Mpapai na Gunzi vina uhusiano gani?

Mpapai na Gunzi vina uhusiano gani?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Ni suala nililolisikia muda ila nimethibitisha baada ya mpapai kurefuka tu bila kuzaa nikaufunga gunzi ukazaa mapapai mawili, kutokana na mvua gunzi lilianguka, ukaacha kuzaa, ukafungwa gunzi tena sasa hivi una mapapai mengi tu.

Je, hili suala laweza thibitika kisayansi?

Wakuu hiyo imesibitishwa kisayansi.. Ipo hivi kuna mipapai dume (male plant) hii haizai matunda, na kuna mipapai jike (female plant) na yenye jinsia zote mbili (hermaphrodite) hii ndio inayozaa matunda isipokua dume tu! Sasa kuna mimea inaweza kubadili jinsia yake (sex labile plant) moja wapo ni mipapai na inabadilika pale mazingira yatakapokua magumu kwa yenyewe kuishi sasa ili uendeleze kizazi chake ni lazima ubadilike kutoka dume kuwa jike ile uweze kuacha kizazi chake

Kufunga bunzi/gunzi ni watu wameaminishwa tu ila unaweza kufunga chochote kile ata ukipigilia misumari ilimradi mmea upate shuruba (stress) hapo mmea utahisi kuwa upo kwenye mazingira magumu na unaweza kufa muda wowote . Hapo mmea utachukua hatua ya kubadili jinsia na kuzaa matunda haraka sana kabra haujafa ili uache kizazi chake.. [emoji3][emoji3][emoji3] kama binadamu tu akinusurika na ajari utasikia sina hata mtoto.

Siku moja tu ya uumbaji ila mimea ina physiology nyingi na zakustaajabisha![emoji1544]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni mila tu hizo, ngoja watu wasua waje lkn
 
kuna mpapai jike na dume na ikiwa michanga huwezi kugundua jinsia yake, inaaminika ukifunga gunzi ni sawa na mama amebeba mtoto mgongoni kwa mbeleko. Mwanaume wa ukweli hawezi kubeba mtoto mgongoni kwa mbeleko na huo mpapai Kama ulikuwa na mpango wa kuwa mwanaume utaona bora tu uwe mwanamke uzae kuliko kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mpapai jike na dume na ikiwa michanga huwezi kugundua jinsia yake, inaaminika ukifunga gunzi ni sawa na mama amebeba mtoto mgongoni kwa mbeleko. Mwanaume wa ukweli hawezi kubeba mtoto mgongoni kwa mbeleko na huo mpapai Kama ulikuwa na mpango wa kuwa mwanaume utaona bora tu uwe mwanamke uzae kuliko kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hata sie kwetu tulikuwa tunafunga sana gunzi za mahindi yaani mpapai unaacha wenyewe kutoa maua na kuanza kuzaa mpapai hadi Leo sijajua why zaidi ya kupata hisia kuwa ule mbinyo unapoufunga kamba na gunzi hubadilisha kitu
 
mkuu huu ni ukweli au ni nadharia yako?
kuna mpapai jike na dume na ikiwa michanga huwezi kugundua jinsia yake, inaaminika ukifunga gunzi ni sawa na mama amebeba mtoto mgongoni kwa mbeleko. Mwanaume wa ukweli hawezi kubeba mtoto mgongoni kwa mbeleko na huo mpapai Kama ulikuwa na mpango wa kuwa mwanaume utaona bora tu uwe mwanamke uzae kuliko kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua nikiona hili japo sikuwahi kuamini wala kujaribu, mi nilikuwa nafanya plunning pale juu hivyo unachipua matawi mengine na yanazaa vizuri tu.
 
Ni suala nililolisikia muda ila nimethibitisha baada ya mpapai kurefuka tu bila kuzaa nikaufunga gunzi ukazaa mapapai mawili, kutokana na mvua gunzi lilianguka, ukaacha kuzaa, ukafungwa gunzi tena sasa hivi una mapapai mengi tu.

Je, hili suala laweza thibitika kisayansi?
Hii ni kweli, hata mimi nilijaribu mpapai dume ukaanza kutoa mapapi hadi nakula!

Sijui kuna sababu gani kisayansi! Inashangaza kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mpapai jike na dume na ikiwa michanga huwezi kugundua jinsia yake, inaaminika ukifunga gunzi ni sawa na mama amebeba mtoto mgongoni kwa mbeleko. Mwanaume wa ukweli hawezi kubeba mtoto mgongoni kwa mbeleko na huo mpapai Kama ulikuwa na mpango wa kuwa mwanaume utaona bora tu uwe mwanamke uzae kuliko kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mpapai jike na dume na ikiwa michanga huwezi kugundua jinsia yake, inaaminika ukifunga gunzi ni sawa na mama amebeba mtoto mgongoni kwa mbeleko. Mwanaume wa ukweli hawezi kubeba mtoto mgongoni kwa mbeleko na huo mpapai Kama ulikuwa na mpango wa kuwa mwanaume utaona bora tu uwe mwanamke uzae kuliko kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mpapai jike na dume na ikiwa michanga huwezi kugundua jinsia yake, inaaminika ukifunga gunzi ni sawa na mama amebeba mtoto mgongoni kwa mbeleko. Mwanaume wa ukweli hawezi kubeba mtoto mgongoni kwa mbeleko na huo mpapai Kama ulikuwa na mpango wa kuwa mwanaume utaona bora tu uwe mwanamke uzae kuliko kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mpapai jike na dume na ikiwa michanga huwezi kugundua jinsia yake, inaaminika ukifunga gunzi ni sawa na mama amebeba mtoto mgongoni kwa mbeleko. Mwanaume wa ukweli hawezi kubeba mtoto mgongoni kwa mbeleko na huo mpapai Kama ulikuwa na mpango wa kuwa mwanaume utaona bora tu uwe mwanamke uzae kuliko kujidhalilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahahahahahahaha ujinga wako ni kiwango kizuri cha kuchekesha
 
Ni suala nililolisikia muda ila nimethibitisha baada ya mpapai kurefuka tu bila kuzaa nikaufunga gunzi ukazaa mapapai mawili, kutokana na mvua gunzi lilianguka, ukaacha kuzaa, ukafungwa gunzi tena sasa hivi una mapapai mengi tu.

Je, hili suala laweza thibitika kisayansi?
labda gunzi ni kama dushe kwa lilivyo
 
Nimekua nikiona hili japo sikuwahi kuamini wala kujaribu, mi nilikuwa nafanya plunning pale juu hivyo unachipua matawi mengine na yanazaa vizuri tu.
Yes, pruning is the reliable scientific method but there are several cases when corn(maize) cobs managed to turn a male Papaya tree into a female tree.

Probably corn cobs contains certain enzymes or organic chemicals which turns male papaya tree into a female or hermaphrodite papaya tree when the two gets in contact for several days.
 
Back
Top Bottom