ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Mkuu Ushauri wangu nin,Kwanza Mpe Eviction Note kutoka kwa mwanasheria wak0 na uksiema kabisa kakiuka masharti ya mkataba kwa kutumia nyumba kinyume na mlivyokubaliana.Kwenye Notes Usigusie issue ya Vinywaji feki wala nini bali weka Clear kwamba nyumba ulimpangishia kwa makazi na yeye anatumia kwa biashara.
Baada ya Kumpa Eviction note akikutafuta Mwambie tu aondoke.Wala Usihangaike kutaka sound maana muda sio mrefu Hicho kiwanda kitakuwa ni chako na wewe ndio utakuwa mtuhumiwa namba moja
Baada ya Kumpa Eviction note akikutafuta Mwambie tu aondoke.Wala Usihangaike kutaka sound maana muda sio mrefu Hicho kiwanda kitakuwa ni chako na wewe ndio utakuwa mtuhumiwa namba moja