denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Huu ndio uchizi sasa, sijui wewe unaouonaje? yani mkiwa ndani mnalia, na mkitoka nje pia mnalia! mmekuwa chama na wanachama wa vilio.Hawatoki ng'oo ukitaka nuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio uchizi sasa, sijui wewe unaouonaje? yani mkiwa ndani mnalia, na mkitoka nje pia mnalia! mmekuwa chama na wanachama wa vilio.Hawatoki ng'oo ukitaka nuna
Watu wa pwani, waswahili, si watu wa kuaminika. Mbowe anatakiwa kuwa makini na SamiaKatika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.
Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP
Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .
Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.
Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Game plan ipi? mmoja kwenda kaskazini na mwingine kwenda kusini ndio akili kubwa?
Jamaa;Mke wangu mbaya, haniheshimu, sio Muaminifu kwny ndoaHawatoki ng'oo ukitaka nuna
Lissu yeye huwa anapasuka palepale hataki kuzungukaKatika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.
Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP
Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .
Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.
Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji419][emoji375]Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.
Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP
Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .
Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.
Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
jamaa namkubali sana ijapokuwa wengi huwa hawamwelewi lakini naamini iko siku watafunguliwa na kuanza kumwelewa.Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.
Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP
Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .
Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.
Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Asipotajwa na binadamu wenzake walioshuhudia fikra zake mbaya, mipango yake ovu na matndo yake ya kinyama, kwa hakika hata mawe yatamtaja. Lissu kataja uongozi wa awamu ya tano kwa ujumla kwamba ulihusishwa na mambo mabaya sana dhidi ya raia lakini wako watu wanaona ametajwa mtu mmoja! Wenye shida hiyo ni wale washirika wa karibu wa uovu huo. Shida yao hao washirika wa uovu ni kutaka uovu huo usahaulike; watu wasikumbushwe! Hapana. Sehemu kubwa ya kizazi chetu hatukuwepo wakati wa vita vya pili vya dunia. Watu wastaarabu wameturithisha historia hiyo muhimu ikiwa ni pamoja na majina ya watu waovu waliohusika na maafa hayo. Vivyo hivyo watu wema wa nchi hii hawana budi kukumbusha uovu kila mara na kuweka katika historia.Lisu bila kumtaja taja Magufuli ni mweupe tu.
Mbowe alishasema maridhiano hayawazuii kusema wala kuendelea na mipango yaoNilikuwa naitafuta pointi hii bahati nzuri nimeipata kwako, nawashangaa sana wanavyozidi kupiga kelele kila siku halafu bado wako humo ndani, kisingizio ni maridhiano ya Mbowe na Samia..
Sasa kama Mbowe anawaburuza hivyo huko Chadema wamebaki wanafanya nini? kuna vitu vingine vinashangaza sana, kama sio kuchekesha, hawa vipofu wanatengeneza makundi ndani ya chama chao lakini hata hawaoni!.
Katiba mpya , Tume Huru ya Uchaguzi pamoja na hakiLissu anataka nini?
Sahihi mno!!!Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.
Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP
Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .
Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.
Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Wanakosea wanapoangalia yaliyotokea kwenye awamu ya tano tu, huo ni ubinafsi uliopitiliza kwa kuwa wao ndio wahanga.Yuko sahihi
FactKama Lisu bado ana siasa za namna hii anafeli pakubwa sana,hizi siasa za lawama zimepitwa na wakati ,aseme atafanya nini tofauti na CCM ikiwa atakamata dola,aache porojo
😅😅😅Jamaa;Mke wangu mbaya, haniheshimu, sio Muaminifu kwny ndoa
Mimi; Mpige chini kama vipi
Jamaa;Simuachi ng'o
Wewe yaangazie hayo sasa kwani Tanzania ni Lissu peke yake? Yeye anafanyap pale anapowezaWanakosea wanapoangalia yaliyotokea kwenye awamu ya tano tu, huo ni ubinafsi uliopitiliza kwa kuwa wao ndio wahanga.
Kwanini tusirudi nyuma tukaangalia yaliyowapata kina Dr Ulimboka, Mwangosi?
Au hata nyuma zaidi tukaangalia familia za kina Kaselabantu zilivyoathiriwa na ukatili wa tawala za kipindi kile na namna zinavyoweza kufidiwa?
Kama mmeamua kuridhiana shurti mridhiane kiukweli.
Hakuna makundi kama ndio malengo yenu mtasubiri sana.Nilikuwa naitafuta pointi hii bahati nzuri nimeipata kwako, nawashangaa sana wanavyozidi kupiga kelele kila siku halafu bado wako humo ndani, kisingizio ni maridhiano ya Mbowe na Samia..
Sasa kama Mbowe anawaburuza hivyo huko Chadema wamebaki wanafanya nini? kuna vitu vingine vinashangaza sana, kama sio kuchekesha, hawa vipofu wanatengeneza makundi ndani ya chama chao lakini hata hawaoni!.