Mpango mauaji ya Wayne Derek Lotter ulivyosukwa na kutekelezwa jijini Dar

Kuna watu walisomea na kubobea kufanya uchunguzi.

Huezi fanya mauaji watu wasikukamate. Lazima utaacha trace ambayo ndo itasababisha wewe kukamatwa.

Labda uue mbuzi wa jirani yako.
kuna watu wanafanya uhalifu,hata FBI,wanachemka,mgoogle,Curl gursian,The friday night bank robber...ni kuwa smart tu kupangilia mambo,na uwe peke yako tu.
 
Kuna watu walisomea na kubobea kufanya uchunguzi.

Huezi fanya mauaji watu wasikukamate. Lazima utaacha trace ambayo ndo itasababisha wewe kukamatwa.

Labda uue mbuzi wa jirani yako.

Trace moja tu ikipatikana ambayo mara nyingi ni simu, utawapata wote, na baada ta hapo ni mwendo wa Kipondo tu mtaeleza mpaka mlipoenda uwani
 
Maelezo haya ya onyo yalimpasa Jaji kutumia weledi wake kutanzua hizi mbinu za polisi kutunga kesi kupitia maelezo aina hii.

Nikikumbuka ya kina Adamoo ninadisqualify 90% ya maelezo ya washtakiwa wakiwa vituo vya polisi

Huyo Mchina ilishindikana nini kutumia Interpol kumkamata?

Karama kwa nini hakuwepo mahakamani? Hakuna maelezo kama alikwepa viunzi vya polisi au kafa
 
Kuna umuhimu kweli wa kuua MTU ili upate pesa?
Sidhani, hata ujangili unaweza kufanyika bila kupoteza uhai wa MTU.
 
Mzungu atakuwa kaondoka na wengi kama kweli hawa watu 11 watanyongwa. Ni jambo la ajabu sana ukifikiria roho ya Mzungu mmoja Kaburu ni sawa na roho za Waafrika 11 Wazawa au tuseme 12 pamoja na Karama. Hukumu ya ajabu sana hii.
Hapo muuaji ni mmoja au wawili Tu. Wengine wanashtakiwa kwa kusaidia mauaji kufanyika. Iweje wapewe adhabu ya kunyongwa? Hebu wasomi tusaidieni Sisi tulio mbumbumbu wa sheria.
 
Hilo dau vijana wengi tu wangeingia tamaa ya kumuua mzungu.

Uchunguzi wetu upo shallow mno,hiyo 58M ilianzia kwa Machips tu au kuna chain zaidi ya hapo?

Machips ana athirikaje na harakati za Lotter hadi afadhili mauaji yake?
 
Lazima kuna mtu mzito ambaye ndo mpango wake huu ambaye ndo alitoa pesa na kumuajiri Karama kama.mtu wa kuratibu mpango
 
Kuna watu walisomea na kubobea kufanya uchunguzi.

Huezi fanya mauaji watu wasikukamate. Lazima utaacha trace ambayo ndo itasababisha wewe kukamatwa.

Labda uue mbuzi wa jirani yako.
Labda wafanye wenyewe ndo hawatajikamata ila watu wengine lazima tu utadakwa kwenye maelezo.

Pia kwenye hii kesi wamedakwa sababu uharifu ulihusisha watu wengi sana.
 
Hao watu waliosome na kubobea kufanya uchunguzi hawawezi kutumiwa na majambazi ili kuondoa traces zote?
Kwa teknolojianya kibongo mi naona ni rahisi sana, na majambazi wengi tu wanaua na kudunda mtaani.
Utahonga watu wote kweli?
 
Usije jaribu ficha silaha ya uharifu afu useme hujahusika
 
Mzungu atakuwa kaondoka na wengi kama kweli hawa watu 11 watanyongwa. Ni jambo la ajabu sana ukifikiria roho ya Mzungu mmoja Kaburu ni sawa na roho za Waafrika 11 Wazawa au tuseme 12 pamoja na Karama. Hukumu ya ajabu sana hii.
Acha ubaguzi
 
Yap cheni ni ndefu ila hata hawa watu pia inaonekana wanajihusisha na biashara haramu
Haiwezekani ushirikishwe tu kwenye mauaji kama haujiusishi na mambo hizo
Huwezi husishwa kwenye dili la ujambazi au uharifu kama sio mharifu wa kuaminika
 
Kuna watu walisomea na kubobea kufanya uchunguzi.

Huezi fanya mauaji watu wasikukamate. Lazima utaacha trace ambayo ndo itasababisha wewe kukamatwa.

Labda uue mbuzi wa jirani yako.
Tatizo simu na mipango yenye kushirikisha watu wengi ....simu zinawakamatisha wengi ....ndiyo maana watu wahuni wamefuta kumbukumbu za simu baadhi kwenye siku za kufa kwa JPM hapo katikati kabla na baada ya kifo kumbukumbu zimepotezwa
 
Kwahiyo Mwenendo wa Upelelezi na kesi mahakamani mawakili walishindwa kubaini aliyemtuma Machips?
Waliomtuma hawajatajwa na watuhumiwa. Na sababu ni usalama wao na familia zao. Na pia watumaji huwa hawataki husika moja kwa moja
 
swala la ujangiri ni mtambuka,mdogo wake Rost pamoja na yule mbunge wa Shy walihusishwa na ujangiri mambo yalizimwa kiaina,mambo haya huwa kuna wakubwa nyuma yake,na utawala huu ndo utawala wa ujangiri wa kuvuna pembe za ndovu.
SA1000 siyo binadamu ni jini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…