Pre GE2025 Mpaka yanatumika magari kutangaza birthday ya Rais Samia lakini bado kiki imebuma. Safari hii watanzania wamenuna kwelikweli!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
attention attention .....mwanamke ni mwanamke tu na machawa washajua udhaifu wake nguvu kubwa inatumika kumpasifa badala ya kumwambia ukweli hili ndo anguko lake
 
Kweli JPM alikua mtu na nusu wallah, wanatangazia kwenye miundombinu yake.
Ngoja niende zangu kule kwa kimataifa nikasome story za kobazi, Yahudi, kafiri mara CIA, MOSSAD au promise 3 ya Iran. Nyuzi za huku siku hizi hazina maana kabisa
 
Sasa barabara zimefungwa hakuna raia mjini wanatangaza kwa nani ?

Halafu kuchora picha ya mtu juu bendera ya taifa ni uhuni, kesho na Lissu akiweka picha yake itakuwa sawa ?

..hata mimi nilikuwa nafikiria hivyohivyo.

..Je, sheria inaruhusu sura ya mtu kuwekwa katika bendera ya Taifa?
 
Kweli JPM alikua mtu na nusu wallah, wanatangazia kwenye miundombinu yake.
Ngoja niende zangu kule kwa kimataifa nikasome story za kobazi, Yahudi, kafiri mara CIA, MOSSAD au promise 3 ya Iran. Nyuzi za huku siku hizi hazina maana kabisa

..Ni miundombinu yetu Watanzania, sio mali ya kiongozi fulani.
 
Ila chawa wa kisenge sana,usikute kwenye hilo gari limwashambwa limo ndani linakenua tu mimeno yake utafikiri ngiri imeona mihogo
 
Bi mkubwa mlakay ajibu comment kwenye social network lakini bado.
 
Kuna wakati jijini "Daslamu" kulikuwa na mabango kibao yenye picha yake. Yaani utadhani Egypt enzi za Hosni Mubarak. Kila sehemu mipicha ya Rais. Upuuzi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…