Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

Mpaka sasa wamekufa 9,700 hivi mashabiki wa HAMAS bado mnaamini huu uchokozi ulikua sahihi?

Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

Takbirrrr
 
Makazi yamesambaratishwa, wakimbizi wanateseka kila siku, na hadi sasa vimeripotiwa vifo 9,770..... na bado Israel wanaendelea na shughuli baada ya kuzingira Gaza...............hivi mnaoshabikia kilichofanywa na HAMAS, bado mnakomalia kilikua sahihi?
================

Israel-Hamas war live: death toll in Gaza rises to 9,770, Palestinian health authority says; Abbas tells Blinken there must be ceasefire​

CDAC040D-6036-4F46-9A3C-AD0D7A9FC638.jpeg


We unaonaje hapo?
 
Katika population ya Gaza inatajwa
kuna Jews 270,000+ Among them approx 1000 ni christians na nusu ya pop nzima ni watoto, najiuliza inaposemwa kuwa ni vita kati ya christians na muslims base ya hiyo notion ni ipi?

Israel pia kuna Jews na arabs, dini zao ni jewish, chriistians na muslims

Palestine nako mchanganyiko ni huohuo

Mwenye uelewa anisaidie
hoja za waislamu
 
Huna unachokijua kuna huyu kiongozi mzungu wa uholanzi sio mbumbumbu kama wewe , huyu alikuwa hadi anataka sheria kali zitungwe kuudhibiti uislamu bungeni uholanzi, akawa anaandika kitabu cha kukashifu uislamu, mwisho wa siku akaja kubadili dini na sasa hivi ni swala tano

[emoji28][emoji28][emoji28],mnachezewa akili mjae kwenye mfumo. Uislamu hauna maisha marefu dunia imeanza kuwakataa.
 
[emoji28][emoji28][emoji28],mnachezewa akili mjae kwenye mfumo. Uislamu hauna maisha marefu dunia imeanza kuwakataa.
Sawa kumbuka juzi tu scotland imemchagua first minister muislamu tena mke wake mpalestina na huku uingereza imeweka record kwa kuchagua wabunge 19 waislamu bado unasema dunia imetukataa? Uislam umekubalika hadi na wazungu wewe chuki ndio zinazokusumbua
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-222204_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-222204_Chrome.jpg
    16.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231105-222053_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-222053_Chrome.jpg
    102.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231105-221947_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-221947_Chrome.jpg
    123.5 KB · Views: 2
[emoji28][emoji28][emoji28],mnachezewa akili mjae kwenye mfumo. Uislamu hauna maisha marefu dunia imeanza kuwakataa.
ulaya imetukubali hadi kutupa nafasi za juu za uongozi wewe ni nani utukatae, hadi chama cha kikristo cha germany kimempa uongozi muislamu wewe ni nani utukatae?
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-222710_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-222710_Chrome.jpg
    98.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20231105-222720_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-222720_Chrome.jpg
    107.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231105-222749_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-222749_Chrome.jpg
    101.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231105-222808_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-222808_Chrome.jpg
    109.1 KB · Views: 2
Ni rahisi kuwasomba watu kidini kwa sababu kwenye msondeko akili wa kidini kuna upumbavu wa kifaida na hasara kubwa sana.
Ila Mungu hahusiki na huo ubaguzi wa Kipumbaavu ndiyo maana habagui pumzi wala kifo.

Ila mungu wa waislam anabagua ndio maana ameagiza wafuasi wake kuchinja asiemini allah.
Alshabab, alqaeda, hamas, isis, taleban, bokoharam, islamic jihad nk kila wanapofanya mauaji lazima watamke allah akbar yaani Mungu mkubwa.
 
Ni vita vilivyoanzishwa na magaidi wa kiislamu dhidi ya Wayahudi, sasa majibu ya Wayahudi hayachagui iwe mtoto au kitu gani wanapiga, maana hao magaidi wa kiislamu wamejificha ndani ya wananchi wa kawaida.
Kawaida tumezoea magaidi wa kiislamu kuchinja Wakristo, ila hapa kama walikosea njia, Wayahudi ni watu hatari sana lazima walipize kisasi....
 

Attachments

  • 1C499630-A49B-4ADB-8CD3-FA6655C6FFEE.MP4
    5.8 MB
Ila mungu wa waislam anabagua ndio maana ameagiza wafuasi wake kuchinja asiemini allah.
Alshabab, alqaeda, hamas, isis, taleban, bokoharam, islamic jihad nk kila wanapofanya mauaji lazima watamke allah akbar yaani Mungu mkubwa.
Na wewe naamini ni mtu mzima na msomi kuingia kwenye huu mtazamo , hawa isis na vikundi vingine unajua nani kavianzisha na kwa sababu zipi? Libya alipotaka kuuliwa gadafi kile kikundi kilipewa hela na silaha na marekani na gadafi aliuliwa on the spot,

Congo hadi leo zaidi ya karne kuna vikundi vingi na vyote vina silaha kali nani anaeapa hela na silaha siku zote hizo?
Ili western waweze kutawala na kuwa na influence sehemu yoyote lazima iwe na mgambo wa kufanya vurugu kwa sababu huwezi kutawala sehemu yenye amani.
Unajua wale unaowaona isis 90% sio waislamu? Na kama unajua dini hawakutaki?
 

Attachments

  • Screenshot_20231105-224652_Chrome.jpg
    Screenshot_20231105-224652_Chrome.jpg
    129.1 KB · Views: 1
Ila mungu wa waislam anabagua ndio maana ameagiza wafuasi wake kuchinja asiemini allah.
Alshabab, alqaeda, hamas, isis, taleban, bokoharam, islamic jihad nk kila wanapofanya mauaji lazima watamke allah akbar yaani Mungu mkubwa.
Basi vita isiishe. Waendelee kushughulikiwa maana wakiachwa watafanya tena ugaidi na next time wataua zaidi kuliko Oct 7
Hamas wanapambana huku wamejificha kwenye mawowowo ya akina mama.😂😂😂
 
Back
Top Bottom