Mpanda: Tundu Lissu ayalipua Maridhiano, Kingai, Byakanwa na Wambura Watajwa

Mpanda: Tundu Lissu ayalipua Maridhiano, Kingai, Byakanwa na Wambura Watajwa

Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Sahihi ✔️ ingawa walinda legacy watamshambulia kinyama!! Kumbe Taifa liliishapitia kutawaliwa na utawala katili?
 
Kwani mbowe alisingiziwa Si alisamehewa kwaajili ya maridhiano?
Jitahidi kuwa mkweli, usipende uwongo.

Una ushahidi wowote ule ambao unaweza kuuleta hapa wa kuthibitisha kuwa Mbowe alisamehewa?

Nakumbuka Mbowe alikataa katakata kuomba msamaha kwa kesi ya kubambikiwa. Familia ya Mbowe na CHADEMA walimkanya vikali Zito alipotaka kujifanya anamwombea msamaha Mbowe.

Tunachojua ni kwamba serikali kwa kupitia mwendesha mashtaka mkuu iliamua kuyaondoa mashtaka dhidi ya Mbowe.

Taarifa iliyopatikana baadaye kupitia kwa Mbowe mwenyewe ni kwamba akiwa mahabusu alipewa taarifa kuwa Rais ameomba kuonana naye mara baada ya kuachiwa huru. Na kwamba akiwa ikulu, Rais alimwomba msamaha. Details za msamaha hazikuwekwa wazi. Kimsingi, ni Serikali ndiyo iliyomwomba msamaha Mbowe, na siyo kinyume chake. Na anayesamehe ni yule aliyeombwa msamaha.
 
As usual, Mr Tundu is off the mark, badala ya kumsifia Rais kutetea maridhiano anamlaumu. Kesi zake Mr Tundu ni jambo binafsi huwezi kuliingiza kwenye Katiba wala kulipa tumehuru. Ni kweli alitoa matusi, ni kweli ni mchochezi, kila siku hadibleo anatoa uchochezi na matusi juu yaxwatu wengi tu, he is not above the law. Kesi ya uhaini ya Mheshimiwa Mbowe ni baraka kwake, kaponea chupuchupu angenyongwa. Ni kweli alikodisha makomandoo watatu na kuwalipa nauli na posho ili wakamuue Alexander Lengai Nurk ole Sabaya, DC wa Hai. Kampuni ya tigopesa ilitoa ushahidi kamilifu kuwa hela zilitumwa na kupokelewa. Afande Urio aliyetumwa kuwatafuta wauaji ushahidi wake haujakanushwa kwani maongezi yakwe yalinaswa. Makomandoo walikuwa safarini kwenda kumuua ole Sabaya wapumbafu wakaamua kupitia Club ya mbege kuchati na wahudumu pale Rau Madukani ushahidi uko. Wakiwa hapo ndipo wakakamatwa na Afande Jumanne kwa uongozi wa mpelelezi mkuu Kachero Ramadhani Kingai. Ndipo ikawa DC ole Sabaya amepona kuuliwa. Angeuliwa makamandoo wangekamatwa wangenyongwa naovwangemtaja Mheshimiwa Mbowe naye angenyongwa sawia. Katika yote haya sifa ni za Kachero Afande Kingai. Alichofanya Rais ni kufuta kesi kuona ole Sabaya amepona. Ni maridhiano makuu.
Crap. Get back to your sense and go through to your crap you have posted here.

Ni uwendawazimu wa hali ya juu kusema kuwa Lisu ni mchochezi wakati hujui hata maana ya uchochezi. Ebu tukumbushe ni kesi gani ya uchochezi iliwahi kuthibitishwa dhidi ya Lisu.

Hivi kweli mtu upo timamu kichwani kabisa unaweza kusema kuwa kumlipia mtu nauli au kumpa mtu pesa ya gharama ya usafiri ni ugaidi. Kama ingekuwa hivyo basi ugaidi ungekuwa ni jambo la heri maana watu binafsi, makampuni, taasisi mbalimbali huwalipia gharama za usafiri waajiriwa wao wapya ili wafike kwenye vituo vyao vya kazi. Yaani Mbowe kuwalipia gharama za usafiri walinzi wake wapya ndiyo ugaidi! Kweli tuna wendawazimu wengi nchini kuliko tunavyodhania. Wenzako taratibu wameanza kujitenga na uwendawazimu wewe ndiyo unazidi kuzama kwenye uwendawazimu!! Usiufanye uwendawazimu kuwa ni sifa njema. Ondoka kwenye hiyo aibu.
 
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Hatuna muda hata wa kumsikiliza Tundu
 
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Lissu yuko sahihi.
 
Kama Lisu bado ana siasa za namna hii anafeli pakubwa sana,hizi siasa za lawama zimepitwa na wakati ,aseme atafanya nini tofauti na CCM ikiwa atakamata dola,aache porojo
Siyo siasa za lawama bali siasa za ukweli bila kupepesa macho,siasa za hadaa za akina Mahera,Samiah na Mwigulu Nchemba zimepitwa na wakati.
 
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja mapungufu ya Maridhiano hadi sasa.

Akizungumza kwa kujiamini mbele ya Maelfu ya wananchi Lissu amesema kwamba , maana halisi ya maridhiano ni kuhakikisha kwamba Makandokando ya awali yaliyotokana na utawala wa kikatili wa awamu ya 5 yanaondolewa na kuanza ukurasa mpya.

Bali anashangazwa na kitendo cha washirika wa makandokando hayo kuendelea kupewa vyeo tena katikati ya naridhiano , Amemtaja IGP Camillius Wambura kama mpishi mkuu wa kesi zote za uongo zilizomkabili yeye mwenyewe , ambazo zimetupiliwa mbali mahakamani , anadai hakuna asiyejua upishi wa kesi za uongo wa Wambura , lakini aliteuliwa IGP

Tundu Lissu amefunguka kwamba Byakanwa ndiye aliyeharibu miundo mbinu ya Shamba la Kisasa la Freeman Mbowe , baada ya hapo akala shavu na kuwa RC wa Mtwara , na sasa ameteuliwa Balozi .

Lissu Amemtaja Ramadhan Kingai kama Mhalifu aliyetunga kila uongo kwenye kesi ya Ugaidi wa uongo iliyomkabili Mbowe, hata baada ya kesi hiyo kutupiliwa mbali Kingai akapandishwa Cheo , Lissu amedai kwamba katika wahalifu wa awamu ya 5 ni Sabaya Pekee aliyejaribu kushughulikiwa.

Tundu Lissu amependekeza Maridhiano ni lazima kweli yazingatie kuondoa matatizo pamoja na walioyaleta .
Lissu ajue kesi zake zimetupwa kwa huruma tu sio kwamba hazikua kesi halali. Kwa tabia yake zitazaliwa kesi mpya sio muda. Yeye kwa akili yake mbaya hua anaamini yuko sahihi kwa kila jambo na wengine hawako sahihi kwa kila jambo.
 
Muda wa kampeni bado ewe kyma maji
Kwaiyo huu muda wa kuwafitini wateule?

Yaani Lissu na kujipambanua ni msomi lakini ajaelewa kwamba hao aliowataja walikuwa wanatekeleza majukumu ya wateule wao...

Wangekuwa wanafanya bila ya maelekezo wasingeteuliwa
 
Kama Lisu bado ana siasa za namna hii anafeli pakubwa sana,hizi siasa za lawama zimepitwa na wakati ,aseme atafanya nini tofauti na CCM ikiwa atakamata dola,aache porojo
Wakati wa kampeni kuna ya kusema, na wakati wa kuimarisha chama kuna ya kusema. Sasa Low IQ hawezi kuyatafakari haya, yaani mtu unawaza Lisu aongee kama yupo kwa kampeni?? Are you Thinking properly?
 
Wakati wa kampeni kuna ya kusema, na wakati wa kuimarisha chama kuna ya kusema. Sasa Low IQ hawezi kuyatafakari haya, yaani mtu unawaza Lisu aongee kama yupo kwa kampeni?? Are you Thinking properly?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chama cha mambusi
 
Lissu ajue kesi zake zimetupwa kwa huruma tu sio kwamba hazikua kesi halali. Kwa tabia yake zitazaliwa kesi mpya sio muda. Yeye kwa akili yake mbaya hua anaamini yuko sahihi kwa kila jambo na wengine hawako sahihi kwa kila jambo.
Wewe kwa akili yako mbovu unafikiri kesi zile zilikuwa halali?
 
Anachosahau wao walikuwa wanatii maagizo ya wakubwa wao, ukiwahukumu ni makosa
 
Back
Top Bottom