Tetesi: Mpasuko chama cha wanasheria Tanganyika, wakana kumtuma Mwabukusi kutoa matamko

Tetesi: Mpasuko chama cha wanasheria Tanganyika, wakana kumtuma Mwabukusi kutoa matamko

Mwabukusi hawezi kuitisha kikao cha TLS kwa ajili ya kila tukio ambalo TLS inatakiwa kulitolea tamko, ndio maana anaitwa Raisi wa TLS na hilo linampa mamlaka fulani ya kufanya mambo ya TLS ambayo ni routine ambayo hayaendi kinyume na Katiba ya TLS. Hajatoa tamko kubadilisha Katiba ya TLS.

Ni sawa na Raisi Samia, kuna mambo ambayo kama Raisi hawezi kuyatolea executive order, ni ya kikatiba, japo kuna wakati anakosea anaputa tu hata kama anavunja Katiba.

Kwa hiyo kabla hujamsema Mwabukusi, kamshauri Raisi Samia kwamba kuna mambo ya Kikatiba hapaswi kuyatolea maamuzi kama raisi katika utendaji wa kila siku
Sasa Samia anaingiaje hapa?
 
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.

Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Wasiokubaliana na mwenyekiti wao kwasini wasijiuzulu???
 
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.

Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Mwehu chiembe unateseka ukiwa wapi?
 
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.

Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Msiogope kuwajibishwa,kaongea Hekima tupu.
 
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.

Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Na bado hamjasema..
 
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.

Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Na bado hamjasema..
 
T.L.S ina Baraza la Uongozi, TLS sio ofisi yake binafsi ya uwakili, au watoto na mke wake, ni taasisi
Ni ofisi najua,hakuna mpasuko na Wala hajaongea vibaya,yupo kisheria na kaongea mambo ya Sheria,Safi kabisa mwabu,chapa kazi3yatosha kunyoosha Sheria!
 
Ni ofisi najua,hakuna mpasuko na Wala hajaongea vibaya,yupo kisheria na kaongea mambo ya Sheria,Safi kabisa mwabu,chapa kazi3yatosha kunyoosha Sheria!
Kuna kundi kubwa la mawakili linataka kujitenga na TLS, kama ilivyokuwa kwa Chama Cha Walimu Tanzania
 
Huo nao ni Uhuru,ndicho tunachotaka wananchi,sawa na vyama vya wafanyakazi vipo vingi pia na nguvu vinatofautiana,kama Wewe ni mmoja wapo kila la kheri
Kuna kundi kubwa la mawakili linataka kujitenga na TLS, kama ilivyokuwa kwa Chama Cha Walimu Tanzania
o
 
Kwani Mwambukisi ndio msemaji wa TLS ?

Na je yeye kama yeye hana Kauli au ni wapi anaruhusiwa kutoa kauli yake kama yeye (au akitoa kauli kama yeye lazima TLS waipitie kwanza)?

Yaani akitaka kumpiga sound barmaid lazima aombe ruhusa ?

Tatizo hii nchi siasa zimekuwa nyingi sana...
 
Back
Top Bottom