Mpango wa kando wa zamani wa Aliko Dangote waweka mambo hadharani; kimada wa sasa akanusha

Na pesa zote akachukua wadada wa Buza ya Marekani.

Hao ni wa buza ya marekani ??? Mtu anayemiriki mgahawa wenye thamani ya dollar laki tano (Tsh.118,000,00) bado unamuita wa buza ?? [emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu itakuwa haukua serious
 
Wote wawili ni M*A*L*A*Y*A Hawana faragha.
Umalaya ni relative term, culturally relative.

Ndiyo maana dini nyingine zinaruhusu wake wanne, nyingine mmoja, tamaduni nyingine haziweki idadi, wengine wanaruhusu masuria etc.

Kwa hiyo kabla hujajadiliana nao kujua wamesimamia wapi, unaweza kumuita mtu malaya, kumbe kapata mpaka ruhusa ya mkewe kujinafasi.
 
Uswahili!

Oooh sawa mkuu.! Hapo sikubishii, ila mie naona tu wengi wa mademu wa siku hizi (sio wote) wako after fame and Money...! So hata wewe huenda [emoji12] ukija kuachwa utakuja kuweka Fb au Insta unawalipa wachambaji wamchambe Bwashee
 
Dangote Dangote Dangote nimekuita mara tatu ,Achana na Vichenchede vitakuua!! Tafuta wazee wenzako waliochangamka!!
 
Mwambie na ww mkuu
Mi nlimwambia mapema hakunisikia
Shaur yake hawachelewi kumtanguliza mbere

Dangote Dangote Dangote I called you three times,leave Young Girls aside,They will kill you,Find good old woman of your age!!
 
Mungu alisema hakuna atakaye mfika Kwa utajiri na mpaka leo hata dalili hakuna huyu alikula maishaaaa wake 700 Yan bao zote hzo khaa bado masuria wa kuokota okota
Aaangalie sana vibinti kama hivi vinakusukuma hotelini unaangukia kisogo R.I.P Mengi
 
umbeya tu
 
ongezea nyama nyama mkuu kuna ukweli mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…