AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Mbagala bia na mchicha vinauzwa barabarani, hauna haja kwenda baa kwani machinga ni muda wote wanauza pombe.Pale Akiba karibu na CBE Dar es salaam Machinga wanauza mpaka Pombe( bia na Konyagi,KVANT n.k) Bila Risiti yoyote na hii ipo kwa sasa nchi nzima.
SAHIHIHao wamachinga wanachukua bidhaa kutoka maduka ya jumla bila risiti. Waanze kuwakamata wao kwanza.
Magufuli aliapa kuwafanya matajiri waishi kama Mashetani, nina uhakika wa asilimia zote kwamba hawezi kufanikiwa. Na watakao ishi kama mashetani ni hawa hawa raia maskini wanaopenda kuitwa wanyonge.
Ni vigumu sana kujua nani kanunua bidhaa zake wapi, hii ni kwa sababu Wamachinga wanauza kila kitu kinachouzwa madukani tena bila kikwazo chochote.
Wamachinga wanauza nguo, simu, vifaa vya simu, vifaa vya mahospitalini, vifaa vya shule, TV , vifaa vya majumbani na maofisini, ikiwa ni pamoja na dawa za binadamu, dawa za meno na dawa za magonjwa mengine zinapangwa barabarani kuanzia Kariakoo, Manzese hadi Mbagala huku zikipigwa jua kutwa nzima.
Wamachinga hawana machine za EFD na wala hawabughuziwi kwenye hilo huku wakifanya biashara kubwa kuliko wenye maduka na taarifa za sasa za Kariakoo zinaonyesha kwamba Wamachinga ni almost 70% ya wafanyabiashara wote, sasa kwa hali hii unawezaje kumuuliza mtu risiti ya alichonunua?
Labda TRA iseme kwamba imelenga kuwakomoa wauzaji wa jumla ambao ndio unaweza kuwatofautisha na wengine, Vinginevyo TRA yaweza kushitakiwa mahakamani kwa kumkamata aliyenunua kwa wamachinga ambao wanauza kila kitu kuliko hata maduka halali, maana hakuna duka lolote la halali linaloweza kuuza kandambili, chupi za watoto na humo humo likauza na dawa za binadamu pamoja na sumu za panya.
Ikumbukwe pia kwamba Watanzania hawajui lolote kuhusu sheria za uuzaji wa baadhi ya bidhaa , wanachoangalia ni bei rahisi pekee , kwahiyo kumkamata huku akiwa kanunua kihalali kwa muuzaji aliyevaa kitambulisho halali cha Mmachinga utakuwa uonevu wa kutisha.
Waache kupepesa machoHapa kuna haja kwa Serikali kuangalia upya suala la vitambulisho vya machinga interms mtaji/aina ya biashara.
Lakini pia TRA wanaweza kubuni app ya risiti ili kila machinga mwenye biashara atoe risiti ya kielectronic.
Wakina humphrey polepole wanajitamba mitaani kutumia kodi za wananchi kujinunulia mavi8Nahsindwaga kuelewa kwa nini serikali inakujaga na mikakati mufilisi kiasi hiki, dawa ya mkwepa kodi haswa kwa wafanya biashara kwanzA ni kujua kwa nini wanakwepa kodi!?
Jibu ni simple tu, wanakwepa kodi kwa kuwa ni kubwa plus hawaoni mantiki ya hizo kodi wanazotoa Kwan bado hakujawa na namna ambavyo wanaweza kuhakikisha kodi zao zinafanya kazi stahiki.
Nadhani. Kodi ishushwe mpaka asilimia 10% , iendeshwe kampeni ya kulipa kodi ,watu wahamasishwe kulipa kodi kww namna iwezekanavyo.plus kuonekane namna Gani hiyo kodi inasaidia jamii husika kwanzA..na sio hizi za asilimia 70 kulipana mishahara na 30 ndio miradi ya maendeleo.
Kweli tupu mkuu
Ni vigumu sana kujua nani kanunua bidhaa zake wapi, hii ni kwa sababu Wamachinga wanauza kila kitu kinachouzwa madukani tena bila kikwazo chochote.
Wamachinga wanauza nguo, simu, vifaa vya simu, vifaa vya mahospitalini, vifaa vya shule, TV , vifaa vya majumbani na maofisini, ikiwa ni pamoja na dawa za binadamu, dawa za meno na dawa za magonjwa mengine zinapangwa barabarani kuanzia Kariakoo, Manzese hadi Mbagala huku zikipigwa jua kutwa nzima.
Wamachinga hawana machine za EFD na wala hawabughuziwi kwenye hilo huku wakifanya biashara kubwa kuliko wenye maduka na taarifa za sasa za Kariakoo zinaonyesha kwamba Wamachinga ni almost 70% ya wafanyabiashara wote, sasa kwa hali hii unawezaje kumuuliza mtu risiti ya alichonunua?
Labda TRA iseme kwamba imelenga kuwakomoa wauzaji wa jumla ambao ndio unaweza kuwatofautisha na wengine, Vinginevyo TRA yaweza kushitakiwa mahakamani kwa kumkamata aliyenunua kwa wamachinga ambao wanauza kila kitu kuliko hata maduka halali, maana hakuna duka lolote la halali linaloweza kuuza kandambili, chupi za watoto na humo humo likauza na dawa za binadamu pamoja na sumu za panya.
Ikumbukwe pia kwamba Watanzania hawajui lolote kuhusu sheria za uuzaji wa baadhi ya bidhaa , wanachoangalia ni bei rahisi pekee , kwahiyo kumkamata huku akiwa kanunua kihalali kwa muuzaji aliyevaa kitambulisho halali cha Mmachinga utakuwa uonevu wa kutisha.
Tatizo hujawahi kufanya biashara mkuu, machinga halipi kodi ya pango, VAT, Halmshauri, sijui fire, umeme, maji, ulinzi n.k, lakini anatakiwa kuuza sawa bei sawa na mfanyabiashara, is that fair?Rais wetu alikuwa na nia nzuri sana na wafanyabiashara wadogo na moja ya lengo lake kuu ni wakue kibiashara shida kubwa ni kwamba wafanya biashara wakubwa wamekuwa wajanja sana wanaingiza mzigo kwa makontena halafu hawaingizi dukani hapana bali huwapa machinga moja kwa moja hapa lipo jambo ambalo serekali inatakiwa kufanya
Kodi yao wanaicgukuliaga bandariniNi Kweli ulichosema,watakamata wanaotoka Petrol station na sehemu tunaponunua vitu ambapo hakuna bidhaa zilizobebwa na wamachinga.Kuna siku nimenunua kitu dukani kariakoo nikasahau kuchukua receipt nikiwa njiani nikampigia mwenye duka nikamwambia anitumie receipt yangu nimesahau wasije wakanikamata akanijibu waambie umenunua kwa wamachinga nilicheka sana (kama mazuri) kwani tunaikosesha nchi kodi ujue
Watu wakipigwa faini wataacha kununua vitu barabarani na badala yake kuingia madukani na kununua humo. Huu msako ukifanywa kwa weledi utawaondoa Wamachinga wote wanauza vitu vya madukani barabarani na hivyo kuongeza pata la Taifa.
Ni vigumu sana kujua nani kanunua bidhaa zake wapi, hii ni kwa sababu Wamachinga wanauza kila kitu kinachouzwa madukani tena bila kikwazo chochote.
Wamachinga wanauza nguo, simu, vifaa vya simu, vifaa vya mahospitalini, vifaa vya shule, TV , vifaa vya majumbani na maofisini, ikiwa ni pamoja na dawa za binadamu, dawa za meno na dawa za magonjwa mengine zinapangwa barabarani kuanzia Kariakoo, Manzese hadi Mbagala huku zikipigwa jua kutwa nzima.
Wamachinga hawana machine za EFD na wala hawabughuziwi kwenye hilo huku wakifanya biashara kubwa kuliko wenye maduka na taarifa za sasa za Kariakoo zinaonyesha kwamba Wamachinga ni almost 70% ya wafanyabiashara wote, sasa kwa hali hii unawezaje kumuuliza mtu risiti ya alichonunua?
Labda TRA iseme kwamba imelenga kuwakomoa wauzaji wa jumla ambao ndio unaweza kuwatofautisha na wengine, Vinginevyo TRA yaweza kushitakiwa mahakamani kwa kumkamata aliyenunua kwa wamachinga ambao wanauza kila kitu kuliko hata maduka halali, maana hakuna duka lolote la halali linaloweza kuuza kandambili, chupi za watoto na humo humo likauza na dawa za binadamu pamoja na sumu za panya.
Ikumbukwe pia kwamba Watanzania hawajui lolote kuhusu sheria za uuzaji wa baadhi ya bidhaa , wanachoangalia ni bei rahisi pekee , kwahiyo kumkamata huku akiwa kanunua kihalali kwa muuzaji aliyevaa kitambulisho halali cha Mmachinga utakuwa uonevu wa kutisha.
🈶🈶🈶🚳🚳🚳Tatizo hujawahi kufanya biashara mkuu, machinga halipi kodi ya pango, VAT, Halmshauri, sijui fire, umeme, maji, ulinzi n.k, lakini anatakiwa kuuza sawa bei sawa na mfanyabiashara, is that fair?
Duh, Wapiga Kura hawa kwa kujiongeza?.Pale Akiba karibu na CBE Dar es salaam Machinga wanauza mpaka Pombe( bia na Konyagi,KVANT n.k) Bila Risiti yoyote na hii ipo kwa sasa nchi nzima.
Ni vyema sasa kukawa na mwongozo wa nini machinga auze. Vitu kama vyakula, matunda na mbogamboa wapewe ruhusa kuuza, pia bidhaa za ufundi wa mikono kama nguo za kushona wenyewe, ususi, mama ntilie waachiwe machinga.
Ni vigumu sana kujua nani kanunua bidhaa zake wapi, hii ni kwa sababu Wamachinga wanauza kila kitu kinachouzwa madukani tena bila kikwazo chochote.
Wamachinga wanauza nguo, simu, vifaa vya simu, vifaa vya mahospitalini, vifaa vya shule, TV , vifaa vya majumbani na maofisini, ikiwa ni pamoja na dawa za binadamu, dawa za meno na dawa za magonjwa mengine zinapangwa barabarani kuanzia Kariakoo, Manzese hadi Mbagala huku zikipigwa jua kutwa nzima.
Wamachinga hawana machine za EFD na wala hawabughuziwi kwenye hilo huku wakifanya biashara kubwa kuliko wenye maduka na taarifa za sasa za Kariakoo zinaonyesha kwamba Wamachinga ni almost 70% ya wafanyabiashara wote, sasa kwa hali hii unawezaje kumuuliza mtu risiti ya alichonunua?
Labda TRA iseme kwamba imelenga kuwakomoa wauzaji wa jumla ambao ndio unaweza kuwatofautisha na wengine, Vinginevyo TRA yaweza kushitakiwa mahakamani kwa kumkamata aliyenunua kwa wamachinga ambao wanauza kila kitu kuliko hata maduka halali, maana hakuna duka lolote la halali linaloweza kuuza kandambili, chupi za watoto na humo humo likauza na dawa za binadamu pamoja na sumu za panya.
Ikumbukwe pia kwamba Watanzania hawajui lolote kuhusu sheria za uuzaji wa baadhi ya bidhaa , wanachoangalia ni bei rahisi pekee , kwahiyo kumkamata huku akiwa kanunua kihalali kwa muuzaji aliyevaa kitambulisho halali cha Mmachinga utakuwa uonevu wa kutisha.
Hata maofisa wengi wa TRA , Waziri wa fedha , Rais na wanaccm wenzake wa juu hawajawahi kufanya biashara yoyote , wachache wamewahi kupata tenda za bwelele zile wanazoingiziana hela kwenye akaunti zao , lakini kama kweli hawa wangewahi hata kuuza Mapera ya kuzunguka mitaani wangetuheshimu sana sisi wafanyabiasharaTatizo hujawahi kufanya biashara mkuu, machinga halipi kodi ya pango, VAT, Halmshauri, sijui fire, umeme, maji, ulinzi n.k, lakini anatakiwa kuuza sawa bei sawa na mfanyabiashara, is that fair?
Kama ambavyo Naye halipi kodi,like father like son.Walipa kodi nchi hii hawaongezeki Bali kodi ndiyo hu9ngezeka kila uchao.Wapiga kura wa Rais hawatakiwi kulipa kodi ya biashara, ukitaka nawe hamia huko.
Machine za EFD ziwe za TRA na anayemilikishwa awajibike asipoitumia/kuipoteza.Kuwe na bonus ya ukusanyaji wa kodi kwa wanaofanya vizuri.Issue ya kodi ni kitu kidogo tu.. Serikali yetu sijui ina fail wapi
Weka kodi ndogo ambayo hata mtu wa kawaida au machinga akiaangalia anajua anaweza kulipa kodi na faida anapata..
Toa mashine za lisit bure kbsa... Kutoa machine bure kina wapa watu nguvu ya kwenda kuchukua machine.. Ambapo hata machinga tu anaweza kwenda kuchukua..
Punguza mlolongo wa upatikanaji wa machine.. Machine ziweze kutolewa hata na afsa mtendaji..