DOKEZO Mpangaji wangu kageuza Nyumba yangu kuwa kiwanda bubu cha kutengeneza vinywaji vikali feki kama Konyagi, K Vant nk

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ukipangisha nyumba hata kama ni room moja,hiyo nyumba inakuwa ya huyo mpangaji Kwa sababu amekulipa fedha ya Kodi,Sasa unapotaka kuingia Tena kwenye hiyo nyumba jinsi unavyotaka unakosea,Kwa sababu anaishi mtu mwingine hapo,nampongeza huyo mpangaji Kwa kuweka ulinzi wa kamera na askari getini,maana wenye nyumba wengine Hawana staha.
 
Ilibidi nicheke tu, Watanzania wengi ni waropokaji na ujuaji feki nakumbuka miaka hiyo radio free walikuwa na kipindi cha nani mkali sasa ukipiga simu lazima utaje nani anaepbaniswha nae.

Ndio kimejirudia ulichomuuliza jamaa amesema hata kidogo??
Kwamba hujasoma chochote alichoandika ukaamua ku comment tu?
 
Amesha kuwa kodi ya miaka miwili / tulizana!, Tunza mkataba wako na yeye, dunia haipo fair!, (usije tengeneza mazingira ya ukaishi huku unawindwa, waone jamaa wa double kick wata respond quickly, na huyo jamaa anaweza kupewa 30yrs To jail. / maisha haya!
 
pambana ukomboe nyumba yako mkuu!!
 
Mwambie awe anakupa asilimia 30 ya faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…