Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

huyu msichana aliyeshika jembe anafanana na demu wangu daktari mkenya mjaluo .. hatariii..sikumuoa kwa sababu alikuwa hawezi kupika basi.
 
Huu uzi umekuwa tofauti na nilivo talajia kwa kweli
Ila umenifumbua macho nakuamini jf wanawake wa mikoani ni wengi mno kuliko wale wa dar na ndyo maana wanashindwa kuweka mauzulio mazuri hapa jamvini kwa sababu watakuwa wanajisuicide wenyewe kwa wenyewe....
 
Inakuwaje unapost vitu kama hivi halafu eti nawewe unatarajia kuolewa?

Mungu niepushe na wanawake wa aina hii...Idiot!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zinazoshinda huingia kutunga mimba yenye genes ya kizalia husika zinazoshindwa hufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…