Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Ni sawa lakini pawepo na specific name ya nani ni machinga na nani ni mfanyabiashara.Watu wakipigwa faini wataacha kununua vitu barabarani na badala yake kuingia madukani na kununua humo. Huu msako ukifanywa kwa weledi utawaondoa Wamachinga wote wanauza vitu vya madukani barabarani na hivyo kuongeza pata la Taifa.
Ni vigumu sana kujua nani kanunua bidhaa zake wapi, hii ni kwa sababu Wamachinga wanauza kila kitu kinachouzwa madukani tena bila kikwazo chochote.
Wamachinga wanauza nguo, simu, vifaa vya simu, vifaa vya mahospitalini, vifaa vya shule, TV , vifaa vya majumbani na maofisini, ikiwa ni pamoja na dawa za binadamu, dawa za meno na dawa za magonjwa mengine zinapangwa barabarani kuanzia Kariakoo, Manzese hadi Mbagala huku zikipigwa jua kutwa nzima.
Wamachinga hawana machine za EFD na wala hawabughuziwi kwenye hilo huku wakifanya biashara kubwa kuliko wenye maduka na taarifa za sasa za Kariakoo zinaonyesha kwamba Wamachinga ni almost 70% ya wafanyabiashara wote, sasa kwa hali hii unawezaje kumuuliza mtu risiti ya alichonunua?
Labda TRA iseme kwamba imelenga kuwakomoa wauzaji wa jumla ambao ndio unaweza kuwatofautisha na wengine, Vinginevyo TRA yaweza kushitakiwa mahakamani kwa kumkamata aliyenunua kwa wamachinga ambao wanauza kila kitu kuliko hata maduka halali, maana hakuna duka lolote la halali linaloweza kuuza kandambili, chupi za watoto na humo humo likauza na dawa za binadamu pamoja na sumu za panya.
Ikumbukwe pia kwamba Watanzania hawajui lolote kuhusu sheria za uuzaji wa baadhi ya bidhaa , wanachoangalia ni bei rahisi pekee , kwahiyo kumkamata huku akiwa kanunua kihalali kwa muuzaji aliyevaa kitambulisho halali cha Mmachinga utakuwa uonevu wa kutisha.
MATCHING GUY - mtu anayetembeza vitu mitaani na siyo anayepanga vitu barabaraniNi sawa lakini pawepo na specific name ya nani ni machinga na nani ni mfanyabiashara.
Kwa kuwa naweza kuwa machinga lakini nina stoo kubwa ya kutunzia bidhaa.
Urashimishaji wa biashara zinazofanywa na machinga ni jambo muhimu ili kuweka usawa/mzani ya ulipaji kodi kwa ufasaha.
Shida ya hizi sheria utumika Kama fursa za kujipatia kipato kwa baadhi ya walinda sheria.Imehisiwa pia kuna michezo ufanyika ya kuwakamua wafanyabiashara wanatumwa watu wakanunue vitu kisha ugoma kuchukua risiti then uenda uza cd kwa maafisa kwamba wameuziwa bila risiti then mfanyabiashara ukamatwa uyamaliza kwa nusu ya pesa ya faini.Ni mtego wa fursa, hawa watakamatwa kwa wingi na kukubaliana kulipa faini hivyo serikali itaingiza mabilioni kufidia tulizoziponda wakati wa uchaguzi.
Pili hatujui kusoma wala kuandika.App kwenye simu? Sisi wamachinga hatuna smartphones
Watu wakipigwa faini wataacha kununua vitu barabarani na badala yake kuingia madukani na kununua humo. Huu msako ukifanywa kwa weledi utawaondoa Wamachinga wote wanauza vitu vya madukani barabarani na hivyo kuongeza pata la Taifa.
Ni kweli hujakoseaPili hatujui kusoma wala kuandika.
Mnazowaibia akinadada wakati wakichagua mitumba ya sidiria mnahonga nyie mnabaki na vitochi!App kwenye simu? Sisi wamachinga hatuna smartphones
Akirudi kukujibu niiteTatizo hujawahi kufanya biashara mkuu, machinga halipi kodi ya pango, VAT, Halmshauri, sijui fire, umeme, maji, ulinzi n.k, lakini anatakiwa kuuza sawa bei sawa na mfanyabiashara, is that fair?
Wewe una akili kama mimi.
Ni vigumu sana kujua nani kanunua bidhaa zake wapi, hii ni kwa sababu Wamachinga wanauza kila kitu kinachouzwa madukani tena bila kikwazo chochote.
Wamachinga wanauza nguo, simu, vifaa vya simu, vifaa vya mahospitalini, vifaa vya shule, TV , vifaa vya majumbani na maofisini, ikiwa ni pamoja na dawa za binadamu, dawa za meno na dawa za magonjwa mengine zinapangwa barabarani kuanzia Kariakoo, Manzese hadi Mbagala huku zikipigwa jua kutwa nzima.
Wamachinga hawana machine za EFD na wala hawabughuziwi kwenye hilo huku wakifanya biashara kubwa kuliko wenye maduka na taarifa za sasa za Kariakoo zinaonyesha kwamba Wamachinga ni almost 70% ya wafanyabiashara wote, sasa kwa hali hii unawezaje kumuuliza mtu risiti ya alichonunua?
Labda TRA iseme kwamba imelenga kuwakomoa wauzaji wa jumla ambao ndio unaweza kuwatofautisha na wengine, Vinginevyo TRA yaweza kushitakiwa mahakamani kwa kumkamata aliyenunua kwa wamachinga ambao wanauza kila kitu kuliko hata maduka halali, maana hakuna duka lolote la halali linaloweza kuuza kandambili, chupi za watoto na humo humo likauza na dawa za binadamu pamoja na sumu za panya.
Ikumbukwe pia kwamba Watanzania hawajui lolote kuhusu sheria za uuzaji wa baadhi ya bidhaa , wanachoangalia ni bei rahisi pekee , kwahiyo kumkamata huku akiwa kanunua kihalali kwa muuzaji aliyevaa kitambulisho halali cha Mmachinga utakuwa uonevu wa kutisha.
Wakishaondolewa barabarani unadhani nini kitatokea kama si uhalifu na ujambaziWatu wakipigwa faini wataacha kununua vitu barabarani na badala yake kuingia madukani na kununua humo. Huu msako ukifanywa kwa weledi utawaondoa Wamachinga wote wanauza vitu vya madukani barabarani na hivyo kuongeza pata la Taifa.
Hatujui hata kutumia smartphoneMnazowaibia akinadada wakati wakichagua mitumba ya sidiria mnahonga nyie mnabaki na vitochi!
Na biashara hii ndiyo inayokuja juu kwa sasa agiza tunakuletea mpaka mlangoni japo hapa tunawashtua wakuda huenda wakuda nao wakaanza kuagiza bidhaa ili ukimfikishia tu akudai risiti au umwonyeshe godown lipo wapiTunakoenda tutakuwa tunaagiza bidhaa zinatukuta majumbani!
Nimewaza sana hilo la kutoka Petrol Station. Ndipo watakapopigia sana.Ni Kweli ulichosema,watakamata wanaotoka Petrol station na sehemu tunaponunua vitu ambapo hakuna bidhaa zilizobebwa na wamachinga.Kuna siku nimenunua kitu dukani kariakoo nikasahau kuchukua receipt nikiwa njiani nikampigia mwenye duka nikamwambia anitumie receipt yangu nimesahau wasije wakanikamata akanijibu waambie umenunua kwa wamachinga nilicheka sana (kama mazuri) kwani tunaikosesha nchi kodi ujue
Hiyo kuwafokea na kuchimba biti wanawaiga mabosi wao mawaziri...Inabidi tu ibuniwe mifumo ya kodi kulingana na mazingira yetu. Kuna shughuli nyingi sana zinazofanywa na watu hazilipiwi kodi kutokana na sheria zilizowekwa za usajiri wa shughuli hizo zinazosabababisha zisitambulike rasmi, kule kukosa urasmi ndiko kunakosababisha serikali ikose mapato.
USHAURI WANGU KWA WATUMUSHI SERIKALI
Ebu tuache ubabe kwa kuwafokea watu kwamba kwa nini wanaanzisha shughuli Fulani bila kufuata utaratibu na kufunga, ebu tuwasaidie watu namna ya kufuata au kukamilisha taratibu hizo ili wawe walipa kodi wazuri.
Watumishi wengi wa serikali wanapenda kuonyesha mamlaka waliyonayo badala ya kusaidie watu.
Mwanzo 47
Ni vigumu sana kujua nani kanunua bidhaa zake wapi, hii ni kwa sababu Wamachinga wanauza kila kitu kinachouzwa madukani tena bila kikwazo chochote.
Wamachinga wanauza nguo, simu, vifaa vya simu, vifaa vya mahospitalini, vifaa vya shule, TV , vifaa vya majumbani na maofisini, ikiwa ni pamoja na dawa za binadamu, dawa za meno na dawa za magonjwa mengine zinapangwa barabarani kuanzia Kariakoo, Manzese hadi Mbagala huku zikipigwa jua kutwa nzima.
Wamachinga hawana machine za EFD na wala hawabughuziwi kwenye hilo huku wakifanya biashara kubwa kuliko wenye maduka na taarifa za sasa za Kariakoo zinaonyesha kwamba Wamachinga ni almost 70% ya wafanyabiashara wote, sasa kwa hali hii unawezaje kumuuliza mtu risiti ya alichonunua?
Labda TRA iseme kwamba imelenga kuwakomoa wauzaji wa jumla ambao ndio unaweza kuwatofautisha na wengine, Vinginevyo TRA yaweza kushitakiwa mahakamani kwa kumkamata aliyenunua kwa wamachinga ambao wanauza kila kitu kuliko hata maduka halali, maana hakuna duka lolote la halali linaloweza kuuza kandambili, chupi za watoto na humo humo likauza na dawa za binadamu pamoja na sumu za panya.
Ikumbukwe pia kwamba Watanzania hawajui lolote kuhusu sheria za uuzaji wa baadhi ya bidhaa , wanachoangalia ni bei rahisi pekee , kwahiyo kumkamata huku akiwa kanunua kihalali kwa muuzaji aliyevaa kitambulisho halali cha Mmachinga utakuwa uonevu wa kutisha.
Unaagiza kwa mtu mnayefahamiana!Na biashara hii ndiyo inayokuja juu kwa sasa agiza tunakuletea mpaka mlangoni japo hapa tunawashtua wakuda huenda wakuda nao wakaanza kuagiza bidhaa ili ukimfikishia tu akudai risiti au umwonyeshe godown lipo wapi