uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Laki moja, maongezi yatakuwepo kwa conditions
Unaweza nisaidia picha PM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki moja, maongezi yatakuwepo kwa conditions
Mkuu samahani kama hutojali Naomba namba nikupigieUnaweza nisaidia picha PM?
Mkuu samahani kama hutojali Naomba namba nikupigie
Sawa japo mi naweza kukupa yangu tu kiongozi, mi ndo kwenye nyumba kwa hivyo kuwa tu na amaniNgoja nikirudi oficin nitakupa a local public number
ipo ulongoni a kwa mkurugenzi ni chumba master na sebule,maji yapoNahitaji chumba na seble ulongoni bajeti yangu 50,000/-
Ndo elfu hamsini?ipo ulongoni a kwa mkurugenzi ni chumba master na sebule,maji yapo
Nahitaji chumba na seble ulongoni bajeti yangu 50,000/-
mmh! sa we kwanini unahama hapo kaburi moja?Chumba kipo Gongo la Mboto Maeneo ya Kaburi Moja Mwisho wa Lami. Kina choo ndani,kioo ndani ya geti , kina madirisha ya vioo,tailiz, feni ya juu na usalama upo wa kutosha. Anayetaka aje nimpeleke bure na akikipenda atanirudishia kodi yangu yeye andelee kukaa. KODI NI ELFU 80 kwa mwezi hakuna udalali chumba ni changu nataka kuhama.View attachment 2687143
View attachment 2687144
View attachment 2687145
View attachment 2687146
Mkuu vipi mbona unanicheka!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu vipi mbona unanicheka!!
Mkuu umeshapata.? Kuna nyumba iko Chaniks Nyeiburu kwa gharama ya 200000/= .Malipo kuanzia miezi minne.Nahitaji nyumba vyumba viwili kimoja self, public toilet jiko na lounge eneo kuanzia gongo la mboto hadi chanika
Vipo mkuu...kweli chumba na sebule elfu 50
chanika zipo 3 kivule 1, mbagala 2Natafuta Nyumba ya kuinunua ambayo haijakamilika budget 10ml.
Orodhesha ipo wapi ili nichague!
Nimekuja inboxchanika zipo 3 kivule 1, mbagala 2
Chako kweli au unazinguaChumba kipo Gongo la Mboto Maeneo ya Kaburi Moja Mwisho wa Lami. Kina choo ndani,kioo ndani ya geti , kina madirisha ya vioo,tailiz, feni ya juu na usalama upo wa kutosha. Anayetaka aje nimpeleke bure na akikipenda atanirudishia kodi yangu yeye andelee kukaa. KODI NI ELFU 80 kwa mwezi hakuna udalali chumba ni changu nataka kuhama.
bei yake mkuu na picha tafadhariChumba kimoja kikali mombasa ukonga majumba sita banan
naomba nisaidie namba yako pm mkuuChumba kipo Gongo la Mboto Maeneo ya Kaburi Moja Mwisho wa Lami. Kina choo ndani,kioo ndani ya geti , kina madirisha ya vioo,tailiz, feni ya juu na usalama upo wa kutosha. Anayetaka aje nimpeleke bure na akikipenda atanirudishia kodi yangu yeye andelee kukaa. KODI NI ELFU 80 kwa mwezi hakuna udalali chumba ni changu nataka kuhama.