Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumekuchaHabari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Mnae kwa miaka 3....ndiyo kwanza hajamaliza hata miezi 2 mnaanza kujambajamba....kila kitu kinafanyiika kwa mujibu wa kanuni na wajibu wa TLS....kama huko nyumba mlipandikiza walamba viatu wa CCM, safari hii mtapelekewa moto mpaka muite maji 'mma'....si mnajifanya mna mabavu na dola lenuHabari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Msaga sumuWewe ni wa taaluma gani? 😄
Kwa kweli tunaye, atakula matukio mpaka ashangaeMnae kwa miaka 3....ndiyo kwanza hajamaliza hata miezi 2 mnaanza kujambajamba....kila kitu kinafanyiika kwa mujibu wa kanuni na wajibu wa TLS....kama huko nyumba mlipandikiza walamba viatu wa CCM, safari hii mtapelekewa moto mpaka muite maji 'mma'....si mnajifanya mna mabavu na dola lenu
HUYU NI CHAWA WA YULE ALIYETAKA KUKATA RUFAA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI TLSHabari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Mfano. Huelewi mfano? Mwabukusi ni raisi. Samia ni raisi. Wote wana mambo wanayoweza kuamua wenyewe, na wote wana mipaka.Sasa Samia anaingiaje hapa?
Huyo mkimpelekea maujinga ya serikali ya CCM ndiyo anasisimuka zaidi.Kwa kweli tunaye, atakula matukio mpaka ashangae
Huyo taaluma yake ni umbeaWewe ni wa taaluma gani? 😄
Nasikia wanamdharau eti kisa kasoma open University..Mwambukusi hawezi kudumu TLS...Kuna vita kubwa sana uko... take it.
Ukiona mbwa Yuko juu ya mti, jua kapandishwaaaHapana, ni wanachama wa kawaida
Hakuna loloteAtakuwa na taaluma ya hapa na pale
Familia andiko lako limekaa ki yuvisisiemu bora ungebarikiwa hata akili mnemba ila shingo yako inaumia kwa ajili ya kichwa chakoHabari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Ni jambo la kawaida watu kutofatiana mawazo siyo roboti hao.Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi