchezaji namba waliyompa basi tutegemee kumaliza miaka miwili bila kufunga kama mwenzie Rastaman akili ndogo nguvu nyingi kibu denis

Nashauri simba wasione aibu kumtimua mpanzu kabla hawajapata hasara zaidi au apewe hata kitengo cha kufua jezi tu .
 
Back
Top Bottom