Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Mpangaji agoma kuhama baada ya mkataba kuisha. Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?

Ndinani

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2010
Posts
7,329
Reaction score
4,286
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
 
Wenye nyumba basi mjue hata hao wapangaji wanatafuta.

Yaani amelipa kodi, amelipa dalali, eti na hela ya mwezi mmoja ya security.

Mpe hela yake hiyo uliyokaa nayo ya security, huo mwezi mmoja aliokaa bure hesabia ni notice.

Hivi mkifa mtaondoka na hizo nyumba ? Muwe na imani pia.

Usifikirie sina nyumba za kupangisha, sawa eeh.
 
Wenye nyumba basi mjue hata hao wapangaji wanatafuta.

Yaani amelipa kodi, amelipa dalali, eti na hela ya mwezi mmoja ya security.

Mpe hela yake hiyo uliyokaa nayo ya security, huo mwezi mmoja aliokaa bure hesabia ni notice.

Hivi mkifa mtaondoka na hizo nyumba ? Muwe na imani pia.

Usifikirie sina nyumba za kupangisha, sawa eeh.
Kabla ya kuingia kwenye nyumba unaingia
mkataba. Kama huafiki basi huingii kwenye nyumba. Kwanini usign mkataba halafu mwisho unakiuka? Alikwisha pewa notice ya miezi mitatu! Uharibifu wa nyumba kwanini gharama Abebe mwenye nyumba? Kwanini afunge vyombo na kuondoka na funguo wakati yeye sio Lengai tenant?
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Unapangisha nyumba ya kuishi mkataba wa miezi sita, hiyo ni nyumba ya kuishi au ni AirBNB
Mkataba wa nyumba ni angalau mwaka mmoja na kuendelea....
hata hivyo nyumba iliyojengwa vizuri haiwezi kuhitaji ukarabani mkubwa wa kumhamisha mpangaji ndani ya mwaka mmoja? labda kama umepangisha wanafunzi wa chuo.
Nyumba huhitaji ukarabati mkubwa wa kumhamisha mpangaji angalau baada ya miaka 5 na kuendelea; karabati nyingine ndogo ndogo zinafanywa mpangaji akiwepo
Hebu acha kwanza kuwanyanyasa wapangaji ndio mambo mengine yaendelee!
 
Kwa hiyo ndani ya mwaka na nusu
Nyumba ni ya kurudiwa rangi?
Nyumba ni ya kufunga vitasa upya?
Mabomba yameshaharibika tayari?

Ungempatia deposit yake toka mwanzo wala msingefika hapo,

Halafu ulivyo na dharau, unamention eti”single mother mmoja” personality yake inaingiaje kwenye madai yenu?

Wacha akunyooshe kwanza.
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Mwaga mkojooo weka mavi kila asbh wewe atahana mwenyewe

Kama mikojo huna nijuze ukowapi nikuletee nauza
Unalipianna usafiri tu
 
Kuna mmoja alinisumbua sana kuhama alafu alikuwa na dharau kwamba siwezi mchomoa, huku shida kibao anazo ' single Maza'

Asee mpk mwenyekiti wa mtaa balozi kutoa vitu kwa nguvu!!

Mpk leo hvyo vyumba viwil kimoja stoo kingine nafugia bata!! Vitatu vipo tuu baada ya muda watoto wanavifanyia usafi!

Kupangishia hapana 🙏🙏🙏
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Achana nae huyo kapangiswa na kigogo
 
Wenye nyumba basi mjue hata hao wapangaji wanatafuta.

Yaani amelipa kodi, amelipa dalali, eti na hela ya mwezi mmoja ya security.

Mpe hela yake hiyo uliyokaa nayo ya security, huo mwezi mmoja aliokaa bure hesabia ni notice.

Hivi mkifa mtaondoka na hizo nyumba ? Muwe na imani pia.

Usifikirie sina nyumba za kupangisha, sawa eeh.
Ungekuwa landlord ungeelewa mapungufu ya wapangaji ; sio wote!!! Shida iko kwa wabangaizaji 🤷🏻‍♂️🤷🏻‍♂️
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Ondoa mabati mpangaji atakimbia mwenyewe.
 
Wana BODI naomba ushauri. Wapangaji wangu wote naingia nao mkataba wa miezi sita. Ambao ni renewable .

Katika mkataba kuna kipengele cha security deposit Sawa na kodi ya mwezi ambayo hutumika kutengeneza nyumba mkataba ukiisha.

Mpangaji wangu mmoja single mother mkataba wake ulikwisha mwezi January mwaka huu lakini amegoma kuhama akidai arudishiwe deposit yake ndio ahame kabla nyumba haijakaguliwa ; lakini amekwisha kaa hiyo nyumba mwaka mmoja na nusu na nyumba inahitajika matengenezo.

Amegoma kuondoka na sasa amefunga nyumba na kuacha vitu vyake ndani na kutoweka na funguo!

Ameisha kaa zaidi ya mwezi bila kulipa kodi na hata bill ya maji hajalipa! Nimekwenda serikali ya mtaa kutoa taarifa nao hawana msaada.

Nitumie mbinu gani kumtoa kwenye nyumba yangu?
Kama vipengele vyote hivyo vilikua kwenye mkataba na yeye akasaini basi yeye ndio mwenye makosa ila kama unataka utumie uungwana basi mrudishie hiyo pesa anayotaka ili uone ataleta kisingizio gani.
 
mimi nilishawahi panga chumba maeneo ya kinondoni...mkataba wangu ulisema nitavyohama nihakikishe chumba nikiache kama nilivyokikuta ...kwa vile hata mimi nilivoingia nilikuta chumba kipo safii.na mimi nilivyohama nikampigia rangi chumba chake kiroho safiii...ila hakuna hayo mambo sijui ya securty nn sijui
 
Unapangisha nyumba ya kuishi mkataba wa miezi sita, hiyo ni nyumba ya kuishi au ni AirBNB
Mkataba wa nyumba ni angalau mwaka mmoja na kuendelea....
hata hivyo nyumba iliyojengwa vizuri haiwezi kuhitaji ukarabani ndani ya mwaka mmoja labda kama umepangisha wanafunzi wa chuo.
Nyumba huhitaji ukarabati mkubwa wa kumuhamisha mpangaji angalau baada ya miaka 5, ukarabati nyingine ndogondogo zinafanywa mpangaji akiwepo
Hebu acha kuwanyanyasa wapangaji kwanza!
Nyu
Kama vipengele vyote hivyo vilikua kwenye mkataba na yeye akasaini basi yeye ndio mwenye makosa ila kama unataka utumie uungwana basi mrudishie hiyo pesa anayotaka ili uone ataleta kisingizio gani.
Hayo ndio mambo ya Kiswahili. Uungwana maana yake nini? Nyumba akisha toka mpangaji anayekuja anataka nyumba ipakwe rangi na masink ya jikoni na makabati yatengenezwe!! Sasa hizo gharama za matengenezo kwanini zibebwe na landlord wakati mpangaji ndiye aliyehusika?
 
mimi nilishawahi panga chumba maeneo ya kinondoni...mkataba wangu ulisema nitavyohama nihakikishe chumba nikiache kama nilivyokikuta ...kwa vile hata mimi nilivoingia nilikuta chumba kipo safii.na mimi nilivyohama nikampigia rangi chumba chake kiroho safiii...ila hakuna hayo mambo sijui ya securty nn sijui
Hapa hatuzungumzii chumba kimoja msela wangu!
 
Back
Top Bottom