Hivi huyu mama Abdul ana tatizo gani wajameni, bibi mwenye wajukuu anataka sherehe ya birthday kama mjukuu wake wa miaka 16?
Au Kizimkazi kwenye makuzi hakufanyiwa sherehe huko sasa analipizia? Mimi yangu ya mwisho nilifanya mwaka 1975 nikiwa shule ya msingi ilala boma
Au Kizimkazi kwenye makuzi hakufanyiwa sherehe huko sasa analipizia? Mimi yangu ya mwisho nilifanya mwaka 1975 nikiwa shule ya msingi ilala boma