Mpambano: Mange Kimambi Vs Frank Gonga a.k.a Baba Bhoke

Status
Not open for further replies.
Nakumbuka kuna kipindi yule dada alyoza na sugu mbunge, Mange alimwandika vibaya na kumkamchamba eti Mwanaume uliyo za nae utamsemaje vibaya kwenye social media. Sasa kikowapi
Ninakumbuka vizuri mkuu, Mange ukimuudhi anatafuta patakapo kuchoma hajali hata kama ni baba yako.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] huu mchezo wanaujua wachezaji tyu tuwaachie uwanja
 
Chaaaaaa huu mtanange so mchezo ngoja tule ubuyu
 


Si Mange tu mkuu, pia Le mutuz kawahi kutukanana pia mitandaoni na x wife wake tena hadi watoto waliingizwa kwenye ugomvi..

Sijui watu mnaoishi USA mnalaana gani , si wanaume au wanawake! Wote mnamwaga mitusi mitandaoni
 
Hahaaaa duuh!

Kumbe na wewe ulipatwa?

Sasa ikawaje tena?
Wakati ule na vitoto viliacha kwenda shule vipate wanaume wa kizungu, Mange anatuonyesha high life ya Dubai kumbe vyote fekiro.
 
Bora uogope hivyo hivyo yule mwanamke atawachamba hadi babu zako waliokufa enzi za mkoloni bila kusahau kuku na sahani zenu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Kwa kulazimisha MTU asome taaluma asiyoitaka ndio maana miaka hii tuna madaktari na manesi wasio na wito,wako kule tu kimaslahi na si kusave life kama taaluma inavyotaka
 
Mange yule dada watu wanamuona kama chizi ila ana akili saana
Mhhhhh akili hana,laiti angekuwa na akili asingethubutu kutoa maneno makali vile juu ya mzazi mwenzie na mwanae wakati anajua fika inaweza kumsababishia matatizo akazuiwa hata kuwaona watoto wake. Ni mjinga
 
I hope yo aint a woman.
Hebu nipishe Mimi Ain't a woman nini.mwanaume kakuzingua mpe mwanae amlee na yeye awe single dad.nenda kapige mishe zako za kuongeza kipato mtoto akikua njoo umchukue as men always they do dat.kila kona single mama sababu ya kujitojitambua.
 
Mental case,sijui ni ADHD,PTSD ama bipolar,lakini kiukweli kuna uelewa mdogo sana wa magonjwa ya kisaikolojia kwetu wabongo,huyu dada ni mgonjwa anahitaji msaada wa haraka.
Itakuwa ni ADHD au SAD aiseee sioni kama inaweza ikawa PTSD mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…