Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Tetesi: Mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM

Acha kupoteza muda

Vyama vinavunja katiba, ni vyao ili uhoji uwe sehemu yao.Ndio maana kama taifa tunahitaji mgombea binafsi kitu ambacho ccm au cdm hawatakagi kabisa

Kama wamevunja ni wao, Membe anajua kakulia na anaijua ccm deep, na hana la kufanya lolote lile

Wewe huna la kufanya, msajili wa vyama hana la kufanya.it is happening in every political parties duniani hapa, we have mifano kibao CDM pia

Acha kuogelea kwenye swimming pool ya lawama, goli hilo tayari!! Kaonewa hajaonewa haioni ikulu wala asikupe faraja ya kutoa lawama, kwenye siasa tunaangalia mwisho wa ushindi

Membe knew all this, sana tu kuliko wewe

Hakuna wa kumjibu, November mtegemee JPM ofisini, dont waste your time in this wont help you either

Hapa nilitegemea unakuja na ma mipango ya kutisha ya CDM kuingia ikulu. Unamjadili membe na ccm yake, wewe ni ccm??? Acha hizo
Hapo kuwa CDM (kama unamaanisha CHADEMA) kuwa haitaki mgombea binafsi , huo ni uongo wa waziwazi kabisa.
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kilikuwa hakijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Nje ya CCM hana nguvu zozote Mkuu.
 
Acha kupoteza muda

Vyama vinavunja katiba, ni vyao ili uhoji uwe sehemu yao.Ndio maana kama taifa tunahitaji mgombea binafsi kitu ambacho ccm au cdm hawatakagi kabisa

Kama wamevunja ni wao, Membe anajua kakulia na anaijua ccm deep, na hana la kufanya lolote lile

Wewe huna la kufanya, msajili wa vyama hana la kufanya.it is happening in every political parties duniani hapa, we have mifano kibao CDM pia

Acha kuogelea kwenye swimming pool ya lawama, goli hilo tayari!! Kaonewa hajaonewa haioni ikulu wala asikupe faraja ya kutoa lawama, kwenye siasa tunaangalia mwisho wa ushindi

Membe knew all this, sana tu kuliko wewe

Hakuna wa kumjibu, November mtegemee JPM ofisini, dont waste your time in this wont help you either

Hapa nilitegemea unakuja na ma mipango ya kutisha ya CDM kuingia ikulu. Unamjadili membe na ccm yake, wewe ni ccm??? Acha hizo
Kwa kuwa unaamini mwisho ni ushindi unao_matter bila kujali umepatikanaje, hao wapinzani wa JPM nao wanaweza kupita njia hiyo hiyo na JPM asirudi ofisini.
 
Mh. Membe anasema wanasubiri jibu ili waamue cha kufanya -- najiuliza yeye na kina nani?
 
Waberoya
Wewe mpe hiyo misifa tu Jiwe ambayo hana.........

Hivi kuwa madarakani na kuvimiliki vyombo vya dola ndiyo huwezi fanwa chochote na wananchi?

Hebu jiulize Al-Bashir hakuwa na vyombo vya dola?

Yuko wapi sasa hivi?

Hebu jiulize tena, hivi Mugabe hakuwa na vyombo vya dola?

Lakini aling'olewa madarakani, huku haamini yanayotokea

Hebu jiulize pia Mobutu hakuwa na vyombo vya dola alivyoona yeye mwenyewe ndiye anayevimiliki?

Naye si aling'olewa madarakani bila kupenda?

Huyu Jiwe kama anataka kudumu madarakani, basi "asijimwambafai" na kuamini kuwa hapa TZ kawaweka wananchi wote mfukoni mwake, Bali ajinyenyekeze na atekeleze majukumu yake kwa mujibu wa Katiba yake ya Chama na Katiba ya nchi, kinyume cha hivyo nakuapia kuwa hatadumu madarakani!
10 years ndo muda wake anaotakiwa kuongoza kama ataaminiwa na atapitishwa tena na chama 2020-2025 ambapo mpaka sasa asilimia ni 99.8, asilimia 1 inayobaki ni endapo ataumwa, 0.5 ni endapo atatutoka maana naye ni binadamu, na asilimia 0.5 nyingine ni ile ya mpinzani wake aliyosema kati ya june to oct lolote linaweza kutokea.

Ni mnyenyekevu kwa wanyonge na wazalendo, kama wewe si mmoja wao utayeseka sana.
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kilikuwa hakijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Udikteta unakula hadi kwenye chama zee, wacha macho yetu yashuhudie.
 
Sasa membe alikuwa na cheo gani kikubwa ndani ya CCM mpaka siku anafukuzwa.
Ukishapata jibu hilo basi umejijibu kwa nini hajibiwi bali amepuuzwa.

Kumjibu ni kumpa attention aliyoitafuta na kwa kutomjibu, pia utaona umaarufu wake unaporomoka kwa speed ya ROCKET .
Hivi mtu aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya nje, bado unamuona tu kuwa alikuwa mwanachama wa kawaida?

Mlikuwa na sababu zipi za kumjadili kwenye Kamati Kuu, kama mlimchukulia ni mwanachama wa kawaida tu?

Ni kwanini mlihangaika na kumwagiza Katibu wenu wa Itikadi na uenezi, aitishe kikao na waandishi wa habari, kuelezea maamuzi yenu ya Kamati Kuu, kama Membe mnamchikulia kuwa ni mwanachama wa kawaida?
 
Sasa membe alikuwa na cheo gani kikubwa ndani ya CCM mpaka siku anafukuzwa.
Ukishapata jibu hilo basi umejijibu kwa nini hajibiwi bali amepuuzwa.

Kumjibu ni kumpa attention aliyoitafuta na kwa kutomjibu, pia utaona umaarufu wake unaporomoka kwa speed ya ROCKET .

Membe ana madhara na mwenyekiti wa chama anajua hilo, sema hii vita anayoipigana ni kubwa kwake, kuishinda anahitaji sapoti ya wazee na watu wazito sana chamani.

Kuna watu wachache sana wakimsapoti shughuli itakuwa imeisha ila mpaka sasa probability ya kufanikiwa ni ndogo kuliko udogo wenyewe lakini ipo. Na akishindwa plan B ipo sema ni ngumu zaidi kumfikisha anapotaka.
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kilikuwa hakijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
😁😁😁😁😁😁😁
Bora niendelee kujifukiza huo mpasuko wa skirt au mpasuko wa kioo
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kilikuwa hakijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
😁😁😁😁😁😁😁
Bora niendelee kujifukiza huo mpasuko wa skirt au mpasuko wa kioo
 
Wewe unaongelea historia, issue ya Membe na CCM Inaishia hapo.

Kama magufuli kwa sasa hahitaji sana kampeni za ndani ya chama.
Kama ilivyokuwa hapo awali enzi za kina Membe....makundi ndani ya CCM mpaka sasa magufuli ameyaomdowa.

Kuanzia kamati kuu hadi halmashauri kuu.

Sasa wewe unadhani nini tena haja ya membe hapo?

Ukija uraiani, hata huyo membe anajuwa kabisa kwamba magufuli hahitaji fedha au mbinu chafu ili kupata kura za urais kwa sababu kazi zake zimeonekana tayari.
Upo sahihi, hii mijadala isingekuwepo kama ushindani ungeruhusiwa sababu atashinda tu. Sijui kwann chama kinakubali hii mijadala.
 
Sasa ngoja tuwasubiri wenye chama chao, wamuonyeshe mlango wa kutokea huyo Jiwe, anayeamini kuwa "there is nobody to defeat him"
Nakunja vidole mkuu 'Mystery', kama kuna la ziada unalojua nisilojua mimi.

Lakini ukweli ni kwamba huyo mtu hana cha kufuata taratibu, sheria, wala katiba. Kwake hayo mambo ni usumbufu tu na vizuizi vya kutaka kufanya apendavyo yeye, na ndio maana haheshimu hizo taratibu.

Labda nikupe mfano wa kukuonyesha kwamba hayo unayotegemea CCM wayafanye hakuna...; Kinana alipopima na kuona maji ni zidi ya shingo yake, akaamua kufanya kila mtu alivyofanya, kajisalimisha. Usitegemee kuwa kuna mtu au watu CCM wanaoweza kufanya lolote zidi ya mtu mmoja huyu anayemiliki chama na vifaa vyote vya kuwakandamiza wasiokubali anayotaka yeye.

Huu ndio ukweli wenyewe. Hakuna.
 
Wewe unaongelea historia, issue ya Membe na CCM Inaishia hapo.

Kama magufuli kwa sasa hahitaji sana kampeni za ndani ya chama.
Kama ilivyokuwa hapo awali enzi za kina Membe....makundi ndani ya CCM mpaka sasa magufuli ameyaomdowa.

Kuanzia kamati kuu hadi halmashauri kuu.

Sasa wewe unadhani nini tena haja ya membe hapo?

Ukija uraiani, hata huyo membe anajuwa kabisa kwamba magufuli hahitaji fedha au mbinu chafu ili kupata kura za urais kwa sababu kazi zake zimeonekana tayari.
Inaelekea Huijuii siasa wewe...!! Acha kabisaa mzeee ndo maana ametoa form Mojaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ulikuwa unaota mpasuko wa sketi au underskate a.k.a shumizi.

Yaani membe ndio wa kuleta mpasuko CCM? Mtu pekee alijipanga na kusumbua CCM ni LOWASSA huyu hata mtikisiko hawezi sababisha. Huo ubobezi wa ukachero alikuwa nao akiwa kwenye system. Sasa hivi ni sawa na samaki nje ya maji anatapata tu hana lolote.
Vuta punzi mkuu ingekuwa hayo usemayo yanamashiko basi asingeogopwa kiasi hicho hebu mruhusuni basi tuone kama hatamsumbua mkulu.
 
Vuta punzi mkuu ingekuwa hayo usemayo yanamashiko basi asingeogopwa kiasi hicho hebu mruhusuni basi tuone kama hatamsumbua mkulu.
Akili ndogo hizi, hivi anavyobwabwaja mitandaoni mnaona anaogopwa. Basi kama ana nguvu aende chama chochote akajipime na Magu. Ikiwa hawezi kwenda chama pinzani akajipima na Magu sasa anawezaje kujipima ndani ya CCM?

Huyu hata robo ya kura za Lowasssa hawez kupata. Endeleeni kujifariji au mchukueni kwenye chama chenu agombee ikiwa mnaona ni Tisho kwa JPM na CCM
 
Kwa namna huyu "Jasusi mbobezi" Bernard Kamilius Membe, anavyoendelea kushika "chart" humu kwenye mitandao ya kijamii, ni dhahiri kuwa huko kwenye hicho chama, wanachodai wenyewe kuwa ni chama kikubwa, hivi sasa kunatokota na sisi wananchi tusubiri, kwa kuwa yajayo yanafurahisha au kukarahaisha...

Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama

Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.

Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kilikuwa hakijakaa.

Jambo linaloshangaza ni kuwa tokea madai hayo yatolewe na Membe, hakuna kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa CCM, aliyejitokeza kujibu tuhuma hizo

Kwa madai mazito kama hayo, ni kwanini hadi sasa chama cha CCM, kimeamua kukaa kimya, kisitoe majibu yoyote, kwa madai hayo ya Membe?

Inaelekea kuna mfukuto mkubwa sana huko kwa majirani zetu wa CCM

Ni dhahiri sasa kama alichoongea mwenyewe Membe, kuwa tufanye subira kati ya mwezi huu wa June hadi October ya mwaka huu, lolote lisilotegemewa na wananchi wengi litatokea katika nchi hii na litaleta kishindo kikubwa sana!

Subira yavuta kheri, ngoja tusubiri ili tuyashuhudie yatakayojiri
Kama Membe ni muhimu na anauwezo wa kushinda urais nashauri CHADEMA imuchukue.
 
Vuta punzi mkuu ingekuwa hayo usemayo yanamashiko basi asingeogopwa kiasi hicho hebu mruhusuni basi tuone kama hatamsumbua mkulu.
Ikiwa anaona ana nguvu aende upinzani akamsumbue sio anatumia gia ya jambo haliwezekani na sio utamamduni wa chama!! Huyu ni debe tu lilitupwa na system linajaribu kulia ili lisikike.

La mchukueni watu wa Ufipa au ACT muione demo.
 
Walishasema dawa ya MPUUZI NI KUMPUUZA. Nayaona mengi ambayo huenda yasitufariji sana sisi KAZI NA BATA team.

1. Wajumbe wa Halmashauri kuu CCM ni kina nani?

2. Kama anavyodai ni kweli? Yeye CCM alikua na cheo gani wakati anafurushwa?

3. Je? Kukiukwa kwa utaratibu kunabatilisha uamuzi? Iwapo upo utaratibu uliokiukwa?

Mwisho na kwa umuhimu sana.
Bernard Camilius Membe ametoa taswira fikirishi kwa uwepo wa vyama vya siasa hapa nchini...

a. Tofauti na wengi walivyozoea ukitimuliwa chama unatafuta chama kingine na maisha yanaendelea ila Membe ameonyesha bado ana Imani na CCM tatizo lake ni njia anazotumia

b. Membe anaamini kwamba nje ya CCM hawezi kufanya siasa na mialiko anayopewa na vyama vingine vya siasa ni kwa ajili ya kuvipatia mileage vyama hivyo kisiasa kuliko kumuimarisha yeye.

AHSANTE
 
Kwahiyo alivyotuita wapumbavu ndiyo iliifanya nchi yetu kuwa na uwezo wa kuwahudumia wananchi bila kutembeza bakuli kwa mabeberu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Jumatatu ndo hiyoooo inayoyoma hebu nipe habari huyo membe wako kachukua fomu.
 
Back
Top Bottom