DOKEZO Mpangaji wangu kageuza Nyumba yangu kuwa kiwanda bubu cha kutengeneza vinywaji vikali feki kama Konyagi, K Vant nk

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama polisi Wanavuta ni ngumu kwake kukamatwa na sijui kama uhujumu uchumi wa hivyo nyumba hutaifishwaa

Mpangaji wa kunilipa kodi miaka miwili ningeimba Halleluya
Kwakweli,mi nikipata mpangaji wa hivyo akae tu, kwwnye mkataba ndio naweka vipengele vigumu kwamba hata ikitokea nyumba yangu haiingii hatiani
 
Yani hapo ni kutulia na kuchukua maamuzi sahihi. Kama itafaa Mpe miezi mitatu ya kuhama. Umwambie unarudi kuishi Dar.
Miezi iliyobaki umrudishie Pesa zake.

Halafu pia angalia upya Mkataba wako.

Mlikubaliana nini wakati anakuja kupanga Hadi kufikia hatua ya kuweka Camera.
 
Njoo pm mkuu
 
Atakimbiliaje polisi bila kuanza kureport kwa mjumbe na ofisi ya serikali yake kwanza kutoa taarifa
Hao watu wa mtaa ndiyo wanajukumu la kumuita/kuwaita wote wawili na kuwasikiliza
Polisi hiyo kwenda ni hatua nyingine kama wakishindwanda

We mleta uzi mtumishi wa umma gani hata procedure huzijui

Ova
 
Si ndo wale wale 😅

Notes ni kupoteza muda na pesa. Aende pm kuna ujumbe wa kumfaa hauhitaji gharama
 
Mjumbe ata haribu asiende polisi wala kw mtendaji mpangaji ata mfanyia visa
 
Kufanya hivyo utaokoa maisha ya wengi kwa kuponya figo zao na macho.
 
Mwite ongea naye kiume. Mrudishie pesa iliyobaki ahame. Kwenda polisi au kwa mjumbe utajizulia mengine. Zaidi, hata kama nyumba ni yako siyo ukurupuke tu na uruhusiwe kuingia. Kuwa mstaarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…