AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Nahsindwaga kuelewa kwa nini serikali inakujaga na mikakati mufilisi kiasi hiki, dawa ya mkwepa kodi haswa kwa wafanya biashara kwanzA ni kujua kwa nini wanakwepa kodi!?
Jibu ni simple tu, wanakwepa kodi kwa kuwa ni kubwa plus hawaoni mantiki ya hizo kodi wanazotoa Kwan bado hakujawa na namna ambavyo wanaweza kuhakikisha kodi zao zinafanya kazi stahiki.
Nadhani. Kodi ishushwe mpaka asilimia 10% , iendeshwe kampeni ya kulipa kodi ,watu wahamasishwe kulipa kodi kww namna iwezekanavyo.plus kuonekane namna Gani hiyo kodi inasaidia jamii husika kwanzA..na sio hizi za asilimia 70 kulipana mishahara na 30 ndio miradi ya maendeleo.
Jibu ni simple tu, wanakwepa kodi kwa kuwa ni kubwa plus hawaoni mantiki ya hizo kodi wanazotoa Kwan bado hakujawa na namna ambavyo wanaweza kuhakikisha kodi zao zinafanya kazi stahiki.
Nadhani. Kodi ishushwe mpaka asilimia 10% , iendeshwe kampeni ya kulipa kodi ,watu wahamasishwe kulipa kodi kww namna iwezekanavyo.plus kuonekane namna Gani hiyo kodi inasaidia jamii husika kwanzA..na sio hizi za asilimia 70 kulipana mishahara na 30 ndio miradi ya maendeleo.