Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi ndugu yetu.Hivi ndani ya taulo la dangote alivaa kitu. Au alikuwa ametoka kujipatia utamu?
Hao wanawake wanataka kumblackmail bilionea dangote awape hela.
Ila k haijawahi kumuacha mtu salama, kwani nasema uongo ndugu zangu?
UmeuaaaaHuyo dada mpuuzeni ndivyo alivyo, hata mimi pia aliwahi kunipakazia kuwa nimemla kichuri kipindi kile nina pesa za urithi.
Mungu alisema hakuna atakaye mfika Kwa utajiri na mpaka leo hata dalili hakuna huyu alikula maishaaaa wake 700 Yan bao zote hzo khaa bado masuria wa kuokota okotaTurejee kwa billionaire wa ulimwengu Suleiman,wake mia saba na Masuria mia tatu,pisi kali za kiyebusi,kihivi,kiaamori na kikaanan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolNa pesa zote akachukua wadada wa Buza ya Marekani.
Huyo Dada mwaka mpya nilifumaniwa nae pale lamada hotel
[emoji16][emoji16][emoji16] wanatafuta kumsafisha hasafishikiView attachment 1666182kazi ipo!!
Wewe ndo mwenye huyo Dada kaka?Lamada ipi?