Ukiniletea post Moja tu niliyomsifia Mwendazake akiwa Rais, nitaomba Mods wa JF wanipe ban ya milele!!Mlisema hivyo hivyo kipindi cha mwendazake..punguzeni mahaba au nyie sio watanzania hamna ndugu mijini na vijijini.
#MaendeleoHayanaChama
Ccm ni ile ile hakuna unafuu wa maisha kwa wananchi as long as ina tawala usidanganyike.Ukiniletea post Moja tu niliyomsifia Mwendazake akiwa Rais, nitaomba Mods wa JF wanipe ban ya milele!!
Twende kazi jiwe angavu
Mwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi
Zanzibar utafisidi nini? Afterall wazanzibari siyo mafisadi.Mwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi
Waulize wale wanaofanya kazi mahotelini na wauza njugu wanavaa kobazi?Ila ukiwa sio mvaa kobazi hupati kazi..sijui kwa nini?
#MaendeleoHayanaChama
we kima kweli.. hebu rusha picha hapa ya hiyo bandari ya mpiga duri... Mwinyi sasa hivi anachoweza ni kuhutubia misikitini tu ndio maana anaitwa Shehe NyundoAchana kabisa na Rais Dk.Hussein Mwinyi. Ni mtu wa kazi hasa. Unafuatilia pemba anavyoifungua kiuchumi? Bandari mpigaduri? Nidhamu ya utumishi wa umma, vita ya rushwa na uzembe? Anajenga culture mpya ya utendaji kazi na uwajibikaji Zanzibar. Hii ni injini, wasipo wajibika ole wao...watakumbwa na Fagio la Chuma.
Says who?Zanzibar utafisidi nini? Afterall wazanzibari siyo mafisadi.
Mkuu ulikuwa umepotea Sana tunasikia una undugu na mzee wa PGOUkiniletea post Moja tu niliyomsifia Mwendazake akiwa Rais, nitaomba Mods wa JF wanipe ban ya milele!!
Twende kazi jiwe angavu
muhali umeondolewa imekua tatizoMwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi
umenena kweli tena kweli tupuKilichomkimbiza Zenji nini?? Akaja kukomaa bara?? Kama huko kuna wachapa kazi??
Nilishakaa Zbar kwa project fulani, ofisi ya serikali unafika saa3, muhusika hajafika, akifika saa 4 anaenda kunywa chai, saa 5 karudi gumzo porojo, saa 6-7 Masjid, saa 8 lunch, what the EFF, kitu ambacho bara ungehudumiwa siku 1-2, kule wiki.
Investor kajipangia kukaa wiki anajikuta kakaa wiki3, muda unapotea na pesa na mtu anakata tamaa.
Wabara huwa tunawaona wabara wavivu, ili tukija Zenj tunaona wabara ni watu wachapa kazi kama wajapan.
Na uhakika Mh Hussein Mwinyi, ndiiyo anachokabiliana nacho first hand, WAVIVU WAMEENDEKEZA UMWINYI. Hawana kitu zaidi midomo na roho za kwanini.
Everyday is Saturday................................😎
Ngombe ana sifa kubwa maana tunakula supu.!!!Mwinyi na dada ake wote wanaongoza ng'ombe. Waache wafanye wanachotaka.
Nipe ushahidi wa huduma za jamii alizoboresha wakati kashindwa hata kuboresha hospitaliRais Mwinyu yupo vizuri amejitahidi kufuta baadhi ya kodi kero Zanzibar ambazo Tanzania bara bado zipo hii habari ni ya mfanyabiashara hataki wengine wapite huko...Zanzibar leseni za biashara za maduka zipo elfu hamsini na sitini..hapo mwanzo zilikua kama bara tu.
Mleta mada alishazoea upigaji wa miaka ya nyuma.Mwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi
Daah wonders shall never end!Huyu bwana aliupata Urais kwa mgongo wa Magufuli na wala hakuwa chaguo la Wazanzibar. Alikuja na mikakati mingi ikiwemo ule maarufu wa kukuza Uchumi wa Bluu.
Ila baada ya kifo cha JPM kama amevurugwa hakuna analofanya. Tokea aingie madarakani hadi sasa hajajenga hata kilomita moja ya barabara wala kufanya chochote cha maendeleo.
Hawaamini kabisa wateuzi wake na amekuwa mtu wa kutoa maagizo tu bila ya kusikiliza ushauri.
Sasa hivi ana kazi ya kupita misikitini tu na kuhubiri mambo ambayo hata yeye mwenyewe hayatekelezi.
Wazee wa CCM wameapa kwamba atakuwa Rais wa miaka mitano kama JPM na watamuweka kando kwa njia yeyote.
Ndiyo utagundua kila mziba mianya anabadikwa jina la uchawi...Hawa binadamu sijui wa sayari ya wapi?Mwinyi ameziba mianya yote ya rushwa na ufisadi
Kwahiyo kwa Wazenji, Zbar na Tanganyika TUMEPIGWA MCHANA KWEUPE!Bora msielewe Zanzibar inaenda wapi Kama vile sisi nasi tusivyoelewa Tanganyika pendwa inapelekwa wap na mzenji!!