Mpango wa kando wa zamani wa Aliko Dangote waweka mambo hadharani; kimada wa sasa akanusha

Mpango wa kando wa zamani wa Aliko Dangote waweka mambo hadharani; kimada wa sasa akanusha

20210103_061711.jpg
kazi ipo!!
 
Hivi ndani ya taulo la dangote alivaa kitu. Au alikuwa ametoka kujipatia utamu?


Hao wanawake wanataka kumblackmail bilionea dangote awape hela.




Ila k haijawahi kumuacha mtu salama, kwani nasema uongo ndugu zangu?
Uko sahihi ndugu yetu.
 
Turejee kwa billionaire wa ulimwengu Suleiman,wake mia saba na Masuria mia tatu,pisi kali za kiyebusi,kihivi,kiaamori na kikaanan.
Mungu alisema hakuna atakaye mfika Kwa utajiri na mpaka leo hata dalili hakuna huyu alikula maishaaaa wake 700 Yan bao zote hzo khaa bado masuria wa kuokota okota
 
Dunia tamu wallah lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo Dada mwaka mpya nilifumaniwa nae pale lamada hotel
 
Jaribu kubwa la mtu tajiri ni ZINAA, UASHERATI, UZINZI!

Wale wezangu na mie wanaotafuta pesa kwa nguvu,,,,,waombe MUNGU sana zinaa iwaepuke siku wakifanikiwa kukamata hizo PESA. Hii ina-apply hadi kwa wanawake wanaofanikiwa kuwa matajiri. MUNGU aturehemu kwakweli
 
Hadi dangote anapenda big tits[emoji28][emoji28]
 
I don't know why some women do kisses and tell.

Hayo Mambo ni ya Chumbani, kulikuwa na ulazima gani wa kuyaweka hadharani? Wanataka tuachike na ndoa zetu ili tuwaoe wao nini??👎👎👎
 
Back
Top Bottom