Pre GE2025 Mpaka yanatumika magari kutangaza birthday ya Rais Samia lakini bado kiki imebuma. Safari hii watanzania wamenuna kwelikweli!

Pre GE2025 Mpaka yanatumika magari kutangaza birthday ya Rais Samia lakini bado kiki imebuma. Safari hii watanzania wamenuna kwelikweli!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Uchaguzi utawajua watanzania na ccm yao mtabaki kusema tumeibiwa tumeibiwa
 
Kama isingekuwa huo mkutano basi leo ikulu kungekuwa na "shughuli" na tarumbeta mpaka sare watu wangekata.
Usikute na haya mapumziko yangeendelea kuwekwa.

Naipenda nchi yangu. Acha niisave hii tarehe ili mwakani InshaAllah nikate keki na rais wangu.
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Mchi hii ilipo fika naona hakuna wa kuiokoa
 
Viongozi wanawafundisha wananchi uchawa wa hovyo kabisa!!
Sherehe ya birthday nisherehe binafsi ya mtu haifai viongozi wa serikali kukaa wanaimbaimba 'hepibesdei' siku nzima.
Kujipendekeza Kwa mtu nijambo lahovyo ambalo Mungu hapendi fyongozi wetu waache kumpa binadam sofa na utukufru
 
Birthday! Jamii inahamasishwa iachane naa mambi ya hovyo wewe unatuletea vya namna hiyo. Itusaidie nini sasa.
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:

Hapa nafikiri bendera ya Taifa zimetumika vibaya. Wajuzi toeni ufafanuzi. Je hii ni sawa?
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Pia soma: Pre GE2025 - Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Kiroho siku ya kuzaliwa ni moja tu, ambayo umetoka tumboni mwa mama basi aya mengine huwa ni mapambio, siku itakua ile na tarehe ,ila sio masaa , au mpambano ulikuepo mpaka unakua Duniani.

Hii kwangu huwa sioni maana yoyote bali kujifariji tu
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Pia soma: Pre GE2025 - Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Kwa mwenendo huu, Tanzania inakuwa nchi ya kifalme very soon
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Pia soma: Pre GE2025 - Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Wanao fanya hayo ni machawa sio yeye.
Na hawezi kugombana nawo.

Kama wewe unataka kufanya birh day Lissu hakuna wa kukuzuwia fanya.
 
CHADEMA wanapata tabu kwa lipi sasa? Yaani hawafanyi lolote na bado mnahangaika, wakikohoa tu mnapoteana wote huko:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh: Lissu kajua kubadilisha upepo mpaka mnapata mhaho:OMEGALAUGHING::OMEGALAUGHING::OMEGALAUGHING:
Dah, hv unajisikia hata mwenyewe?!!!!
Naona mnajitahidi kuforce umaarufu kwa kujinasibisha na Chama kubwa. Hakuna mtu rahisi kudeal naye kama huyo.......ni suala la muda tu.
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Pia soma: Pre GE2025 - Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Yaani wanawaambia watanzania akina mama wapasuliwe mikasi na waume zao wakati wa kujifungua. Hakika mungu atawanyoosha matapeli safari hii
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Pia soma: Pre GE2025 - Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri[emoji23][emoji23]. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:

Acheni mambo ya ki- Korea Korea hapa TZ
 
Wenye connection huko chichiemu mtuambie bado hawajatoa chupi zenye maandishi ya uchawa? Mana tisheti tumezichoka ,kofia ndio kabisaa tunataka chupi sasa tukipelekana magesti tuonyeshane
 
Wakuu,

View attachment 3215630

CCM ndio mko deparate kiasi hiki?:BearLaugh::BearLaugh: Nguvu kubwa sana inatumika kumpaisha 'mama' lakini watanzania wamegoma kutoa kiki:BearLaugh::KEKWlaugh::pepeLaughers:

Barabara zimebaki nyeupe muonekane kwa uzuri lakini bado haijasaidia :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: . Wasanii kwenda kula keki na kugawa mitungi nako hakujasaidia kupaisha kiki hata ikafika hapo Morogoro tu. Ni huzuni:pepeLaughers::pepeLaughers::pepeLaughers:.

Mnatumia mpaka rasirimali zetu vibaya mradi tu kumpaisha mama lakini wapi. Hiyo hela ya mafuta mnachezea hapo si bora ingeenda sadia mtu mwenye uhitaji ikamsogeza kidogo.

Pia soma: Pre GE2025 - Chamwino wakata keki kumtakia heri Rais Samia. Wahusisha mpaka wanafunzi kwenye tukio hilo! Hii ni sawa?

Bado mtaisoma namba kama mwimbo wenu unavyosema mpaka akili ikae vizuri😂😂. Ni mwendo wa mikausho mikali tu kama hatuwaoni vile.

Watanzania wa jana si wa leo, tongotongo zinaanza kuondoka na mwangaza kuonekana.

Chawa mnasemajeeeeee..... tumewashika mwaka huuu mtakauka:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:
Sasa mnaweza kuelewa ni kwa nini Trump anawaona viongozi wengi wa Africa ni kama "hamnazo" hivi
 
Back
Top Bottom