Mpanda: Tsh. Milioni 500 zatengwa kujenga Kituo cha Afya, fedha zimeisha ujenzi haujakamilika

Mpanda: Tsh. Milioni 500 zatengwa kujenga Kituo cha Afya, fedha zimeisha ujenzi haujakamilika

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Ujenzi wa Kituo cha Afya Ugalla, Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi kimeshindwa kukamilika licha ya fedha Shilingi 500 kutolewa miaka mitatu iliyopita kutoka Serikalini.

Kushindwa kukamilika kwa ujenzi wa kituo hicho imebainika ni kwa sababu ya vitendo vya ubadhirifu wa fedha huku ikibainika watu wenye mamlaka wa Wilaya hiyo wameomba kiasi cha fedha za ziada Sh Milioni 100 kutoka Serikali ili kukamilisha ujenzi.

Kamati ya Siasi ya Mkoa wa Katavi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imebainisha hayo hivi karibu baada ya kumaliza kukagua mradi huo ambapo wameshangazwa kuona maombi mengine ya fedha shilingi 100 wakati vituo vingi vya afya nchini vimejengwa kwa milioni 500.
 
Kila mtu anakula kwaurefu wa kamba yake

CAG akikemea upotevu wa pesa anaonekana mchochezi
 
Hii nchi hata haitaji vyanzo vipya vya mapato Serikali ikiweza kusimamiq vyema ubadhirifu na upigaji sambamba na kuwachukulia hatua Kali hao wote basi itaokoa pesa nyingi sana
 

Ujenzi wa Kituo cha Afya Ugalla, Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi kimeshindwa kukamilika licha ya fedha Shilingi 500 kutolewa miaka mitatu iliyopita kutoka Serikalini.

Kushindwa kukamilika kwa ujenzi wa kituo hicho imebainika ni kwa sababu ya vitendo vya ubadhirifu wa fedha huku ikibainika watu wenye mamlaka wa Wilaya hiyo wameomba kiasi cha fedha za ziada Sh Milioni 100 kutoka Serikali ili kukamilisha ujenzi.

Kamati ya Siasi ya Mkoa wa Katavi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imebainisha hayo hivi karibu baada ya kumaliza kukagua mradi huo ambapo wameshangazwa kuona maombi mengine ya fedha shilingi 100 wakati vituo vingi vya afya nchini vimejengwa kwa milioni 500.
Mil.500 haiwezi kutosha ujenzi wa Kituo Cha Afya Kwa gharama za Sasa
 
Tuoneshe wewe ulipojenga ikatosha.

Huo ujinga ulianza awamu ya Mwendazake Hadi Leo hii Bado mnatumia rates zile zile 😂😂

Kwa taarifa Yako tuu NWB akienda Mtwara na kukutoa Kituo Cha Afya kimekula zaidi ya mil.600 na hakijakamilika sembuse hiyo 500m?
 
Back
Top Bottom