SoC04 Mpango wa miaka 25 wa kubadilisha Tanzania kutoka nchi maskini zaidi hadi nchi iliyoendelea kwa kuchukua mifano kutoka Korea Kusini

SoC04 Mpango wa miaka 25 wa kubadilisha Tanzania kutoka nchi maskini zaidi hadi nchi iliyoendelea kwa kuchukua mifano kutoka Korea Kusini

Tanzania Tuitakayo competition threads

Professor Aaron Jackson

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2024
Posts
224
Reaction score
241
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Miaka ya 1950, Korea Kusini ilikuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani ikitegemea sana kilimo na haikuwa na misingi thabiti ya viwanda. Licha ya changamoto hizi, Korea Kusini iliweza kujijenga kutoka chini na kuibuka kama taifa lenye mafanikio. Kama Korea Kusini iliweza, Kwanini Sisi Tushindwe? Sisi pia tunaweza.

Je, Tanzania ifanye nini ili kutoka katika kundi la nchi duni mpaka kuwa nchi iliyoendelea?
Kwanza kabisa ni uwekezaji katika elimu na rasilimali watu. Kundi la wafanyakazi waliosoma vizuri na wenye ujuzi ni muhimu kwa ukuaji wa viwanda. Tanzania inapaswa kurekebisha mfumo wake wa elimu ufundishwe kwa kiingereza kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu, ili kuongeza ushindani wetu kimataifa. Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wanaotafuta Ufadhili wa kusoma shahada ya uzamili nje, nimegundua kuwa wanafunzi wengi wa kutoka Tanzania tunakosa fursa hizo sababu ya kufeli mitihani ya kiingereza kama IELTS, ukilinganisha na wenzetu Kenya ambao Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia. Aidha serikali inatakiwa kubuni ufadhili wake “Tanzanian Government Scholarship” ambao utaruhusu wanafunzi wa nchi za nje kuja kusoma nchini. Na wakifika hapa ni lazima wasome Kiswahili(for beginners) kama sehemu ya masomo yao.Hii itasaida sana kuitangaza sio tu elimu yetu bali hata Kiswahili ulimwenguni. Wakati Kiswahili kinapaswa kudumishwa kama lugha ya taifa, kiingereza kinapaswa kuwa lugha ya kufundishia.

Elimu ya sekondari inatakiwa kuhusishwa karibu na viwanda. Wanafunzi wanapaswa kushiriki katika mafunzo ya vitendo wakiwa bado shuleni ili kuhakikisha wanakuwa na ajira mara tu wanapohitimu. Somo la ujasiriamali ni lazima lifundishwe kuanzia sekondari tena kwa vitendo. Hii itasaidia sana hata kwa wale watakaofeli kuwa na ujuzi wa kujiajiri. Mfumo wa Elimu unapaswa kuwa wa ushindani, kipaumbele kikiwa ni ubora juu ya wingi hasa katika udahili wa vyuo vikuu. Ubora utavipa vyuo vyetu hadhi kimataifa (Kwenye QS university world rankings).

Elimu na Vitendo.jpg

Chanzo: Remix AI

Pili, serikali ya Tanzania inapaswa kutiliza mkazo uanzishwaji wa mazingira rafiki ya biashara yanayochochea ukuaji wa soko la ndani na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Mazingira rafiki yanajumuisha urahisi wa kufanya biashara, uwepo wa umeme, upatikanaji wa mikopo, taratibu bora za biashara pamoja na kodi nafuu. Billionea Dangote alisema "Tanzania inabidi kutengeza sera nzuri Ili kuvutia wawekezaji wengi Zaidi". Pia utafiti unaonyesha kuwa makampuni makubwa kama Nike yanashindwa kuwekeza kwenye Nchi za kimaskini kama Tanzania Kwa sababu ya kodi kandamizi. Kwa kuiga mfano wa Korea Kusini, taifa ambalo linang’ara katika kuwezesha kuanzishwa kwa biashara kwa kiwango cha kimataifa, Tanzania inaweza kufaidika sana kwa kuboresha mazingira yake ya biashara ili kuvutia wawekezaji mbalimbali.


View: https://youtu.be/AAOs8EXq-qw?si=7-I-upNndk2ClNub
Tatu, ni muhimu serikali ya Tanzania kuendeleza teknolojia na kukuza ubunifu. Tanzania ina vijana wabunifu wengi Ila wameshindwa kushikwa mkono. Ubunifu na teknolojia vina jukumu muhimu katika kuinua nchi kutoka hadhi ya maendeleo duni hadi kuwa nchi iliyoendelea. Tanzania inapaswa kukumbatia mfumo thabiti wa Utafiti na Maendeleo (R&D), hasa katika teknolojia za viwanda. Ili kukuza ubunifu kwa ufanisi, ni muhimu kutambua kwamba ubunifu wenye mafanikio huimarika kupitia juhudi za pamoja kati ya vyuo vikuu, serikali na sekta binafsi. Aidha, teknolojia inajitokeza kama kipengele muhimu kitakachoweiwezesha Tanzania kupanda juu kwenye mnyororo wa thamani na kuongeza tija. Yote hayo yatawezekana kama Tanzania ikiwa na wizara maalumu ya sayansi, ubunifu na Teknolojia. Wizara hii itajikita kuwapa vipaumbele vijana wabunifu, kuongoza tafiti na kuendana na kasi ya Teknolojia ya Dunia (Robotics, Industrial 4.0 & artificial intelligence ).


View: https://youtube.com/watch?v=t3U5mcUfnso&si=I2g_OirBB7rP5UEA


View: https://youtu.be/3tJ7HLY-oe0?si=EN3wI9gky2IrpvN9
Serikali inapaswa kuunda sera ya kuhimiza viwanda vinavyolenga mauzo ya nje (export-oriented industrialization). Sera hii inatakiwa kulenga kuboresha ufanisi na ubora wa bidhaa za ndani Ili ziweze kushindana kimataifa. Kwa mkakati huu, kampuni za ndani zitabuni teknolojia mpya. Sambamba na hili, serikali inapaswa kuhakikisha kwamba kampuni zinapata ruzuku na uwekezaji ili kukuza masoko yao hasa masoko ya nje kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa na programu za uuzaji nje (export promotion programs).Kwa kuzingatia mauzo ya nje, kutakuwa na mtiririko wa mtaji wa kigeni, ambao utasaidia kuziba pengo la uhaba wa akiba za ndani. Kwa mfano, Korea Kusini ilikuwa kupitia sera za Seoul zilizolenga kuuza nje.

Export oriented Industralization.jpg

Chanzo: Remix AI
Mwisho serikali ingejitahidi sana kukuza sekta ya Sanaa hasa katika upande wa Sanaa ya kuigiza. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la umaarufu wa tamthilia za Korea Kusini nchini Tanzania. Tamthilia za ndani zimeonekana kukosa ubora hasa katika Teknolojia na maudhui huku nyingi zikiwa na hadithi za kufanana. Ili Tanzania iweze kukuza sanaa yake, inatakiwa kwanza ijikite kwenye maudhui ya kipekee na utamaduni. Mfano Korea Kusini inaingiza utamaduni wake katika tamthilia zake, jambo linalovutia watazamaji wa kimataifa. Tanzania pia ingejikita kukuza ubora wa watayarishaji wetu pamoja na Teknolojia ya uzalishaji kwa kushirikiana na Nchi zilizoendelea.

Mfano hatua aliyofanya Rais Samia kuwakutanisha watayarishaji wetu na wa Korea Kusini tarehe 01/06/2024 ni mwanzo mzuri. Ila tunatamani isiishie hapo. Tungependa kuona hapo mbeleni hata kazi za pamoja ( Korea Kusini na Tanzania) zikitoka. Pia ni kujenga miundombinu ya filamu. Mfano nchini Korea Kusini kuna maeneo maalumu (filming locations) ambayo hutumiwa na wazalishaji wa filamu za ndani na nje. Sanaa inawez pia kutumika kukuza utalii wetu. Mwisho serikali ingetengeneza mifumo mizuri kwajili ya kusambaza filamu na tamthilia na kuimarisha ushirikiano na wadau wa kimataifa kama NETFLIX. Mauzo yatakayo tokana na Sanaa yanawez kuongeza pato la taifa.


View: https://youtu.be/WUIuLpqrVSo?si=2DDAwfqcipyxVobE


View: https://youtu.be/Qt8mVDwFpnQ?si=qlz_0lIqs-KJjGGy


IMG-20240706-WA0305.jpg

20240601_125227.jpg

Angalizo:

Tanzania inaweza kufikia malengo yake ya maendeleo ya kiuchumi kwa kujifunza kutoka kwa Korea Kusini, lakini kwa kutekeleza mikakati hiyo kwa njia inayoendana na misingi ya demokrasia na haki za binadamu na sio Njia za kibabe kama alizotumia Raisi Park Chung-hee. Pia ni muhimu kujua kuwa maendeleo yanaleta faida kubwa lakini yanakuja na changamoto mfano; madeni, uharibifu wa mazingira kama vile ukataji miti na uchafuzi (pollution).Hivyo basi, ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia utawala bora wakati wa hatua za maendeleo ili kupunguza hatari hizi.
Tanzania tuitakayo si Ile yenye hadhi ya Nchi duni,Bali Nchi iliyoendelea. Kwa pamoja tunaweza kufika huko💪

Tanzania We Want.jpg

Tanzania Tuitakayo 2050.​
 
Upvote 336
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Miaka ya 1950, Korea Kusini ilikuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani ikitegemea sana kilimo na haikuwa na misingi thabiti ya viwanda. Licha ya changamoto hizi, Korea Kusini iliweza kujijenga kutoka chini na kuibuka kama taifa lenye mafanikio. Kama Korea Kusini iliweza, Kwanini Sisi Tushindwe? Sisi pia tunaweza.

Je Tanzania ifanye nini ili kutoka katika kundi la nchi duni mpaka kuwa nchi iliyoendelea?
Kwanza kabisa ni uwekezaji katika elimu na rasilimali watu. Kundi la wafanyakazi waliosoma vizuri na wenye ujuzi ni muhimu kwa ukuaji wa viwanda. Tanzania inapaswa kurekebisha mfumo wake wa elimu ufundishwe kwa kiingereza kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu, ili kuongeza ushindani wetu kimataifa. Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wanaotafuta Ufadhili wa kusoma shahada ya uzamili nje, nimegundua kuwa wanafunzi wengi wa kutoka Tanzania tunakosa fursa hizo sababu ya kufeli mitihani ya kiingereza kama IELTS, ukilinganisha na wenzetu Kenya ambao Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia. Aidha serikali inatakiwa kubuni ufadhili wake “Tanzanian Government Scholarship” ambao utaruhusu wanafunzi wa nchi za nje kuja kusoma nchini. Na wakifika hapa ni lazima wasome Kiswahili(for beginners) kama sehemu ya masomo yao.Hii itasaida sana kuitangaza sio tu elimu yetu bali hata Kiswahili ulimwenguni. Wakati Kiswahili kinapaswa kudumishwa kama lugha ya taifa, kiingereza kinapaswa kuwa lugha ya kufundishia.

Elimu ya sekondari inatakiwa kuhusishwa karibu na viwanda. Wanafunzi wanapaswa kushiriki katika mafunzo ya vitendo wakiwa bado shuleni ili kuhakikisha wanakuwa na ajira mara tu wanapohitimu. Somo la ujasiriamali ni lazima lifundishwe kuanzia sekondari tena kwa vitendo. Hii itasaidia sana hata kwa wale watakaofeli kuwa na ujuzi wa kujiajiri. Mfumo wa Elimu unapaswa kuwa wa ushindani, kipaumbele kikiwa ni ubora juu ya wingi hasa katika udahili wa vyuo vikuu. Ubora utavipa vyuo vyetu hadhi kimataifa (Kwenye QS university world rankings).

View attachment 3013700
Chanzo: Remix AI

Pili, serikali ya Tanzania inapaswa kutiliza mkazo uanzishwaji wa mazingira rafiki ya biashara yanayochochea ukuaji wa soko la ndani na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Mazingira rafiki yanajumuisha urahisi wa kufanya biashara, uwepo wa umeme, upatikanaji wa mikopo, taratibu bora za biashara pamoja na utekelezaji mzuri wa mikataba na mifumo ya kutatua madeni. Billionea Dangote alisema "Tanzania inabidi kutengeza sera nzuri Ili kuvutia wawekezaji wengi Zaidi". Kwa kuiga mfano wa Korea Kusini, taifa ambalo linang’ara katika kuwezesha kuanzishwa kwa biashara na utekelezaji wa mikataba kwa kiwango cha kimataifa, Tanzania inaweza kufaidika sana kwa kuboresha mazingira yake ya biashara na kuimarisha ubunifu ili kuvutia makundi mbalimbali ya wawekezaji.


View: https://youtu.be/AAOs8EXq-qw?si=7-I-upNndk2ClNub

Tatu, ni muhimu serikali ya Tanzania kuendeleza teknolojia na kukuza ubunifu. Tanzania ina vijana wabunifu wengi Ila wameshindwa kushikwa mkono. Ubunifu na teknolojia vina jukumu muhimu katika kuinua nchi kutoka hadhi ya maendeleo duni hadi kuwa nchi iliyoendelea. Tanzania inapaswa kukumbatia mfumo thabiti wa Utafiti na Maendeleo (R&D), hasa katika teknolojia za viwanda. Ili kukuza ubunifu kwa ufanisi, ni muhimu kutambua kwamba ubunifu wenye mafanikio huimarika kupitia juhudi za pamoja kati ya vyuo vikuu, serikali na sekta binafsi. Aidha, teknolojia inajitokeza kama kipengele muhimu kitakachoweiwezesha Tanzania kupanda juu kwenye mnyororo wa thamani na kuongeza tija. Kwa kuiga uwekezaji mkubwa wa Korea Kusini katika utafiti na Maendeleo ambao umefungua njia kwa uongozi wake katika viwanda, Tanzania inaweza pia kutumia nguvu ya ubunifu na teknolojia ili kusukuma mbele safari yake ya maendeleo.

View: https://youtube.com/watch?v=t3U5mcUfnso&si=I2g_OirBB7rP5UEA


View: https://youtu.be/3tJ7HLY-oe0?si=EN3wI9gky2IrpvN9

Serikali inapaswa kuunda sera ya kuhimiza viwanda vinavyolenga mauzo ya nje (export-oriented industrialization). Sera hii inatakiwa kulenga kuboresha ufanisi na ubora wa bidhaa za ndani Ili ziweze kushindana kimataifa. Kwa mkakati huu, kampuni za ndani zitabuni teknolojia mpya. Sambamba na hili, serikali inapaswa kuhakikisha kwamba kampuni zinapata ruzuku na uwekezaji ili kukuza masoko yao hasa masoko ya nje kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa na programu za uuzaji nje (export promotion programs).Kwa kuzingatia mauzo ya nje, kutakuwa na mtiririko wa mtaji wa kigeni, ambao utasaidia kuziba pengo la uhaba wa akiba za ndani. Kwa mfano, Korea Kusini ilikuwa kupitia sera za Seoul zilizolenga kuuza nje.

View attachment 3009644
Chanzo: Remix AI
Mwisho serikali ingejitahidi sana kukuza sekta ya Sanaa hasa katika upande wa Sanaa ya kuigiza. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la umaarufu wa tamthilia za Korea Kusini nchini Tanzania. Tamthilia za ndani zimeonekana kukosa ubora hasa katika Teknolojia na maudhui huku nyingi zikiwa na hadithi za kufanana. Ili Tanzania iweze kukuza sanaa yake, Kwanza ni kuboresha ubora wa uzalishaji kama vile Korea Kusini. Pili Tanzania inatakiwa ijikite kwenye maudhui ya kipekee na utamaduni. Mfano Korea Kusini inaingiza utamaduni wake katika tamthilia zake, jambo linalovutia watazamaji wa kimataifa. Tanzania pia ingejikita kukuza ubora wa watayarishaji wetu kwa kushirikiana na Nchi zilizoendelea. Mfano hatua aliyofanya Rais Samia kuwakutanisha watayarishaji wetu na wa Korea Kusini tarehe 01/06/2024 ni mwanzo mzuri. Ila tunatamani isiishie hapo. Tungependa kuona hapo mbeleni hata kazi za pamoja ( Korea Kusini na Tanzania) zikitoka. Pia ni kujenga miundombinu ya filamu. Mfano nchini Korea Kusini kuna maeneo maalumu (filming locations) ambayo hutumiwa na wazalishaji wa filamu za ndani na nje. Sanaa inawez pia kutumika kukuza utalii wetu. Mwisho serikali ingetengeneza mifumo mizuri kwajili ya kusambaza filamu na tamthilia na kuimarisha ushirikiano na wadau wa kimataifa kama NETFLIX. Mauzo yatakayo tokana na Sanaa yanawez kuongeza pato la taifa.

View: https://youtu.be/WUIuLpqrVSo?si=2DDAwfqcipyxVobE


View: https://youtu.be/j17pTr9c-sk?si=fwMntYDMLUn_S1Z1

Angalizo:
Tanzania inaweza kufikia malengo yake ya maendeleo ya kiuchumi kwa kujifunza kutoka kwa Korea Kusini, lakini kwa kutekeleza mikakati hiyo kwa njia inayoendana na misingi ya demokrasia, haki za binadamu, na utawala bora na sio Njia za kibabe kama alizotumia Raisi Park Chung-hee. Pia ni muhimu kujua kuwa maendeleo yanaleta faida kubwa lakini yanakuja na changamoto mfano; madeni, uharibifu wa mazingira kama vile ukataji miti na uchafuzi (pollution).Hivyo basi, ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia utawala bora wakati wa hatua za maendeleo ili kupunguza hatari hizi.
Tanzania tuitakayo si Ile yenye hadhi ya Nchi duni,Bali Nchi iliyoendelea. Kwa pamoja tunaweza kufika huko💪

View attachment 3009665
Tanzania Tuitakayo 2050.​

Mawazo mapana, asante sana professor
 
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Miaka ya 1950, Korea Kusini ilikuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani ikitegemea sana kilimo na haikuwa na misingi thabiti ya viwanda. Licha ya changamoto hizi, Korea Kusini iliweza kujijenga kutoka chini na kuibuka kama taifa lenye mafanikio. Kama Korea Kusini iliweza, Kwanini Sisi Tushindwe? Sisi pia tunaweza.

Je Tanzania ifanye nini ili kutoka katika kundi la nchi duni mpaka kuwa nchi iliyoendelea?
Kwanza kabisa ni uwekezaji katika elimu na rasilimali watu. Kundi la wafanyakazi waliosoma vizuri na wenye ujuzi ni muhimu kwa ukuaji wa viwanda. Tanzania inapaswa kurekebisha mfumo wake wa elimu ufundishwe kwa kiingereza kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu, ili kuongeza ushindani wetu kimataifa. Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wanaotafuta Ufadhili wa kusoma shahada ya uzamili nje, nimegundua kuwa wanafunzi wengi wa kutoka Tanzania tunakosa fursa hizo sababu ya kufeli mitihani ya kiingereza kama IELTS, ukilinganisha na wenzetu Kenya ambao Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia. Aidha serikali inatakiwa kubuni ufadhili wake “Tanzanian Government Scholarship” ambao utaruhusu wanafunzi wa nchi za nje kuja kusoma nchini. Na wakifika hapa ni lazima wasome Kiswahili(for beginners) kama sehemu ya masomo yao.Hii itasaida sana kuitangaza sio tu elimu yetu bali hata Kiswahili ulimwenguni. Wakati Kiswahili kinapaswa kudumishwa kama lugha ya taifa, kiingereza kinapaswa kuwa lugha ya kufundishia.

Elimu ya sekondari inatakiwa kuhusishwa karibu na viwanda. Wanafunzi wanapaswa kushiriki katika mafunzo ya vitendo wakiwa bado shuleni ili kuhakikisha wanakuwa na ajira mara tu wanapohitimu. Somo la ujasiriamali ni lazima lifundishwe kuanzia sekondari tena kwa vitendo. Hii itasaidia sana hata kwa wale watakaofeli kuwa na ujuzi wa kujiajiri. Mfumo wa Elimu unapaswa kuwa wa ushindani, kipaumbele kikiwa ni ubora juu ya wingi hasa katika udahili wa vyuo vikuu. Ubora utavipa vyuo vyetu hadhi kimataifa (Kwenye QS university world rankings).

View attachment 3013700
Chanzo: Remix AI

Pili, serikali ya Tanzania inapaswa kutiliza mkazo uanzishwaji wa mazingira rafiki ya biashara yanayochochea ukuaji wa soko la ndani na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Mazingira rafiki yanajumuisha urahisi wa kufanya biashara, uwepo wa umeme, upatikanaji wa mikopo, taratibu bora za biashara pamoja na utekelezaji mzuri wa mikataba na mifumo ya kutatua madeni. Billionea Dangote alisema "Tanzania inabidi kutengeza sera nzuri Ili kuvutia wawekezaji wengi Zaidi". Kwa kuiga mfano wa Korea Kusini, taifa ambalo linang’ara katika kuwezesha kuanzishwa kwa biashara na utekelezaji wa mikataba kwa kiwango cha kimataifa, Tanzania inaweza kufaidika sana kwa kuboresha mazingira yake ya biashara na kuimarisha ubunifu ili kuvutia makundi mbalimbali ya wawekezaji.


View: https://youtu.be/AAOs8EXq-qw?si=7-I-upNndk2ClNub

Tatu, ni muhimu serikali ya Tanzania kuendeleza teknolojia na kukuza ubunifu. Tanzania ina vijana wabunifu wengi Ila wameshindwa kushikwa mkono. Ubunifu na teknolojia vina jukumu muhimu katika kuinua nchi kutoka hadhi ya maendeleo duni hadi kuwa nchi iliyoendelea. Tanzania inapaswa kukumbatia mfumo thabiti wa Utafiti na Maendeleo (R&D), hasa katika teknolojia za viwanda. Ili kukuza ubunifu kwa ufanisi, ni muhimu kutambua kwamba ubunifu wenye mafanikio huimarika kupitia juhudi za pamoja kati ya vyuo vikuu, serikali na sekta binafsi. Aidha, teknolojia inajitokeza kama kipengele muhimu kitakachoweiwezesha Tanzania kupanda juu kwenye mnyororo wa thamani na kuongeza tija. Kwa kuiga uwekezaji mkubwa wa Korea Kusini katika utafiti na Maendeleo ambao umefungua njia kwa uongozi wake katika viwanda, Tanzania inaweza pia kutumia nguvu ya ubunifu na teknolojia ili kusukuma mbele safari yake ya maendeleo.

View: https://youtube.com/watch?v=t3U5mcUfnso&si=I2g_OirBB7rP5UEA


View: https://youtu.be/3tJ7HLY-oe0?si=EN3wI9gky2IrpvN9

Serikali inapaswa kuunda sera ya kuhimiza viwanda vinavyolenga mauzo ya nje (export-oriented industrialization). Sera hii inatakiwa kulenga kuboresha ufanisi na ubora wa bidhaa za ndani Ili ziweze kushindana kimataifa. Kwa mkakati huu, kampuni za ndani zitabuni teknolojia mpya. Sambamba na hili, serikali inapaswa kuhakikisha kwamba kampuni zinapata ruzuku na uwekezaji ili kukuza masoko yao hasa masoko ya nje kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa na programu za uuzaji nje (export promotion programs).Kwa kuzingatia mauzo ya nje, kutakuwa na mtiririko wa mtaji wa kigeni, ambao utasaidia kuziba pengo la uhaba wa akiba za ndani. Kwa mfano, Korea Kusini ilikuwa kupitia sera za Seoul zilizolenga kuuza nje.

View attachment 3009644
Chanzo: Remix AI
Mwisho serikali ingejitahidi sana kukuza sekta ya Sanaa hasa katika upande wa Sanaa ya kuigiza. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la umaarufu wa tamthilia za Korea Kusini nchini Tanzania. Tamthilia za ndani zimeonekana kukosa ubora hasa katika Teknolojia na maudhui huku nyingi zikiwa na hadithi za kufanana. Ili Tanzania iweze kukuza sanaa yake, Kwanza ni kuboresha ubora wa uzalishaji kama vile Korea Kusini. Pili Tanzania inatakiwa ijikite kwenye maudhui ya kipekee na utamaduni. Mfano Korea Kusini inaingiza utamaduni wake katika tamthilia zake, jambo linalovutia watazamaji wa kimataifa. Tanzania pia ingejikita kukuza ubora wa watayarishaji wetu kwa kushirikiana na Nchi zilizoendelea. Mfano hatua aliyofanya Rais Samia kuwakutanisha watayarishaji wetu na wa Korea Kusini tarehe 01/06/2024 ni mwanzo mzuri. Ila tunatamani isiishie hapo. Tungependa kuona hapo mbeleni hata kazi za pamoja ( Korea Kusini na Tanzania) zikitoka. Pia ni kujenga miundombinu ya filamu. Mfano nchini Korea Kusini kuna maeneo maalumu (filming locations) ambayo hutumiwa na wazalishaji wa filamu za ndani na nje. Sanaa inawez pia kutumika kukuza utalii wetu. Mwisho serikali ingetengeneza mifumo mizuri kwajili ya kusambaza filamu na tamthilia na kuimarisha ushirikiano na wadau wa kimataifa kama NETFLIX. Mauzo yatakayo tokana na Sanaa yanawez kuongeza pato la taifa.

View: https://youtu.be/WUIuLpqrVSo?si=2DDAwfqcipyxVobE


View: https://youtu.be/j17pTr9c-sk?si=fwMntYDMLUn_S1Z1

Angalizo:
Tanzania inaweza kufikia malengo yake ya maendeleo ya kiuchumi kwa kujifunza kutoka kwa Korea Kusini, lakini kwa kutekeleza mikakati hiyo kwa njia inayoendana na misingi ya demokrasia, haki za binadamu, na utawala bora na sio Njia za kibabe kama alizotumia Raisi Park Chung-hee. Pia ni muhimu kujua kuwa maendeleo yanaleta faida kubwa lakini yanakuja na changamoto mfano; madeni, uharibifu wa mazingira kama vile ukataji miti na uchafuzi (pollution).Hivyo basi, ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia utawala bora wakati wa hatua za maendeleo ili kupunguza hatari hizi.
Tanzania tuitakayo si Ile yenye hadhi ya Nchi duni,Bali Nchi iliyoendelea. Kwa pamoja tunaweza kufika huko💪

View attachment 3009665
Tanzania Tuitakayo 2050.​


Gwajima ,Musukuma , Shabib, Kishimba na Dr. Tundu Antipus Lisu Rais wa awamu ya Saba wana majibu mazuri ya Maendeleo ya Tanzania .

Huu utegemezi wa sasa kuendelea ni mdoto ya alinacha.

Eti mpaka Kiwanda cha Bakhressa cha Sukari eti kilikua hakina Mtaji wa kuingiza sukari lakini Duka la makava ya Simu lina mtaji wa kupewa tenda ya kuagiza sukari nje ya nchi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lazima kwanza tuiflash CCM iende baharini kisha tuweke misingi imara ya kiuchumi,kiusalama ,kisasa ,kiutamaduni na kijamii.

Kwa sasa haiwezekani kamwe kupiga hatua .
Haya mawazo yako yalipangwa tangu miaka ya sabini baada ya uhuru.

Hii nchi vijana wa lleo hawajui kuwa tulikua na viwanda vikubwa vya nguo . Viwanda vya ngozi ,viatu,mabegi,baiskeli, redio,magari ,miavuli, maziwa ,tairi, sabuni,mafuta ya Karanga ,maturubai n.k.
Wasomi waliotoka ulaya wakiwa na tamaa ya kuishi maisha ya anasa wakaviua na kuvifanya magodown kisha wakapata pesa za kuingia kwenye siasa kwa rushwa.

Siasa za CCM kuna watu wanateuliwa kitoka baada ya kuhujumu pesa za benki kuu ili ziwaingize CCM madarakani halafu utegemee nchi kupiga hatua kweli . Are you serious!!!
Tuliona CCM ikishirikiana na viongozi wa chama cha walimu na kuiba mabilioni ya fedha wakati wa uchaguzi kisha wezi wakapandishwa cheo badala ya kufungwa kisa wameisaidia CCM pesa za kuhonga wapiga kura. Watu wanaifilisi nchi ili wakae madarakani halafu utegemee wezi waendeleze nchi kwa miaka mitano mitano ya kuiba na kutawala ,kuiba na kutawala ,kuiba na kununua utawala .
Haiwezekani .

Ni lazima patokee mtu kama Gwajima , Lisu , Mbowe ,angalau na Makonda ili kusafisha uchafu wa siku nyingi na kuiweka Nchi katika mazingira mazuri ya uwajibikaji ,usimamizi wa Madini,gesi, utalii, uvuvi,mifugo, wanyama pori ,kilimo na kulinda ardhi yetu dhidi ya madalali wa kuuza ardhi kwa wageni n.k.
Wazungu hawajawahi kuwa na nia ya kuwasaidia waafrika ili wajitegemee . Ni ujinaga mkubwa kuwaza kuwa Wazungu na waarabu watatusaidia ili tujitegemee katika viwanda . Haiwezekani .
 
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Miaka ya 1950, Korea Kusini ilikuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani ikitegemea sana kilimo na haikuwa na misingi thabiti ya viwanda. Licha ya changamoto hizi, Korea Kusini iliweza kujijenga kutoka chini na kuibuka kama taifa lenye mafanikio. Kama Korea Kusini iliweza, Kwanini Sisi Tushindwe? Sisi pia tunaweza.

Je Tanzania ifanye nini ili kutoka katika kundi la nchi duni mpaka kuwa nchi iliyoendelea?
Kwanza kabisa ni uwekezaji katika elimu na rasilimali watu. Kundi la wafanyakazi waliosoma vizuri na wenye ujuzi ni muhimu kwa ukuaji wa viwanda. Tanzania inapaswa kurekebisha mfumo wake wa elimu ufundishwe kwa kiingereza kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu, ili kuongeza ushindani wetu kimataifa. Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wanaotafuta Ufadhili wa kusoma shahada ya uzamili nje, nimegundua kuwa wanafunzi wengi wa kutoka Tanzania tunakosa fursa hizo sababu ya kufeli mitihani ya kiingereza kama IELTS, ukilinganisha na wenzetu Kenya ambao Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia. Aidha serikali inatakiwa kubuni ufadhili wake “Tanzanian Government Scholarship” ambao utaruhusu wanafunzi wa nchi za nje kuja kusoma nchini. Na wakifika hapa ni lazima wasome Kiswahili(for beginners) kama sehemu ya masomo yao.Hii itasaida sana kuitangaza sio tu elimu yetu bali hata Kiswahili ulimwenguni. Wakati Kiswahili kinapaswa kudumishwa kama lugha ya taifa, kiingereza kinapaswa kuwa lugha ya kufundishia.

Elimu ya sekondari inatakiwa kuhusishwa karibu na viwanda. Wanafunzi wanapaswa kushiriki katika mafunzo ya vitendo wakiwa bado shuleni ili kuhakikisha wanakuwa na ajira mara tu wanapohitimu. Somo la ujasiriamali ni lazima lifundishwe kuanzia sekondari tena kwa vitendo. Hii itasaidia sana hata kwa wale watakaofeli kuwa na ujuzi wa kujiajiri. Mfumo wa Elimu unapaswa kuwa wa ushindani, kipaumbele kikiwa ni ubora juu ya wingi hasa katika udahili wa vyuo vikuu. Ubora utavipa vyuo vyetu hadhi kimataifa (Kwenye QS university world rankings).

View attachment 3013700
Chanzo: Remix AI

Pili, serikali ya Tanzania inapaswa kutiliza mkazo uanzishwaji wa mazingira rafiki ya biashara yanayochochea ukuaji wa soko la ndani na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Mazingira rafiki yanajumuisha urahisi wa kufanya biashara, uwepo wa umeme, upatikanaji wa mikopo, taratibu bora za biashara pamoja na utekelezaji mzuri wa mikataba na mifumo ya kutatua madeni. Billionea Dangote alisema "Tanzania inabidi kutengeza sera nzuri Ili kuvutia wawekezaji wengi Zaidi". Kwa kuiga mfano wa Korea Kusini, taifa ambalo linang’ara katika kuwezesha kuanzishwa kwa biashara na utekelezaji wa mikataba kwa kiwango cha kimataifa, Tanzania inaweza kufaidika sana kwa kuboresha mazingira yake ya biashara na kuimarisha ubunifu ili kuvutia makundi mbalimbali ya wawekezaji.


View: https://youtu.be/AAOs8EXq-qw?si=7-I-upNndk2ClNub

Tatu, ni muhimu serikali ya Tanzania kuendeleza teknolojia na kukuza ubunifu. Tanzania ina vijana wabunifu wengi Ila wameshindwa kushikwa mkono. Ubunifu na teknolojia vina jukumu muhimu katika kuinua nchi kutoka hadhi ya maendeleo duni hadi kuwa nchi iliyoendelea. Tanzania inapaswa kukumbatia mfumo thabiti wa Utafiti na Maendeleo (R&D), hasa katika teknolojia za viwanda. Ili kukuza ubunifu kwa ufanisi, ni muhimu kutambua kwamba ubunifu wenye mafanikio huimarika kupitia juhudi za pamoja kati ya vyuo vikuu, serikali na sekta binafsi. Aidha, teknolojia inajitokeza kama kipengele muhimu kitakachoweiwezesha Tanzania kupanda juu kwenye mnyororo wa thamani na kuongeza tija. Kwa kuiga uwekezaji mkubwa wa Korea Kusini katika utafiti na Maendeleo ambao umefungua njia kwa uongozi wake katika viwanda, Tanzania inaweza pia kutumia nguvu ya ubunifu na teknolojia ili kusukuma mbele safari yake ya maendeleo.

View: https://youtube.com/watch?v=t3U5mcUfnso&si=I2g_OirBB7rP5UEA


View: https://youtu.be/3tJ7HLY-oe0?si=EN3wI9gky2IrpvN9

Serikali inapaswa kuunda sera ya kuhimiza viwanda vinavyolenga mauzo ya nje (export-oriented industrialization). Sera hii inatakiwa kulenga kuboresha ufanisi na ubora wa bidhaa za ndani Ili ziweze kushindana kimataifa. Kwa mkakati huu, kampuni za ndani zitabuni teknolojia mpya. Sambamba na hili, serikali inapaswa kuhakikisha kwamba kampuni zinapata ruzuku na uwekezaji ili kukuza masoko yao hasa masoko ya nje kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa na programu za uuzaji nje (export promotion programs).Kwa kuzingatia mauzo ya nje, kutakuwa na mtiririko wa mtaji wa kigeni, ambao utasaidia kuziba pengo la uhaba wa akiba za ndani. Kwa mfano, Korea Kusini ilikuwa kupitia sera za Seoul zilizolenga kuuza nje.

View attachment 3009644
Chanzo: Remix AI
Mwisho serikali ingejitahidi sana kukuza sekta ya Sanaa hasa katika upande wa Sanaa ya kuigiza. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la umaarufu wa tamthilia za Korea Kusini nchini Tanzania. Tamthilia za ndani zimeonekana kukosa ubora hasa katika Teknolojia na maudhui huku nyingi zikiwa na hadithi za kufanana. Ili Tanzania iweze kukuza sanaa yake, Kwanza ni kuboresha ubora wa uzalishaji kama vile Korea Kusini. Pili Tanzania inatakiwa ijikite kwenye maudhui ya kipekee na utamaduni. Mfano Korea Kusini inaingiza utamaduni wake katika tamthilia zake, jambo linalovutia watazamaji wa kimataifa. Tanzania pia ingejikita kukuza ubora wa watayarishaji wetu kwa kushirikiana na Nchi zilizoendelea. Mfano hatua aliyofanya Rais Samia kuwakutanisha watayarishaji wetu na wa Korea Kusini tarehe 01/06/2024 ni mwanzo mzuri. Ila tunatamani isiishie hapo. Tungependa kuona hapo mbeleni hata kazi za pamoja ( Korea Kusini na Tanzania) zikitoka. Pia ni kujenga miundombinu ya filamu. Mfano nchini Korea Kusini kuna maeneo maalumu (filming locations) ambayo hutumiwa na wazalishaji wa filamu za ndani na nje. Sanaa inawez pia kutumika kukuza utalii wetu. Mwisho serikali ingetengeneza mifumo mizuri kwajili ya kusambaza filamu na tamthilia na kuimarisha ushirikiano na wadau wa kimataifa kama NETFLIX. Mauzo yatakayo tokana na Sanaa yanawez kuongeza pato la taifa.

View: https://youtu.be/WUIuLpqrVSo?si=2DDAwfqcipyxVobE


View: https://youtu.be/j17pTr9c-sk?si=fwMntYDMLUn_S1Z1

Angalizo:
Tanzania inaweza kufikia malengo yake ya maendeleo ya kiuchumi kwa kujifunza kutoka kwa Korea Kusini, lakini kwa kutekeleza mikakati hiyo kwa njia inayoendana na misingi ya demokrasia, haki za binadamu, na utawala bora na sio Njia za kibabe kama alizotumia Raisi Park Chung-hee. Pia ni muhimu kujua kuwa maendeleo yanaleta faida kubwa lakini yanakuja na changamoto mfano; madeni, uharibifu wa mazingira kama vile ukataji miti na uchafuzi (pollution).Hivyo basi, ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia utawala bora wakati wa hatua za maendeleo ili kupunguza hatari hizi.
Tanzania tuitakayo si Ile yenye hadhi ya Nchi duni,Bali Nchi iliyoendelea. Kwa pamoja tunaweza kufika huko💪

View attachment 3009665
Tanzania Tuitakayo 2050.​

👏👏
 
Sawa mkuu
Gwajima ,Musukuma , Shabib, Kishimba na Dr. Tundu Antipus Lisu Rais wa awamu ya Saba wana majibu mazuri ya Maendeleo ya Tanzania .

Huu utegemezi wa sasa kuendelea ni mdoto ya alinacha.

Eti mpaka Kiwanda cha Bakhressa cha Sukari eti kilikua hakina Mtaji wa kuingiza sukari lakini Duka la makava ya Simu lina mtaji wa kupewa tenda ya kuagiza sukari nje ya nchi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lazima kwanza tuiflash CCM iende baharini kisha tuweke misingi imara ya kiuchumi,kiusalama ,kisasa ,kiutamaduni na kijamii.

Kwa sasa haiwezekani kamwe kupiga hatua .
Haya mawazo yako yalipangwa tangu miaka ya sabini baada ya uhuru.

Hii nchi vijana wa lleo hawajui kuwa tulikua na viwanda vikubwa vya nguo . Viwanda vya ngozi ,viatu,mabegi,baiskeli, redio,magari ,miavuli, maziwa ,tairi, sabuni,mafuta ya Karanga ,maturubai n.k.
Wasomi waliotoka ulaya wakiwa na tamaa ya kuishi maisha ya anasa wakaviua na kuvifanya magodown kisha wakapata pesa za kuingia kwenye siasa kwa rushwa.

Siasa za CCM kuna watu wanateuliwa kitoka baada ya kuhujumu pesa za benki kuu ili ziwaingize CCM madarakani halafu utegemee nchi kupiga hatua kweli . Are you serious!!!
Tuliona CCM ikishirikiana na viongozi wa chama cha walimu na kuiba mabilioni ya fedha wakati wa uchaguzi kisha wezi wakapandishwa cheo badala ya kufungwa kisa wameisaidia CCM pesa za kuhonga wapiga kura. Watu wanaifilisi nchi ili wakae madarakani halafu utegemee wezi waendeleze nchi kwa miaka mitano mitano ya kuiba na kutawala ,kuiba na kutawala ,kuiba na kununua utawala .
Haiwezekani .

Ni lazima patokee mtu kama Gwajima , Lisu , Mbowe ,angalau na Makonda ili kusafisha uchafu wa siku nyingi na kuiweka Nchi katika mazingira mazuri ya uwajibikaji ,usimamizi wa Madini,gesi, utalii, uvuvi,mifugo, wanyama pori ,kilimo na kulinda ardhi yetu dhidi ya madalali wa kuuza ardhi kwa wageni n.k.
Wazungu hawajawahi kuwa na nia ya kuwasaidia waafrika ili wajitegemee . Ni ujinaga mkubwa kuwaza kuwa Wazungu na waarabu watatusaidia ili tujitegemee katika viwanda . Haiwezekani .
Gwajima ,Musukuma , Shabib, Kishimba na Dr. Tundu Antipus Lisu Rais wa awamu ya Saba wana majibu mazuri ya Maendeleo ya Tanzania .

Huu utegemezi wa sasa kuendelea ni mdoto ya alinacha.

Eti mpaka Kiwanda cha Bakhressa cha Sukari eti kilikua hakina Mtaji wa kuingiza sukari lakini Duka la makava ya Simu lina mtaji wa kupewa tenda ya kuagiza sukari nje ya nchi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lazima kwanza tuiflash CCM iende baharini kisha tuweke misingi imara ya kiuchumi,kiusalama ,kisasa ,kiutamaduni na kijamii.

Kwa sasa haiwezekani kamwe kupiga hatua .
Haya mawazo yako yalipangwa tangu miaka ya sabini baada ya uhuru.

Hii nchi vijana wa lleo hawajui kuwa tulikua na viwanda vikubwa vya nguo . Viwanda vya ngozi ,viatu,mabegi,baiskeli, redio,magari ,miavuli, maziwa ,tairi, sabuni,mafuta ya Karanga ,maturubai n.k.
Wasomi waliotoka ulaya wakiwa na tamaa ya kuishi maisha ya anasa wakaviua na kuvifanya magodown kisha wakapata pesa za kuingia kwenye siasa kwa rushwa.

Siasa za CCM kuna watu wanateuliwa kitoka baada ya kuhujumu pesa za benki kuu ili ziwaingize CCM madarakani halafu utegemee nchi kupiga hatua kweli . Are you serious!!!
Tuliona CCM ikishirikiana na viongozi wa chama cha walimu na kuiba mabilioni ya fedha wakati wa uchaguzi kisha wezi wakapandishwa cheo badala ya kufungwa kisa wameisaidia CCM pesa za kuhonga wapiga kura. Watu wanaifilisi nchi ili wakae madarakani halafu utegemee wezi waendeleze nchi kwa miaka mitano mitano ya kuiba na kutawala ,kuiba na kutawala ,kuiba na kununua utawala .
Haiwezekani .

Ni lazima patokee mtu kama Gwajima , Lisu , Mbowe ,angalau na Makonda ili kusafisha uchafu wa siku nyingi na kuiweka Nchi katika mazingira mazuri ya uwajibikaji ,usimamizi wa Madini,gesi, utalii, uvuvi,mifugo, wanyama pori ,kilimo na kulinda ardhi yetu dhidi ya madalali wa kuuza ardhi kwa wageni n.k.
Wazungu hawajawahi kuwa na nia ya kuwasaidia waafrika ili wajitegemee . Ni ujinaga mkubwa kuwaza kuwa Wazungu na waarabu watatusaidia ili tujitegemee katika viwanda . Haiwezekani .
 
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Miaka ya 1950, Korea Kusini ilikuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani ikitegemea sana kilimo na haikuwa na misingi thabiti ya viwanda. Licha ya changamoto hizi, Korea Kusini iliweza kujijenga kutoka chini na kuibuka kama taifa lenye mafanikio. Kama Korea Kusini iliweza, Kwanini Sisi Tushindwe? Sisi pia tunaweza.

Je Tanzania ifanye nini ili kutoka katika kundi la nchi duni mpaka kuwa nchi iliyoendelea?
Kwanza kabisa ni uwekezaji katika elimu na rasilimali watu. Kundi la wafanyakazi waliosoma vizuri na wenye ujuzi ni muhimu kwa ukuaji wa viwanda. Tanzania inapaswa kurekebisha mfumo wake wa elimu ufundishwe kwa kiingereza kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu, ili kuongeza ushindani wetu kimataifa. Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wanaotafuta Ufadhili wa kusoma shahada ya uzamili nje, nimegundua kuwa wanafunzi wengi wa kutoka Tanzania tunakosa fursa hizo sababu ya kufeli mitihani ya kiingereza kama IELTS, ukilinganisha na wenzetu Kenya ambao Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia. Aidha serikali inatakiwa kubuni ufadhili wake “Tanzanian Government Scholarship” ambao utaruhusu wanafunzi wa nchi za nje kuja kusoma nchini. Na wakifika hapa ni lazima wasome Kiswahili(for beginners) kama sehemu ya masomo yao.Hii itasaida sana kuitangaza sio tu elimu yetu bali hata Kiswahili ulimwenguni. Wakati Kiswahili kinapaswa kudumishwa kama lugha ya taifa, kiingereza kinapaswa kuwa lugha ya kufundishia.

Elimu ya sekondari inatakiwa kuhusishwa karibu na viwanda. Wanafunzi wanapaswa kushiriki katika mafunzo ya vitendo wakiwa bado shuleni ili kuhakikisha wanakuwa na ajira mara tu wanapohitimu. Somo la ujasiriamali ni lazima lifundishwe kuanzia sekondari tena kwa vitendo. Hii itasaidia sana hata kwa wale watakaofeli kuwa na ujuzi wa kujiajiri. Mfumo wa Elimu unapaswa kuwa wa ushindani, kipaumbele kikiwa ni ubora juu ya wingi hasa katika udahili wa vyuo vikuu. Ubora utavipa vyuo vyetu hadhi kimataifa (Kwenye QS university world rankings).

View attachment 3013700
Chanzo: Remix AI

Pili, serikali ya Tanzania inapaswa kutiliza mkazo uanzishwaji wa mazingira rafiki ya biashara yanayochochea ukuaji wa soko la ndani na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Mazingira rafiki yanajumuisha urahisi wa kufanya biashara, uwepo wa umeme, upatikanaji wa mikopo, taratibu bora za biashara pamoja na utekelezaji mzuri wa mikataba na mifumo ya kutatua madeni. Billionea Dangote alisema "Tanzania inabidi kutengeza sera nzuri Ili kuvutia wawekezaji wengi Zaidi". Kwa kuiga mfano wa Korea Kusini, taifa ambalo linang’ara katika kuwezesha kuanzishwa kwa biashara na utekelezaji wa mikataba kwa kiwango cha kimataifa, Tanzania inaweza kufaidika sana kwa kuboresha mazingira yake ya biashara na kuimarisha ubunifu ili kuvutia makundi mbalimbali ya wawekezaji.


View: https://youtu.be/AAOs8EXq-qw?si=7-I-upNndk2ClNub

Tatu, ni muhimu serikali ya Tanzania kuendeleza teknolojia na kukuza ubunifu. Tanzania ina vijana wabunifu wengi Ila wameshindwa kushikwa mkono. Ubunifu na teknolojia vina jukumu muhimu katika kuinua nchi kutoka hadhi ya maendeleo duni hadi kuwa nchi iliyoendelea. Tanzania inapaswa kukumbatia mfumo thabiti wa Utafiti na Maendeleo (R&D), hasa katika teknolojia za viwanda. Ili kukuza ubunifu kwa ufanisi, ni muhimu kutambua kwamba ubunifu wenye mafanikio huimarika kupitia juhudi za pamoja kati ya vyuo vikuu, serikali na sekta binafsi. Aidha, teknolojia inajitokeza kama kipengele muhimu kitakachoweiwezesha Tanzania kupanda juu kwenye mnyororo wa thamani na kuongeza tija. Kwa kuiga uwekezaji mkubwa wa Korea Kusini katika utafiti na Maendeleo ambao umefungua njia kwa uongozi wake katika viwanda, Tanzania inaweza pia kutumia nguvu ya ubunifu na teknolojia ili kusukuma mbele safari yake ya maendeleo.

View: https://youtube.com/watch?v=t3U5mcUfnso&si=I2g_OirBB7rP5UEA


View: https://youtu.be/3tJ7HLY-oe0?si=EN3wI9gky2IrpvN9

Serikali inapaswa kuunda sera ya kuhimiza viwanda vinavyolenga mauzo ya nje (export-oriented industrialization). Sera hii inatakiwa kulenga kuboresha ufanisi na ubora wa bidhaa za ndani Ili ziweze kushindana kimataifa. Kwa mkakati huu, kampuni za ndani zitabuni teknolojia mpya. Sambamba na hili, serikali inapaswa kuhakikisha kwamba kampuni zinapata ruzuku na uwekezaji ili kukuza masoko yao hasa masoko ya nje kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa na programu za uuzaji nje (export promotion programs).Kwa kuzingatia mauzo ya nje, kutakuwa na mtiririko wa mtaji wa kigeni, ambao utasaidia kuziba pengo la uhaba wa akiba za ndani. Kwa mfano, Korea Kusini ilikuwa kupitia sera za Seoul zilizolenga kuuza nje.

View attachment 3009644
Chanzo: Remix AI
Mwisho serikali ingejitahidi sana kukuza sekta ya Sanaa hasa katika upande wa Sanaa ya kuigiza. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la umaarufu wa tamthilia za Korea Kusini nchini Tanzania. Tamthilia za ndani zimeonekana kukosa ubora hasa katika Teknolojia na maudhui huku nyingi zikiwa na hadithi za kufanana. Ili Tanzania iweze kukuza sanaa yake, Kwanza ni kuboresha ubora wa uzalishaji kama vile Korea Kusini. Pili Tanzania inatakiwa ijikite kwenye maudhui ya kipekee na utamaduni. Mfano Korea Kusini inaingiza utamaduni wake katika tamthilia zake, jambo linalovutia watazamaji wa kimataifa. Tanzania pia ingejikita kukuza ubora wa watayarishaji wetu kwa kushirikiana na Nchi zilizoendelea. Mfano hatua aliyofanya Rais Samia kuwakutanisha watayarishaji wetu na wa Korea Kusini tarehe 01/06/2024 ni mwanzo mzuri. Ila tunatamani isiishie hapo. Tungependa kuona hapo mbeleni hata kazi za pamoja ( Korea Kusini na Tanzania) zikitoka. Pia ni kujenga miundombinu ya filamu. Mfano nchini Korea Kusini kuna maeneo maalumu (filming locations) ambayo hutumiwa na wazalishaji wa filamu za ndani na nje. Sanaa inawez pia kutumika kukuza utalii wetu. Mwisho serikali ingetengeneza mifumo mizuri kwajili ya kusambaza filamu na tamthilia na kuimarisha ushirikiano na wadau wa kimataifa kama NETFLIX. Mauzo yatakayo tokana na Sanaa yanawez kuongeza pato la taifa.

View: https://youtu.be/WUIuLpqrVSo?si=2DDAwfqcipyxVobE


View: https://youtu.be/j17pTr9c-sk?si=fwMntYDMLUn_S1Z1

Angalizo:
Tanzania inaweza kufikia malengo yake ya maendeleo ya kiuchumi kwa kujifunza kutoka kwa Korea Kusini, lakini kwa kutekeleza mikakati hiyo kwa njia inayoendana na misingi ya demokrasia, haki za binadamu, na utawala bora na sio Njia za kibabe kama alizotumia Raisi Park Chung-hee. Pia ni muhimu kujua kuwa maendeleo yanaleta faida kubwa lakini yanakuja na changamoto mfano; madeni, uharibifu wa mazingira kama vile ukataji miti na uchafuzi (pollution).Hivyo basi, ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia utawala bora wakati wa hatua za maendeleo ili kupunguza hatari hizi.
Tanzania tuitakayo si Ile yenye hadhi ya Nchi duni,Bali Nchi iliyoendelea. Kwa pamoja tunaweza kufika huko💪

View attachment 3009665
Tanzania Tuitakayo 2050.​

Kati ya mambo ambayo watu wengi hawayafikirii kuwa ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Tanzania ni uongozi mbovu. Asilimia kubwa ya viongozi wetu ni incompetent na wanachagua incompetents wenzao katika mfumo uliokwisha jiimarisha kwa miaka mingi sasa. Ukiwa mtu mzalendo kweli kweli hapa nchini ni vigumu kupata nafasi za kuwa kiongozi serikalini. Mfumu uliopo hauzingatii competency/performance merits ila unaangalia nani rafiki/swahiba. Ile intellectual cream ya Tanzania haitumiki, badala yake wanatumika watu ambao ni average minds. Tusipobadilisha mfumo huu hatutaweza kufanikisha hayo uliyoyaandika hapo juu.
 
Ni
Kati ya mambo ambayo watu wengi hawayafikirii kuwa ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya Tanzania ni uongozi mbovu. Asilimia kubwa ya viongozi wetu ni incompetent na wanachagua incompetents wenzao katika mfumo uliokwisha jiimarisha kwa miaka mingi sasa. Ukiwa mtu mzalendo kweli kweli hapa nchini ni vigumu kupata nafasi za kuwa kiongozi serikalini. Mfumu uliopo hauzingatii competency/performance merits ila unaangalia nani rafiki/swahiba. Ile intellectual cream ya Tanzania haitumiki, badala yake wanatumika watu ambao ni average minds. Tusipobadilisha mfumo huu hatutaweza kufanikisha hayo uliyoyaandika hapo juu.
Ni kwel kabisa
 
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Miaka ya 1950, Korea Kusini ilikuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani ikitegemea sana kilimo na haikuwa na misingi thabiti ya viwanda. Licha ya changamoto hizi, Korea Kusini iliweza kujijenga kutoka chini na kuibuka kama taifa lenye mafanikio. Kama Korea Kusini iliweza, Kwanini Sisi Tushindwe? Sisi pia tunaweza.

Je Tanzania ifanye nini ili kutoka katika kundi la nchi duni mpaka kuwa nchi iliyoendelea?
Kwanza kabisa ni uwekezaji katika elimu na rasilimali watu. Kundi la wafanyakazi waliosoma vizuri na wenye ujuzi ni muhimu kwa ukuaji wa viwanda. Tanzania inapaswa kurekebisha mfumo wake wa elimu ufundishwe kwa kiingereza kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu, ili kuongeza ushindani wetu kimataifa. Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wanaotafuta Ufadhili wa kusoma shahada ya uzamili nje, nimegundua kuwa wanafunzi wengi wa kutoka Tanzania tunakosa fursa hizo sababu ya kufeli mitihani ya kiingereza kama IELTS, ukilinganisha na wenzetu Kenya ambao Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia. Aidha serikali inatakiwa kubuni ufadhili wake “Tanzanian Government Scholarship” ambao utaruhusu wanafunzi wa nchi za nje kuja kusoma nchini. Na wakifika hapa ni lazima wasome Kiswahili(for beginners) kama sehemu ya masomo yao.Hii itasaida sana kuitangaza sio tu elimu yetu bali hata Kiswahili ulimwenguni. Wakati Kiswahili kinapaswa kudumishwa kama lugha ya taifa, kiingereza kinapaswa kuwa lugha ya kufundishia.

Elimu ya sekondari inatakiwa kuhusishwa karibu na viwanda. Wanafunzi wanapaswa kushiriki katika mafunzo ya vitendo wakiwa bado shuleni ili kuhakikisha wanakuwa na ajira mara tu wanapohitimu. Somo la ujasiriamali ni lazima lifundishwe kuanzia sekondari tena kwa vitendo. Hii itasaidia sana hata kwa wale watakaofeli kuwa na ujuzi wa kujiajiri. Mfumo wa Elimu unapaswa kuwa wa ushindani, kipaumbele kikiwa ni ubora juu ya wingi hasa katika udahili wa vyuo vikuu. Ubora utavipa vyuo vyetu hadhi kimataifa (Kwenye QS university world rankings).

View attachment 3013700
Chanzo: Remix AI

Pili, serikali ya Tanzania inapaswa kutiliza mkazo uanzishwaji wa mazingira rafiki ya biashara yanayochochea ukuaji wa soko la ndani na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Mazingira rafiki yanajumuisha urahisi wa kufanya biashara, uwepo wa umeme, upatikanaji wa mikopo, taratibu bora za biashara pamoja na utekelezaji mzuri wa mikataba na mifumo ya kutatua madeni. Billionea Dangote alisema "Tanzania inabidi kutengeza sera nzuri Ili kuvutia wawekezaji wengi Zaidi". Kwa kuiga mfano wa Korea Kusini, taifa ambalo linang’ara katika kuwezesha kuanzishwa kwa biashara na utekelezaji wa mikataba kwa kiwango cha kimataifa, Tanzania inaweza kufaidika sana kwa kuboresha mazingira yake ya biashara na kuimarisha ubunifu ili kuvutia makundi mbalimbali ya wawekezaji.


View: https://youtu.be/AAOs8EXq-qw?si=7-I-upNndk2ClNub

Tatu, ni muhimu serikali ya Tanzania kuendeleza teknolojia na kukuza ubunifu. Tanzania ina vijana wabunifu wengi Ila wameshindwa kushikwa mkono. Ubunifu na teknolojia vina jukumu muhimu katika kuinua nchi kutoka hadhi ya maendeleo duni hadi kuwa nchi iliyoendelea. Tanzania inapaswa kukumbatia mfumo thabiti wa Utafiti na Maendeleo (R&D), hasa katika teknolojia za viwanda. Ili kukuza ubunifu kwa ufanisi, ni muhimu kutambua kwamba ubunifu wenye mafanikio huimarika kupitia juhudi za pamoja kati ya vyuo vikuu, serikali na sekta binafsi. Aidha, teknolojia inajitokeza kama kipengele muhimu kitakachoweiwezesha Tanzania kupanda juu kwenye mnyororo wa thamani na kuongeza tija. Kwa kuiga uwekezaji mkubwa wa Korea Kusini katika utafiti na Maendeleo ambao umefungua njia kwa uongozi wake katika viwanda, Tanzania inaweza pia kutumia nguvu ya ubunifu na teknolojia ili kusukuma mbele safari yake ya maendeleo.

View: https://youtube.com/watch?v=t3U5mcUfnso&si=I2g_OirBB7rP5UEA


View: https://youtu.be/3tJ7HLY-oe0?si=EN3wI9gky2IrpvN9

Serikali inapaswa kuunda sera ya kuhimiza viwanda vinavyolenga mauzo ya nje (export-oriented industrialization). Sera hii inatakiwa kulenga kuboresha ufanisi na ubora wa bidhaa za ndani Ili ziweze kushindana kimataifa. Kwa mkakati huu, kampuni za ndani zitabuni teknolojia mpya. Sambamba na hili, serikali inapaswa kuhakikisha kwamba kampuni zinapata ruzuku na uwekezaji ili kukuza masoko yao hasa masoko ya nje kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa na programu za uuzaji nje (export promotion programs).Kwa kuzingatia mauzo ya nje, kutakuwa na mtiririko wa mtaji wa kigeni, ambao utasaidia kuziba pengo la uhaba wa akiba za ndani. Kwa mfano, Korea Kusini ilikuwa kupitia sera za Seoul zilizolenga kuuza nje.

View attachment 3009644
Chanzo: Remix AI
Mwisho serikali ingejitahidi sana kukuza sekta ya Sanaa hasa katika upande wa Sanaa ya kuigiza. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la umaarufu wa tamthilia za Korea Kusini nchini Tanzania. Tamthilia za ndani zimeonekana kukosa ubora hasa katika Teknolojia na maudhui huku nyingi zikiwa na hadithi za kufanana. Ili Tanzania iweze kukuza sanaa yake, Kwanza ni kuboresha ubora wa uzalishaji kama vile Korea Kusini. Pili Tanzania inatakiwa ijikite kwenye maudhui ya kipekee na utamaduni. Mfano Korea Kusini inaingiza utamaduni wake katika tamthilia zake, jambo linalovutia watazamaji wa kimataifa. Tanzania pia ingejikita kukuza ubora wa watayarishaji wetu kwa kushirikiana na Nchi zilizoendelea. Mfano hatua aliyofanya Rais Samia kuwakutanisha watayarishaji wetu na wa Korea Kusini tarehe 01/06/2024 ni mwanzo mzuri. Ila tunatamani isiishie hapo. Tungependa kuona hapo mbeleni hata kazi za pamoja ( Korea Kusini na Tanzania) zikitoka. Pia ni kujenga miundombinu ya filamu. Mfano nchini Korea Kusini kuna maeneo maalumu (filming locations) ambayo hutumiwa na wazalishaji wa filamu za ndani na nje. Sanaa inawez pia kutumika kukuza utalii wetu. Mwisho serikali ingetengeneza mifumo mizuri kwajili ya kusambaza filamu na tamthilia na kuimarisha ushirikiano na wadau wa kimataifa kama NETFLIX. Mauzo yatakayo tokana na Sanaa yanawez kuongeza pato la taifa.

View: https://youtu.be/WUIuLpqrVSo?si=2DDAwfqcipyxVobE


View: https://youtu.be/j17pTr9c-sk?si=fwMntYDMLUn_S1Z1

Angalizo:
Tanzania inaweza kufikia malengo yake ya maendeleo ya kiuchumi kwa kujifunza kutoka kwa Korea Kusini, lakini kwa kutekeleza mikakati hiyo kwa njia inayoendana na misingi ya demokrasia, haki za binadamu, na utawala bora na sio Njia za kibabe kama alizotumia Raisi Park Chung-hee. Pia ni muhimu kujua kuwa maendeleo yanaleta faida kubwa lakini yanakuja na changamoto mfano; madeni, uharibifu wa mazingira kama vile ukataji miti na uchafuzi (pollution).Hivyo basi, ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia utawala bora wakati wa hatua za maendeleo ili kupunguza hatari hizi.
Tanzania tuitakayo si Ile yenye hadhi ya Nchi duni,Bali Nchi iliyoendelea. Kwa pamoja tunaweza kufika huko💪

View attachment 3009665
Tanzania Tuitakayo 2050.​

The best idea.
 
Imejitahidi kueleza kwa urefu lakini ukasahau kwamba nchi nyingi zilizoendelea ki uchumi zilianzia kwenye mfumo wa udikteta baada ya kuendelea ndipo zika igeukia demokrasia
 
Imejitahidi kueleza kwa urefu lakini ukasahau kwamba nchi nyingi zilizoendelea ki uchumi zilianzia kwenye mfumo wa udikteta baada ya kuendelea ndipo zika igeukia demokrasia
 
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Miaka ya 1950, Korea Kusini ilikuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani ikitegemea sana kilimo na haikuwa na misingi thabiti ya viwanda. Licha ya changamoto hizi, Korea Kusini iliweza kujijenga kutoka chini na kuibuka kama taifa lenye mafanikio. Kama Korea Kusini iliweza, Kwanini Sisi Tushindwe? Sisi pia tunaweza.

Je Tanzania ifanye nini ili kutoka katika kundi la nchi duni mpaka kuwa nchi iliyoendelea?
Kwanza kabisa ni uwekezaji katika elimu na rasilimali watu. Kundi la wafanyakazi waliosoma vizuri na wenye ujuzi ni muhimu kwa ukuaji wa viwanda. Tanzania inapaswa kurekebisha mfumo wake wa elimu ufundishwe kwa kiingereza kutoka shule ya msingi hadi chuo kikuu, ili kuongeza ushindani wetu kimataifa. Nikiwa kama mmoja wa wanafunzi wanaotafuta Ufadhili wa kusoma shahada ya uzamili nje, nimegundua kuwa wanafunzi wengi wa kutoka Tanzania tunakosa fursa hizo sababu ya kufeli mitihani ya kiingereza kama IELTS, ukilinganisha na wenzetu Kenya ambao Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia. Aidha serikali inatakiwa kubuni ufadhili wake “Tanzanian Government Scholarship” ambao utaruhusu wanafunzi wa nchi za nje kuja kusoma nchini. Na wakifika hapa ni lazima wasome Kiswahili(for beginners) kama sehemu ya masomo yao.Hii itasaida sana kuitangaza sio tu elimu yetu bali hata Kiswahili ulimwenguni. Wakati Kiswahili kinapaswa kudumishwa kama lugha ya taifa, kiingereza kinapaswa kuwa lugha ya kufundishia.

Elimu ya sekondari inatakiwa kuhusishwa karibu na viwanda. Wanafunzi wanapaswa kushiriki katika mafunzo ya vitendo wakiwa bado shuleni ili kuhakikisha wanakuwa na ajira mara tu wanapohitimu. Somo la ujasiriamali ni lazima lifundishwe kuanzia sekondari tena kwa vitendo. Hii itasaidia sana hata kwa wale watakaofeli kuwa na ujuzi wa kujiajiri. Mfumo wa Elimu unapaswa kuwa wa ushindani, kipaumbele kikiwa ni ubora juu ya wingi hasa katika udahili wa vyuo vikuu. Ubora utavipa vyuo vyetu hadhi kimataifa (Kwenye QS university world rankings).

View attachment 3013700
Chanzo: Remix AI

Pili, serikali ya Tanzania inapaswa kutiliza mkazo uanzishwaji wa mazingira rafiki ya biashara yanayochochea ukuaji wa soko la ndani na kuvutia wawekezaji wa kigeni. Mazingira rafiki yanajumuisha urahisi wa kufanya biashara, uwepo wa umeme, upatikanaji wa mikopo, taratibu bora za biashara pamoja na utekelezaji mzuri wa mikataba na mifumo ya kutatua madeni. Billionea Dangote alisema "Tanzania inabidi kutengeza sera nzuri Ili kuvutia wawekezaji wengi Zaidi". Kwa kuiga mfano wa Korea Kusini, taifa ambalo linang’ara katika kuwezesha kuanzishwa kwa biashara na utekelezaji wa mikataba kwa kiwango cha kimataifa, Tanzania inaweza kufaidika sana kwa kuboresha mazingira yake ya biashara na kuimarisha ubunifu ili kuvutia makundi mbalimbali ya wawekezaji.


View: https://youtu.be/AAOs8EXq-qw?si=7-I-upNndk2ClNub

Tatu, ni muhimu serikali ya Tanzania kuendeleza teknolojia na kukuza ubunifu. Tanzania ina vijana wabunifu wengi Ila wameshindwa kushikwa mkono. Ubunifu na teknolojia vina jukumu muhimu katika kuinua nchi kutoka hadhi ya maendeleo duni hadi kuwa nchi iliyoendelea. Tanzania inapaswa kukumbatia mfumo thabiti wa Utafiti na Maendeleo (R&D), hasa katika teknolojia za viwanda. Ili kukuza ubunifu kwa ufanisi, ni muhimu kutambua kwamba ubunifu wenye mafanikio huimarika kupitia juhudi za pamoja kati ya vyuo vikuu, serikali na sekta binafsi. Aidha, teknolojia inajitokeza kama kipengele muhimu kitakachoweiwezesha Tanzania kupanda juu kwenye mnyororo wa thamani na kuongeza tija. Kwa kuiga uwekezaji mkubwa wa Korea Kusini katika utafiti na Maendeleo ambao umefungua njia kwa uongozi wake katika viwanda, Tanzania inaweza pia kutumia nguvu ya ubunifu na teknolojia ili kusukuma mbele safari yake ya maendeleo.

View: https://youtube.com/watch?v=t3U5mcUfnso&si=I2g_OirBB7rP5UEA


View: https://youtu.be/3tJ7HLY-oe0?si=EN3wI9gky2IrpvN9

Serikali inapaswa kuunda sera ya kuhimiza viwanda vinavyolenga mauzo ya nje (export-oriented industrialization). Sera hii inatakiwa kulenga kuboresha ufanisi na ubora wa bidhaa za ndani Ili ziweze kushindana kimataifa. Kwa mkakati huu, kampuni za ndani zitabuni teknolojia mpya. Sambamba na hili, serikali inapaswa kuhakikisha kwamba kampuni zinapata ruzuku na uwekezaji ili kukuza masoko yao hasa masoko ya nje kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa na programu za uuzaji nje (export promotion programs).Kwa kuzingatia mauzo ya nje, kutakuwa na mtiririko wa mtaji wa kigeni, ambao utasaidia kuziba pengo la uhaba wa akiba za ndani. Kwa mfano, Korea Kusini ilikuwa kupitia sera za Seoul zilizolenga kuuza nje.

View attachment 3009644
Chanzo: Remix AI
Mwisho serikali ingejitahidi sana kukuza sekta ya Sanaa hasa katika upande wa Sanaa ya kuigiza. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la umaarufu wa tamthilia za Korea Kusini nchini Tanzania. Tamthilia za ndani zimeonekana kukosa ubora hasa katika Teknolojia na maudhui huku nyingi zikiwa na hadithi za kufanana. Ili Tanzania iweze kukuza sanaa yake, Kwanza ni kuboresha ubora wa uzalishaji kama vile Korea Kusini. Pili Tanzania inatakiwa ijikite kwenye maudhui ya kipekee na utamaduni. Mfano Korea Kusini inaingiza utamaduni wake katika tamthilia zake, jambo linalovutia watazamaji wa kimataifa. Tanzania pia ingejikita kukuza ubora wa watayarishaji wetu kwa kushirikiana na Nchi zilizoendelea. Mfano hatua aliyofanya Rais Samia kuwakutanisha watayarishaji wetu na wa Korea Kusini tarehe 01/06/2024 ni mwanzo mzuri. Ila tunatamani isiishie hapo. Tungependa kuona hapo mbeleni hata kazi za pamoja ( Korea Kusini na Tanzania) zikitoka. Pia ni kujenga miundombinu ya filamu. Mfano nchini Korea Kusini kuna maeneo maalumu (filming locations) ambayo hutumiwa na wazalishaji wa filamu za ndani na nje. Sanaa inawez pia kutumika kukuza utalii wetu. Mwisho serikali ingetengeneza mifumo mizuri kwajili ya kusambaza filamu na tamthilia na kuimarisha ushirikiano na wadau wa kimataifa kama NETFLIX. Mauzo yatakayo tokana na Sanaa yanawez kuongeza pato la taifa.

View: https://youtu.be/WUIuLpqrVSo?si=2DDAwfqcipyxVobE


View: https://youtu.be/j17pTr9c-sk?si=fwMntYDMLUn_S1Z1

Angalizo:
Tanzania inaweza kufikia malengo yake ya maendeleo ya kiuchumi kwa kujifunza kutoka kwa Korea Kusini, lakini kwa kutekeleza mikakati hiyo kwa njia inayoendana na misingi ya demokrasia, haki za binadamu, na utawala bora na sio Njia za kibabe kama alizotumia Raisi Park Chung-hee. Pia ni muhimu kujua kuwa maendeleo yanaleta faida kubwa lakini yanakuja na changamoto mfano; madeni, uharibifu wa mazingira kama vile ukataji miti na uchafuzi (pollution).Hivyo basi, ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia utawala bora wakati wa hatua za maendeleo ili kupunguza hatari hizi.
Tanzania tuitakayo si Ile yenye hadhi ya Nchi duni,Bali Nchi iliyoendelea. Kwa pamoja tunaweza kufika huko💪

View attachment 3009665
Tanzania Tuitakayo 2050.​

Hongera sana kwa andiko zuri
 
Back
Top Bottom