Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

Mpango wa kum-'demonise' Magufuli umeshindwa bila hata ya kuanza, watu wanazidi kumpenda

watz sio mbulura,uje na porojo zako kumchafua jpm aise watakuona chiz ulieshindikana,na ndio maana juz SSH akaamua kumjibu Yule askofu kilaza ,akaenda chato kuweka mashada kwa mzalendo na 2,baada ya nyerere jpm.nadhani mama alifanya vyema kumjibu Yule askofu tumbo njaa.
Kwani Magu alikuacha na mimba ya miezi mingapi?
 
Kwa kweli Nchi bila Magufuli iko vizuri sana. Hakuna anayeshikwa kwa maoni, hakuna mwenye wasiwasi kutekwa na WASIOJULIKANA, wafanyabiashara wanaendelea na biashara bila task force.

Mazuri mengi yanakuja, ila Mama Samia anaupiga mwingi. Kama hutaki njoo niue niko Ubungo Maziwa
Wala hata thamani ya magufuli kwa maendeleo ya nchi huwezi kuelewa. Unafikiri tu ulivyobanwa kuuza gongo.
 
Nitajie jina na mahali anapotoka hata mmoja kati ya wale waliokutwa kwenye viroba.
Tatizo mnakariri kila nyimbo km kasuku!
Umempa challenge nzuri. Maana wanapokea uongo na kuurudirudia kama kasuku. Hakuna hata jina moja linatajwa kwenye viroba wanavyodai vimeokotwa baharini.
 
😀😀
Umepanic, Ukweli mchungu, umeumia sana sana lakini ukweli lazima usemwe, Sukuma GANG mnastahili kuzikwa mkiwa hai.
Hakuna kitu Kama Sukuma gang ...it is a myth...wewe na wenzio ndio mmepanick Tena Sana..wewe fikiria mtu mmoja mjinga na mpumbavu baada ya kifo Cha Magufuli alitamka hadharani Tena bila aibu kuwa eti wakati wa JPM kabila Hilo la kaskazini mwa nchi yetu lilikuwa linabaguliwa kwa kutopewa teuzi mbalimbali...can you imagine? Eti walikuwa hawapati teuzi...dah...nchi hiii in makabila karibu 120 sasa fikiria kama Kila kabila litaanza kuhoji kuhusu teuzi...yaani wamwera waanze kuhoji, wapare nao wahoji, sijui watindiga nao wahoji, nao watindiga wahoji, waha wahoji, wamakonde wahoji, wayao, wamakua, wanyakyusa, wabarbag warangi na makabila mengine yote yaanze kuhoji kuhusu teuzi...duh...huu ndio upumbavu na ujinga...sasa hivi karibu makabila yote Yana wasomi na ni tofauti kabisa na wakati wa enzi za ukoloni na miaka iliyofuatia baada ya Uhuru wakati ni maeneo machache tu ya nchi yalinufaika kimfumo katika elimu na miundombinu...siku hizi sekondari zipo Kila kata kwa hiyo wasomi wapo Kila maeneo ya nchi yetu na ambao wanaweza kupata teuzi ...
Mimi nawashangaa hao watu wa kabila Hilo kwa kuanza kuwasema eti kinachoitwa Sukuma gang...wakumbuke tu kwa sasa wasukuma wako Kati ya milioni 12 na 15 nchi nzima...ndio kabila kubwa Tanzania ..ni kabila ambalo ni la watu wapole na wacheshi..hawana ubaguzi wowote ule...wako Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, kagera, Tabora, Mara, Singida, maeneo ya Songwe, iringa, Mbeya mpaka Rukwa...it is a very big tribe, very big indeed...wangekuwa ni watu wa kujisikia tungepata tasbu Sana nchi hii...sasa mijitu mingine mijinga inaanza kuoiga ngoma za kibaguzi dhidi ya wasukuma ...it is a big mistake...sisi wengine tunaoifahamu nchi hii na historia yake lazima tulikemee hili kwa nguvu zote...
 
Hakuna kitu Kama Sukuma gang ...it is a myth...wewe na wenzio ndio mmepanick Tena Sana..wewe fikiria mtu mmoja mjinga na mpumbavu baada ya kifo Cha Magufuli alitamka hadharani Tena bila aibu kuwa eti wakati wa JPM kabila Hilo la kaskazini mwa nchi yetu lilikuwa linabaguliwa kwa kutopewa teuzi mbalimbali...can you imagine? Eti walikuwa hawapati teuzi...dah...nchi hiii in makabila karibu 120 sasa fikiria kama Kila kabila litaanza kuhoji kuhusu teuzi...yaani wamwera waanze kuhoji, wapare nao wahoji, sijui watindiga nao wahoji, nao watindiga wahoji, waha wahoji, wamakonde wahoji, wayao, wamakua, wanyakyusa, wabarbag warangi na makabila mengine yote yaanze kuhoji kuhusu teuzi...duh...huu ndio upumbavu na ujinga...sasa hivi karibu makabila yote Yana wasomi na ni tofauti kabisa na wakati wa enzi za ukoloni na miaka iliyofuatia baada ya Uhuru wakati ni maeneo machache tu ya nchi yalinufaika kimfumo katika elimu na miundombinu...siku hizi sekondari zipo Kila kata kwa hiyo wasomi wapo Kila maeneo ya nchi yetu na ambao wanaweza kupata teuzi ...
Mimi nawashangaa hao watu wa kabila Hilo kwa kuanza kuwasema eti kinachoitwa Sukuma gang...wakumbuke tu kwa sasa wasukuma wako Kati ya milioni 12 na 15 nchi nzima...ndio kabila kubwa Tanzania ..ni kabila ambalo ni la watu wapole na wacheshi..hawana ubaguzi wowote ule...wako Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, kagera, Tabora, Mara, Singida, maeneo ya Songwe, iringa, Mbeya mpaka Rukwa...it is a very big tribe, very big indeed...wangekuwa ni watu wa kujisikia tungepata tasbu Sana nchi hii...sasa mijitu mingine mijinga inaanza kuoiga ngoma za kibaguzi dhidi ya wasukuma ...it is a big mistake...sisi wengine tunaoifahamu nchi hii na historia yake lazima tulikemee hili kwa nguvu zote...
Uko sahihi, hata hivyo, sidhani kama watu walikuwa wanahoji kwanini kabila lao halipati uteuzi. Hoja ilikuwa ni kwanini asilimia kubwa ya uteuzi wa nafasi za juu ni kabila fulani tu! Hapa ndipo mzizi wa fitina ulipoanzia. Haiwezekani nchi yenye makabila 120 halafu asilimia 50 ya wateule wa juu watoke kabila moja tu, ni wazi tutakuwa tunatengeneza ukabila indirectly. Otherwise, sio jambo zuri kuhoji kwanini kabila fulani haliteiliwi, nchi ina makabila mengi sana hii, kila kabila likihoji tutaliharibu Taifa kikiwa bado changa. Hata hata hivyo ni lazima teule ziakisi utaifa na sio ukabila.
 
Hakuna kitu Kama Sukuma gang ...it is a myth...wewe na wenzio ndio mmepanick Tena Sana..wewe fikiria mtu mmoja mjinga na mpumbavu baada ya kifo Cha Magufuli alitamka hadharani Tena bila aibu kuwa eti wakati wa JPM kabila Hilo la kaskazini mwa nchi yetu lilikuwa linabaguliwa kwa kutopewa teuzi mbalimbali...can you imagine? Eti walikuwa hawapati teuzi...dah...nchi hiii in makabila karibu 120 sasa fikiria kama Kila kabila litaanza kuhoji kuhusu teuzi...yaani wamwera waanze kuhoji, wapare nao wahoji, sijui watindiga nao wahoji, nao watindiga wahoji, waha wahoji, wamakonde wahoji, wayao, wamakua, wanyakyusa, wabarbag warangi na makabila mengine yote yaanze kuhoji kuhusu teuzi...duh...huu ndio upumbavu na ujinga...sasa hivi karibu makabila yote Yana wasomi na ni tofauti kabisa na wakati wa enzi za ukoloni na miaka iliyofuatia baada ya Uhuru wakati ni maeneo machache tu ya nchi yalinufaika kimfumo katika elimu na miundombinu...siku hizi sekondari zipo Kila kata kwa hiyo wasomi wapo Kila maeneo ya nchi yetu na ambao wanaweza kupata teuzi ...
Mimi nawashangaa hao watu wa kabila Hilo kwa kuanza kuwasema eti kinachoitwa Sukuma gang...wakumbuke tu kwa sasa wasukuma wako Kati ya milioni 12 na 15 nchi nzima...ndio kabila kubwa Tanzania ..ni kabila ambalo ni la watu wapole na wacheshi..hawana ubaguzi wowote ule...wako Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, kagera, Tabora, Mara, Singida, maeneo ya Songwe, iringa, Mbeya mpaka Rukwa...it is a very big tribe, very big indeed...wangekuwa ni watu wa kujisikia tungepata tasbu Sana nchi hii...sasa mijitu mingine mijinga inaanza kuoiga ngoma za kibaguzi dhidi ya wasukuma ...it is a big mistake...sisi wengine tunaoifahamu nchi hii na historia yake lazima tulikemee hili kwa nguvu zote...
Akili yako haina akili, wewe mfuasi wa Chama maiti, kwani uongo,
Mbowe alikua sahihi, Magufuli alikua mbaguzi , mnyang’anyi , mtesaji na muuaji mkubwa. Unatetea ubaguzi na Ukabila wa Magufuli kwa kumpa Mbowe kesi ya UGAIDI, Kweli..!
 
Akili yako haina akili, wewe mfuasi wa Chama maiti, kwani uongo,
Mbowe alikua sahihi, Magufuli alikua mbaguzi , mnyang’anyi , mtesaji na muuaji mkubwa. Unatetea ubaguzi na Ukabila wa Magufuli kwa kumpa Mbowe kesi ya UGAIDI, Kweli..!
Duh...aisee...nyie watu ni tatizo kwa fikra hizo...ni tatizo kubwa mno..duh..mlinyang'anywa Nini? Mlitseswa lini? Ni Nani aliteswa? Orodhesha happy ubaguzi wa JPM...yaani wewe unaona sahihi huyo sijui Nani kutamka hadharani kuwa eti kabila Fulani linabaguliwa? Hivi kweli wakati wa JPM watj was kabila Fulani hawakupewa teuzi?! Tuwaorodheshe hapa? Cheap and stupid thinking...mtu huyo amewahi kugombea urais Mara kadhaa..fikiria Kama angepata urais...nakumbuka mwaka 1995 watu Fulani walianza kugawana vyeo hata uchaguzi haujafanyika...lakini tunashukuru mtu wao hakupata urais..katika nchi hii makabila you're ni sawa...hakuna ubaguzi...ila Kama wewe ni mkwepa Kodi na fisadi hatutajaki Kama wewe ni dini gani au kabila gani...utashughulikiwa tu...ukijimilikisha nyunba ya NHC miaka 100 na hulipi Kodi utashughulikiwa tu bill kujali wewe ni dini au kabila gani...
 
Hakuna kitu Kama Sukuma gang ...it is a myth...wewe na wenzio ndio mmepanick Tena Sana..wewe fikiria mtu mmoja mjinga na mpumbavu baada ya kifo Cha Magufuli alitamka hadharani Tena bila aibu kuwa eti wakati wa JPM kabila Hilo la kaskazini mwa nchi yetu lilikuwa linabaguliwa kwa kutopewa teuzi mbalimbali...can you imagine? Eti walikuwa hawapati teuzi...dah...nchi hiii in makabila karibu 120 sasa fikiria kama Kila kabila litaanza kuhoji kuhusu teuzi...yaani wamwera waanze kuhoji, wapare nao wahoji, sijui watindiga nao wahoji, nao watindiga wahoji, waha wahoji, wamakonde wahoji, wayao, wamakua, wanyakyusa, wabarbag warangi na makabila mengine yote yaanze kuhoji kuhusu teuzi...duh...huu ndio upumbavu na ujinga...sasa hivi karibu makabila yote Yana wasomi na ni tofauti kabisa na wakati wa enzi za ukoloni na miaka iliyofuatia baada ya Uhuru wakati ni maeneo machache tu ya nchi yalinufaika kimfumo katika elimu na miundombinu...siku hizi sekondari zipo Kila kata kwa hiyo wasomi wapo Kila maeneo ya nchi yetu na ambao wanaweza kupata teuzi ...
Mimi nawashangaa hao watu wa kabila Hilo kwa kuanza kuwasema eti kinachoitwa Sukuma gang...wakumbuke tu kwa sasa wasukuma wako Kati ya milioni 12 na 15 nchi nzima...ndio kabila kubwa Tanzania ..ni kabila ambalo ni la watu wapole na wacheshi..hawana ubaguzi wowote ule...wako Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita, kagera, Tabora, Mara, Singida, maeneo ya Songwe, iringa, Mbeya mpaka Rukwa...it is a very big tribe, very big indeed...wangekuwa ni watu wa kujisikia tungepata tasbu Sana nchi hii...sasa mijitu mingine mijinga inaanza kuoiga ngoma za kibaguzi dhidi ya wasukuma ...it is a big mistake...sisi wengine tunaoifahamu nchi hii na historia yake lazima tulikemee hili kwa nguvu zote...
Wewe ulienda shule kujifunza ujinga?

Wewe ni msukuma?
 
Unampenda wewe na ukoo wenu.

Jana nimezunguka sehemu mbali mbali utadhani ilikuwa sio sikukuu ,sijasikia harufu ya pilau wala sijaona mishemishe za watu mitaani au baa kuwa na watu.....Jamaa yenu kaua uchumi sana na angeendelea ingekua worse zaidi!
 
Ukweli mgumu ni kua kuwe na mpango au kusiwepo na mpango wowote ule kibaiolojia ,kitaalam kabisa UKIFA UMEKUFA HURUDI TENAA ,
 
Duh...aisee...nyie watu ni tatizo kwa fikra hizo...ni tatizo kubwa mno..duh..mlinyang'anywa Nini? Mlitseswa lini? Ni Nani aliteswa? Orodhesha happy ubaguzi wa JPM...yaani wewe unaona sahihi huyo sijui Nani kutamka hadharani kuwa eti kabila Fulani linabaguliwa? Hivi kweli wakati wa JPM watj was kabila Fulani hawakupewa teuzi?! Tuwaorodheshe hapa? Cheap and stupid thinking...mtu huyo amewahi kugombea urais Mara kadhaa..fikiria Kama angepata urais...nakumbuka mwaka 1995 watu Fulani walianza kugawana vyeo hata uchaguzi haujafanyika...lakini tunashukuru mtu wao hakupata urais..katika nchi hii makabila you're ni sawa...hakuna ubaguzi...ila Kama wewe ni mkwepa Kodi na fisadi hatutajaki Kama wewe ni dini gani au kabila gani...utashughulikiwa tu...ukijimilikisha nyunba ya NHC miaka 100 na hulipi Kodi utashughulikiwa tu bill kujali wewe ni dini au kabila gani...
Akili yako haina akili.. baki na ujinga wako.
 
Back
Top Bottom