Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

 
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

Katika population ya Gaza inatajwa
kuna Jews 270,000+ Among them approx 1000 ni christians na nusu ya pop nzima ni watoto, najiuliza inaposemwa kuwa ni vita kati ya christians na muslims base ya hiyo notion ni ipi?

Israel pia kuna Jews na arabs, dini zao ni jewish, chriistians na muslims

Palestine nako mchanganyiko ni huohuo

Mwenye uelewa anisaidie
 
Katika population ya Gaza inatajwa
kuna Jews 270,000+ Among them approx 1000 ni christians na nusu ya pop nzima ni watoto, najiuliza inaposemwa kuwa ni vita kati ya christians na muslims base ya hiyo notion ni ipi?

Israel pia kuna Jews na arabs, dini zao ni jewish, chriistians na muslims

Palestine nako mchanganyiko ni huohuo

Mwenye uelewa anisaidie

Ni vita vilivyoanzishwa na magaidi wa kiislamu dhidi ya Wayahudi, sasa majibu ya Wayahudi hayachagui iwe mtoto au kitu gani wanapiga, maana hao magaidi wa kiislamu wamejificha ndani ya wananchi wa kawaida.
Kawaida tumezoea magaidi wa kiislamu kuchinja Wakristo, ila hapa kama walikosea njia, Wayahudi ni watu hatari sana lazima walipize kisasi....
 
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

Alwaz
 
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

Kaka yule allah akbar atakaye wape mabikra 72 hayupo kwani.
 
Ni vita vilivyoanzishwa na magaidi wa kiislamu dhidi ya Wayahudi, sasa majibu ya Wayahudi hayachagui iwe mtoto au kitu gani wanapiga, maana hao magaidi wa kiislamu wamejificha ndani ya wananchi wa kawaida.
Kawaida tumezoea magaidi wa kiislamu kuchinja Wakristo, ila hapa kama walikosea njia, Wayahudi ni watu hatari sana lazima walipize kisasi....
🙏
 
Mkuu wa Hamas amesema baada ya vita kuisha wataendelea kufanya uchokozi kama walioufanya October 7 .... Hawa jamaa ni wabishi kwelikweli
"Mkuu wa Hamas amesema baada ya vita kuisha....." Huyu mwamba bado hajamuelewa Myahudi. Ukisema Baada ya vita kuisha kwa Myahudi maana yake ni pale HAMAS wote watakapokuwa wamemalizwa au kuteketezwa jumla (they will be wiped out completely)i.e. hatasalia hata mmoja. Je, hao ambao Mkuu huyo anasema wataendelea kufanya uchokozi kama walioufanya October 7 ni akina nani tena? kama ni HAMAS, sio kweli. Mbona HAMAS wote watakuwa wanastarehe na mabikra 72 huko ahera?
 
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

Si haba mdogo mdogo.
 

Attachments

  • 1439a2f3-2cff-4431-bd8a-6205625e2c4f.mov
    1.7 MB
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

HAMAS hawana upendo kwa Wapalestina , HAMAS ndio mkandamizaji wakwanza wa uhuru wa Palestina......unajidanganya kumuomba mungu gani ambaye atakusaidia kuishambulia Israel???
Halafu watu wanapigwa umejificha chini ya mahandaki ....kwanini Hamas wasikae front line ili wachapwe wao wenyewe ?? Unatumia ambulance KUISAFIRISHA mabomu halafu unatumia ambulance kusafirisha Wagonjwa that is foolishness
 
HAMAS hawana upendo kwa Wapalestina , HAMAS ndio mkandamizaji wakwanza wa uhuru wa Palestina......unajidanganya kumuomba mungu gani ambaye atakusaidia kuishambulia Israel???
Halafu watu wanapigwa umejificha chini ya mahandaki ....kwanini Hamas wasikae front line ili wachapwe wao wenyewe ?? Unatumia ambulance KUISAFIRISHA mabomu halafu unatumia ambulance kusafirisha Wagonjwa that is foolishness
Kabisa mkuu. Huo unaitwa ni msiba wa kujitakia. Kama HAMAS kweli ni vidume, basi wangejipanga frontline kukabiliana katika huo mtifuano baina yake na huyo hasimu wao na sio kuwatanguliza raia au kuwatumia wazee,wamama (tena wajawazito) na watoto kama ngao ya kujikinga dhidi ya kisago kutoka kwa Myahudi ilhali wao wenyewe wamefichama mashimoni(Mahandaki) kama nungunungu.
 
Kaka yule allah akbar atakaye wape mabikra 72 hayupo kwani.
Huna unachokijua kuna huyu kiongozi mzungu wa uholanzi sio mbumbumbu kama wewe , huyu alikuwa hadi anataka sheria kali zitungwe kuudhibiti uislamu bungeni uholanzi, akawa anaandika kitabu cha kukashifu uislamu, mwisho wa siku akaja kubadili dini na sasa hivi ni swala tano
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-191057_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-191057_Chrome.jpg
    82.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231105-191123_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-191123_Chrome.jpg
    128.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom