Mpambano wa mabasi ya Arusha to Dar

Kuna video moja ilirushwa WhatsApp 'scania ikitoa kichapo' aisee ile Scania ilikuwa inazikata bus nyingine kama utani,tena anakaa kulia mbali halafu anaanza kukamua,ukisikia turbo ya ile Scania unatamani uwe dereva
Scania ikimkuta suka mzuri ni hatari
 
Marangu wapuuzi kabisa, usikute ndiyo hiyo konokono nilienda nayo Arusha jioni konda wake dada moja nene hivi is it..?
 
Tunafurahia ila ni hatari mkuu.
 
Watu wanashindwa kuelewa fitna zilizopo kwenye makampuni ya mabus, 1: Makampun mengi huwa wananunua tochi.
2: Wanahonga askari barabarani ili kusimamisha kampuni pinzani na kuwapotezea muda.
Je ving'amuzi?
 
Tunafurahia ila ni hatari mkuu.
 
Hahahahah ndio hio hio meku [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema labda mlipanda na dereva mchovu, gari inakimbiaga sana ile.
Dereva mzee mmoja kama sikosei anaitwa Mushi, aisei tulikuwa tunapitwa vibaya mno,hadi costa aisei.
 
Chuma hapo ni zile scania mpya za Dar ex press tu nipo bunju hapa naangalia nani wa kwanza kutoboa
Hizo mzee ni kama punda kihongwe ata simbuki wapi tumewatupa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…