Mtu mweusi atabaki kuwa mweusi tuuu.
Maendeleo labda mpaka mwaka 30,000 !
Wee Mkaruka wacha habari zako za Kiruri hizo! Ndiyo atabaki kuwa mwafrica tu japo kuna wapemba Waarabu hao wana damu ya ki-Africa km hujui! kwa sababu:
Anaishi Africa
Hajaomba hata kipande cha Ardhi ya wazungu. wao ndo wanajipendekeza kwetu.
Mweusi Ana Melanini za kutosha zaidi ya hao weupe unao tamani.
hata ukiwatamani hawata acha, kuku bagua na kukuita Nyani.
Wana Neanderthal chromosomes DNA nyingi kuliko weusi.
Wao wana shabihiana na nyani zaidi kuliko mwafrica kwa vitu km hivo hapo juu,ukichanganya na fish lips zao. , Monkey's light fur,ukilinganisha na nywele zao..
Mwafrica yuko juu sana katika hali ambayo kama huna Darasa la kutosha utahangaika sana Duniani humu, ndo maana mweusi anachukiwa na weupe wote Duniani bila sababu, na
wenye akili zao km Rais
mstaaf Obama waligundua hayo kitambo sana, wakajiolea wake wa kiafrica ili kizazi kiendelee huku kwa weusi kinyume na weupe.
Ukiudharau uafrica kama ulienda shule hapo ni ELimu inakutumia wewe kujikimu, siyo wewe unatumia Elimu kumudu mazingira yako bado hujasoma ukaelewa!
Nani kakufundisha kuwa sisi weusi ni Maskini? Maghorofa yooote hayo? Migari yoote hiyo, Ardhi bwereer! huko kwenu Bwai kwitururu ardhi nzuri kwa kila aina ya uzalishaji mifugo, Majita huko,ziwa mnalo mnaweza kula furu tu na mkaishi vizuri,
Usipimie ukijani wa Ulaya na kuuleta Majita au Mugango, unaweza pafanya hivo ukitaka
Hhata km huna macho mkariri tu jiwe anavo simama jukwaani na kuuunadi utajiri wa Africa. wewe unadhani anaropokaropoka tu?