Kuna jasho langu TLS, sitoki kirahisi, tutaiteka ofisi ya TLS na kuweka uongozi wetuHuo nao ni Uhuru,ndicho tunachotaka wananchi,sawa na vyama vya wafanyakazi vipo vingi pia na nguvu vinatofautiana,kama Wewe ni mmoja wapo kila la kheri
o
kamwe siwezi kufanya maombi kwaajili ya mwingine asifanikiwe hata kidogo,Dua la kuku
TLS iliweka Baraza la uongozi ili kuzuia wahuni wanaoweza kujifanyia mambo yao hovyo hovyo kwa nembo ya TLSKwani Mwambukisi ndio msemaji wa TLS ?
Na je yeye kama yeye hana Kauli au ni wapi anaruhusiwa kutoa kauli yake kama yeye (au akitoa kauli kama yeye lazima TLS waipitie kwanza)?
Yaani akitaka kumpiga sound barmaid lazima aombe ruhusa ?
Tatizo hii nchi siasa zimekuwa nyingi sana...
Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Hawa ndio akina Nkuba?Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Kwahiyo wewe ndiye msemaji wa TLS?Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Wanaotofautiana na Mwabukusi?Wako wapi?
Famba wewe, rais huwa anatumwa?Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi
Huyo atakuwa ni afande kaibukaWewe ni wa taaluma gani? 😄
Nilijua tu kinachofuata hapo TLS Mwabukusi anataka aendeshe hiko chama kama mbowe anavoipeleka chadema.
Ha ha ha hao wanaotaka kutoa tamko si wanasheria wa TLS bali ni wanachama wa CCM.Habari za chini chini kutoka TLS, ni kwamba wajumbe wa Baraza la Uongozi la TLS wanalalamika kwamba Mwabukusi anatoa matamko kwa niaba ya taasisi bila kuwahusisha, na kwamba hatua anazofuata Mwabukusi ni udikteta wa hali ya juu.
Mwabukusi kwa siku za karibuni amekuwa anakaa na genge lake la watu watatu, ambao hawajulikani akina nani, huku nyuma yake ameweka pazia/kitenge/kanga chenye nembo ya TLS.
Tayari kuna maelfu ya wanachama wa TLS wanajiandaa kutoa tamko, na wataitisha waandishi wa habari kumpinga Mwambuzi