Mpanda: Tundu Lissu ayalipua Maridhiano, Kingai, Byakanwa na Wambura Watajwa

Mpanda: Tundu Lissu ayalipua Maridhiano, Kingai, Byakanwa na Wambura Watajwa

Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Watu wa pwani, waswahili, si watu wa kuaminika. Mbowe anatakiwa kuwa makini na Samia
 
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Lissu yeye huwa anapasuka palepale hataki kuzunguka
 
Wananchi tunahitaji sera na sio majungu na lawama kila uchao.

Tunataka taifa la kisasa na sio taifa la visasi.
 
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji419][emoji375]
 
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
jamaa namkubali sana ijapokuwa wengi huwa hawamwelewi lakini naamini iko siku watafunguliwa na kuanza kumwelewa.
 
Lisu bila kumtaja taja Magufuli ni mweupe tu.
Asipotajwa na binadamu wenzake walioshuhudia fikra zake mbaya, mipango yake ovu na matndo yake ya kinyama, kwa hakika hata mawe yatamtaja. Lissu kataja uongozi wa awamu ya tano kwa ujumla kwamba ulihusishwa na mambo mabaya sana dhidi ya raia lakini wako watu wanaona ametajwa mtu mmoja! Wenye shida hiyo ni wale washirika wa karibu wa uovu huo. Shida yao hao washirika wa uovu ni kutaka uovu huo usahaulike; watu wasikumbushwe! Hapana. Sehemu kubwa ya kizazi chetu hatukuwepo wakati wa vita vya pili vya dunia. Watu wastaarabu wameturithisha historia hiyo muhimu ikiwa ni pamoja na majina ya watu waovu waliohusika na maafa hayo. Vivyo hivyo watu wema wa nchi hii hawana budi kukumbusha uovu kila mara na kuweka katika historia.
 
Nilikuwa naitafuta pointi hii bahati nzuri nimeipata kwako, nawashangaa sana wanavyozidi kupiga kelele kila siku halafu bado wako humo ndani, kisingizio ni maridhiano ya Mbowe na Samia..

Sasa kama Mbowe anawaburuza hivyo huko Chadema wamebaki wanafanya nini? kuna vitu vingine vinashangaza sana, kama sio kuchekesha, hawa vipofu wanatengeneza makundi ndani ya chama chao lakini hata hawaoni!.
Mbowe alishasema maridhiano hayawazuii kusema wala kuendelea na mipango yao

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Sahihi mno!!!

Kuna vitu Lissu akiongea anatumia maneno na style sahihi yenye kufikisha ujumbe 100%. Hiyo ni moja ya strength zake muhimu.
 
Yuko sahihi
Wanakosea wanapoangalia yaliyotokea kwenye awamu ya tano tu, huo ni ubinafsi uliopitiliza kwa kuwa wao ndio wahanga.

Kwanini tusirudi nyuma tukaangalia yaliyowapata kina Dr Ulimboka, Mwangosi?

Au hata nyuma zaidi tukaangalia familia za kina Kaselabantu zilivyoathiriwa na ukatili wa tawala za kipindi kile na namna zinavyoweza kufidiwa?

Kama mmeamua kuridhiana shurti mridhiane kiukweli.
 
Wanakosea wanapoangalia yaliyotokea kwenye awamu ya tano tu, huo ni ubinafsi uliopitiliza kwa kuwa wao ndio wahanga.

Kwanini tusirudi nyuma tukaangalia yaliyowapata kina Dr Ulimboka, Mwangosi?

Au hata nyuma zaidi tukaangalia familia za kina Kaselabantu zilivyoathiriwa na ukatili wa tawala za kipindi kile na namna zinavyoweza kufidiwa?

Kama mmeamua kuridhiana shurti mridhiane kiukweli.
Wewe yaangazie hayo sasa kwani Tanzania ni Lissu peke yake? Yeye anafanyap pale anapoweza
 
Nilikuwa naitafuta pointi hii bahati nzuri nimeipata kwako, nawashangaa sana wanavyozidi kupiga kelele kila siku halafu bado wako humo ndani, kisingizio ni maridhiano ya Mbowe na Samia..

Sasa kama Mbowe anawaburuza hivyo huko Chadema wamebaki wanafanya nini? kuna vitu vingine vinashangaza sana, kama sio kuchekesha, hawa vipofu wanatengeneza makundi ndani ya chama chao lakini hata hawaoni!.
Hakuna makundi kama ndio malengo yenu mtasubiri sana.

Anachosema Lissu ni kukazia kwenye maridhiano.

Ni kumshtua yule mnayeridhiani kwenye hila anazofanya ndani ya maridhiano.

Ni sawa na kumwambia mtu kuwa mbona umekiri umenisamehe lakini bado unapeleka kesi mahakamani?? Sasa mtu ukimwambia hivyo ni kosa gani?
 
Back
Top Bottom