KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Aiseee
Hii story iende IDx
Hii story iende IDx
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuwa hastahili kunyongwa ila bunduki alienda kuficha za nn alipoona kaka yake amekamatwa na wasiojulikana ilitakiwa atoe taarifa polisiRahma na dereva bodaboda wameonewa,kupika chakula watu wanaoukuja nyumbani kwa kakaake sidhan kama wamehusika na mauaji,hata kama alificha silaha ni ktk hali ya kawaida ya kujihami,anahitaji mwanasheria mzuri,kuna watu wanastahili kunyongwa ila siyo rahma na dereva wa bodaboda,halafu hajasema hizo milion 58 zilitoks kwanani na zilienda kwa lengo gani ikiwa huyo mrundi alipewa milioni 20 na myu mwingine
Yap cheni ni ndefu ila hata hawa watu pia inaonekana wanajihusisha na biashara haramuMachips nani alimpa hizo pesa? mkuu hii cheni ni ndefu kwa wanaomfaham machips wataelewa. machips hawezi suka hiu kitu bila wakubwa nyuma yake. leonard Makoi je nae hakuwa anajuana "vizuri" na machips?
We nae lofa tu,kwani mauaji mengine hufuatiliagi kuona yeyote alohusika anadakwa hata muwe 100. Akili yako inaona mzungu tu,hata kesi ya bilionea msuya hukumbuki? Au nae alikua mzunguMzungu atakuwa kaondoka na wengi kama kweli hawa watu 11 watanyongwa. Ni jambo la ajabu sana ukifikiria roho ya Mzungu mmoja Kaburu ni sawa na roho za Waafrika 11 Wazawa au tuseme 12 pamoja na Karama. Hukumu ya ajabu sana hii.
Wanaotuma huondoa vithibitisho vinavyoweza kuwaelekea wao. (loose ends)Dah inamaana hawa jamaa walishindwa kusuka mipango wasikamatike? Au ilikuwaje?
Kwahiyo Mwenendo wa Upelelezi na kesi mahakamani mawakili walishindwa kubaini aliyemtuma Machips?Machips nani alimpa hizo pesa? mkuu hii cheni ni ndefu kwa wanaomfaham machips wataelewa. machips hawezi suka hiu kitu bila wakubwa nyuma yake. leonard Makoi je nae hakuwa anajuana "vizuri" na machips?
Je machips ana interest gan na mtasha ikiwa hakuna mtu nyuma yake. Mambo ni mengiMachips nani alimpa hizo pesa? mkuu hii cheni ni ndefu kwa wanaomfaham machips wataelewa. machips hawezi suka hiu kitu bila wakubwa nyuma yake. leonard Makoi je nae hakuwa anajuana "vizuri" na machips?
Hiyo inawezekana.Hao watu waliosome na kubobea kufanya uchunguzi hawawezi kutumiwa na majambazi ili kuondoa traces zote?
Kwa teknolojianya kibongo mi naona ni rahisi sana, na majambazi wengi tu wanaua na kudunda mtaani.
Sio rahisi wao kujua.Sasa watu wapo death row si wataje wahusika
Ama hawajulikani?
Kuna sehemu chain Imekatika sio ajabu Hawa wote kwenye death row hawamjui financier ambaye Ni MTU maarufu na mwenye pesa zake.Sasa watu wapo death row si wataje wahusika
Ama hawajulikani?
duuh, we na wewe ni kiboko, yaani watu wamethibitika mahakamani kufanya kosa la kuua mtu, unasema hukumu ya ajabu???!!!?????!!!!!?? eti tu kwa sababu tu aliyeuawa ni mzungu na waliouwa na kuthibitika mahakamani ni wamatumbi. Loooh!!! akili ni nywele kila mtu ana zakeMzungu atakuwa kaondoka na wengi kama kweli hawa watu 11 watanyongwa. Ni jambo la ajabu sana ukifikiria roho ya Mzungu mmoja Kaburu ni sawa na roho za Waafrika 11 Wazawa au tuseme 12 pamoja na Karama. Hukumu ya ajabu sana hii.
Alikuwa anafelisha michongo ya akina Rosti tamu na wale waliosemekana wazuri hawafiReason ya kumwua mwamba ni nini?
Financer anajulikana ni miongoni mwa wale viongozi wazuri waliotajwa na kile kibabu flani cha usambaani. Thus why hagusikiKuna sehemu chain Imekatika sio ajabu Hawa wote kwenye death row hawamjui financier ambaye Ni MTU maarufu na mwenye pesa zake.
All in all, hata yeye siku si nyingi atakufa. Trust KARMA.