WaberoyaMbobezi hakuweza kuzuia katiba kuvunjwa????
Wasipomjibu utawafanya nini??
Jenga kwako
Nguvu ya JPM haina mpinzani ndani au nje
Sio vizuri kukosa upinzani ndani au nje, ila hawapo
Mwenzio anakanusha maneno yake umebaki gizani
Membe anakwenda kuichana chana vipande CCM, kama ambavyo Magufuli alivyoichana Katiba vipande vipande.
Ngoja nuchukue hii nikamwite pole pole aje ajibu, alafu hao kina mirrad ayo sijui nani mbona visa vya kufumaniana kuchukuliana mabwana huwa wanapanda mpaka magari wanaenda kuhoji unakuwaje wanashindwa mfuata Pole Pole atoe majibuNi kwanini swala la Membe halikufika katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama?
Softcopy imevuja, tunaprint πππFomu tuli print moja tu... [emoji3][emoji3][emoji3]
Hilo ndilo swali la msingi. Na jee chama kongwe kama ccm limefikia mahali linaona fahari kuvunja katiba yake lenyewe kisa woga kwa mtu mmoja?Ni kwanini swala la Membe halikufika katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama?
Uhuru wa vyombo vya habari uko mfukoni mwa mtu mmoja. Watanzania tunatakiwa kusikia habari za kusifu na kuabudu pamoja na vioja vya mtaani.Ngoja nuchukue hii nikamwite pole pole aje ajibu, alafu hao kina mirrad ayo sijui nani mbona visa vya kufumaniana kuchukuliana mabwana huwa wanapanda mpaka magari wanaenda kuhoji unakuwaje wanashindwa mfuata Pole Pole atoe majibu
Waberoya
Jibu hoja usilete mipasho.......
Je ndani ya Katiba ya CCM, ndivyo utaratibu unavyotakiwa kufanywa kama alivyofanyiwa Membe, kufukuzwa kwenye chama, bila hatua hiyo kuidhinishwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM?
Hilo ndilo swali la msingi. Na jee chama kongwe kama ccm limefikia mahali linaona fahari kuvunja katiba yake lenyewe kisa woga kwa mtu mmoja?
Jee chama kimekosa wachezaji bora hadi kina mlinda mmoja wanayeona bora hadi kuvunja katiba?
Ni kwanini swala la Membe halikufika katika kikao cha Halmashauri kuu ya chama?
Yaani sikujua kuwa Membe pamoja na sifa zote zile ni mjinga kiasi hicho. Lowassa alikuwa smart sana kuliko huyu jamaa lakini amefyata mkia kutokana na infrastracture ya CCM - wanajuana humo ndani. Huyu ni frustrations tu za kukosa madaraka ndizo zinazomsumbua kam Lowassa alivyosumbuliwa. Yaani anaamanini kuwa ana nguvu kwenye Halmashauri kuu ya CCM wakati mwenyekiti wake ni huyo huyo anyempinga? Wenye busara walisema akikushinda, shirikiana naye, usijaribu kunyang'anyana upanga na mtu aliyeshika mpini wake. Kiongozi anayekosa busara hiyo hafai kabisa kupewa madaraka ya nchi. Hata Kikwete alishirikiana na Mkapa kwa miaka kumi, hakupambana naye na mwishowe ndiyo akapata nafasi yake. membe bado ana nightmares za 2015What was the timeline? Sky Eclat?
Member kasema walitakiwa wapeleke lini? Au katiba inasemaje?
What if wakipeleka november?
Hiki ni chama chao, naona mnalazimisha kuwa members humu, πππππππππππ
WaberoyaChakaza haya maswali kwenye siasa ni childish
Wanarudi madarakani na la kufanya jadili kuwaondoa madarakani, sio ccm wewe
Katiba zinachezewa
Na ukimsikiliza Membe kalaumu mapendekezo kutoka nje ya kikao na yaka mhukumu. Waliotoa nje ya kikao anaweza kuwa mfagizi aliiba au secretary hakuna mtu ndani ya ccm anayeweza kusema kahusika kuvujisha kwenye media na ikawa kama official
It is interesting we have shifted now to be " CCM by default"
Hivi Chakaza uko serious kabisa unaamini JPM na followers wake na CCM hii na NEC hii wanamwogopa Membe?? I mean uko serious kabisa?
Yoh may need a doctor
Na ile Jumatatu aliyoisema Membe, kuwa atatinga Dodoma, kwenda chukua fomu yake ya Urais ndiyo ishafika...........
Ngoja tusubiri tuone kama Dkt Bashiru, kama tulivyowazoea mbinu zao, watatia komeo geti kuu la kuingilia, tena ndani ya ulinzi mkali!
Eeenh...Heee, mkuu 'Mystery,' inaeleweka sana na kukubalika kuja hapa JF na 'Heading' kubwa kama hiyo uliyotumia hapo juu.Membe ametoa madai mazito sana kuwa Katiba ya CCM haikufuatwa katika kufukuzwa kwake ndani ya Chama
Kwani amedai kuwa ni takwa la kikatiba, anapofukuzwa kiongozi yeyote wa ngazi za juu katika chama hicho ni LAZIMA jambo lake lingejadiliwa ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ndipo uamuzi ufikiwe.
Jambo ambalo halikufanyika katika kufikia uamuzi wa kufukuzwa kwake. Kwani mwenyewe anadai kuwa "process" ilikuwa haijakamilika, kwa kuwa kikao kilichomjadili kilikuwa ni kikao cha Kamati Kuu pekee, wakati mchakato ulikuwa haujakamilika, kwa kuwa kikao chenye uamuzi wa mwisho, ambacho ni kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, ilikuwa haijakaa.
What was the timeline? Sky Eclat?
Member kasema walitakiwa wapeleke lini? Au katiba inasemaje?
What if wakipeleka november?
Hiki ni chama chao, naona mnalazimisha kuwa members humu, πππππππππππ
Kalamu1Eeenh...Heee, mkuu 'Mystery,' inaeleweka sana na kukubalika kuja hapa JF na 'Heading' kubwa kama hiyo uliyotumia hapo juu.
Nasema inaeleweka, kwa sababu wengi wetu ndiko matumaini yetu makuu yanakolenga; kwamba hatimae mtafaruku utatokea na ipatikane njia ya kulegeza kama sio kubomoa kabisa chanzo cha huzuni inayoikumba taifa letu.
Haya matumaini siyo ya kweli mkuu wangu.
Kwanza wewe mwenyewe fikiria hiyo "Katiba?", makaratasi ya chama ambacho anakimiliki mwenyewe, umnyime usingizi, kwa sababu zipi hasa!
Unategemea katiba ya chama, huku ukijisahaulisha "KATIBA KUU", ambayo kila mmoja wetu angepashwa kuiangalia kama msahafu wa nchi yetu..., tunaona inakanyagwa na hakuna wa kusema lolote?
Sasa unataka kuaminisha wakuu hapa JF, kwamba 'kikatiba' ka CCM, chama ambacho ni kama mali yake itamfanya asite kuitupilia mbali na kufanya atakavyo yeye?
Ni nani mwenye ubavu ndani ya chama kile, aliyebaki na kusimama kuitetea hiyo katiba takataka. Membe anasemea pembeni, na hana njia yoyote tena ya kumrudisha ndani wakati huu.
Hizi ni kelele zake za mwisho, na baada ya hapo hutamsikia tena.