Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

Mpambano mkali sana: Wanawake wa Dar vs wa mikoani

Mshana, katika ule mpambano wa mbegu kuingia kwenye tumbo la uzazi spiritualy ni nini kinaltokea na kuleta tofauti kati ya mbegu zilizopotea na ile moja iliyozishinda nyingine. Na nini hutokea kwa zile zilizoshindwa mpambano? Na je mbegu huwa kama mbegu au kuna sprit power inayoambatana nazo?
 
Unasema mademu wa musoma ni rahisi sana kuwagonga hakafu unataja KIABAKARI NA MWANZA. Hujui musoma ni wapi, mwanza ni wapi na kiabakari ni wapi?
Sasa kiabakari si ipo musoma vijijini huo ukanda wote Mara mwanza bariadi geita kagera tabora kote ni unatongoza Sasa hivi unatia baada ya kumaliza kutongoza
 
Back
Top Bottom