Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Nakumbuka alisema niguse nikinukishe


Badala ya kuguswa akapapaswa mpaka munyeo akawa kimya mpaka leo.

Alishasema USIMCHEZEE SIMBA ALIYELALA

JPM msikieni tu.
 
Apumzike tu kwani yaonyesha hawamtaki hugo. Akajiunge na Chauma
 
Hapiti hata asimame na Kingwendu
Panapokuwa na Free & Fair election, ni kweli kabisa huyo Jiwe wao hata asimamishwe kwa kupitia matangazo yote ya vyombo vya habari halafu awe VS Kivuli, basi wananchi wataona bora wapigie kivuli hiko kuliko kumpigia huyo Jiwe wenu!
 
Panapokuwa na Free & Fair election, ni kweli kabisa huyo Jiwe wao hata asimamishwe kwa kupitia matangazo yote ya vyombo vya habari halafu awe VS Kivuli, basi wananchi wataona bora wapigie kivuli hiko kuliko kumpigia huyo Jiwe wenu!
Kwa kujifariji hamjambo
 
Panapokuwa na Free & Fair election, ni kweli kabisa huyo Jiwe wao hata asimamishwe kwa kupitia matangazo yote ya vyombo vya habari halafu awe VS Kivuli, basi wananchi wataona bora wapigie kivuli hiko kuliko kumpigia huyo Jiwe wenu!
Magu tatizo sio kwa watanzania hata mimi nampa kura ya Urais ila shida ipo ndani ya CCM...!! Huo ndio ukwelii...
 
Hakuna mpasuko sema Membe Anakomaaa tu ila hata yeye anajua yuko alone ananohesha mziki tu
 
Angekuwa hana lolote msimngemletea Zengwe kwenye kuchukua form......MTU FURANI kasoma mchezo kaona bora ampige chini KIBABE bila kufuata taratibu ila kati ya june - October Lolote litatokea JASUSI MBOBEZI KASEMA.
 
Angekuwa hana lolote msimngemletea Zengwe kwenye kuchukua form......MTU FURANI kasoma mchezo kaona bora ampige chini KIBABE bila kufuata taratibu ila kati ya june - October Lolote litatokea JASUSI MBOBEZI KASEMA.
Litokee sasa kwanini asubiri October.

Farijianeni kwa ndoto za mchana za Membe.

Aminini katika yeye awatiaye ujinga kuamini alifanyiwa zengwe kwani zengwe ndio umebaki mtaji pekee kuwa kwenye siasa za mitandaoni.

Kesheni mkisubiri kati ya october lolote litokee kwa kachero wenu mbobezi wa kwenye ndoto.
 
Angekuwa hana lolote msimngemletea Zengwe kwenye kuchukua form......MTU FURANI kasoma mchezo kaona bora ampige chini KIBABE bila kufuata taratibu ila kati ya june - October Lolote litatokea JASUSI MBOBEZI KASEMA.
Savimbi Jr
Eti kweli mtu ambaye siyo tishio kivile, iweje CCM yote imuogope utadhani ugonjwa wa ukoma?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha tu mkee ndo yale ya Nkurunzizaa anaongeza miaka ya urais lafu anakufaa...!! Uafrika ni laana yani mtu anafanya mambo as if ataishi milelee...
Waafrika hawawezi kujiongoza
 
Kwanini mmemfukuza kama sio threat? Ruhusuni watu wachukue form!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…